Taifa stars kupiga kambi Uturuki
Timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) itaondoka nchini siku ya jumapili kuelekea Istambul nchini Uturuki
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi31 Aug
STARS YAMALIZA KAMBI UTURUKI
10 years ago
Raia Tanzania03 Aug
Stars kuweka kambi Uturuki
TIMU ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) inatarajia kuaondoka nchini Agosti 23 kwenda Uturuki kwa ajili ya kambi ya wiki mbili kujiandaa na mchezo wao wa kufuzu kucheza fainali za mataifa ya Afrika mwaka (Afcon) 2017 nchini Gabon dhidi ya Nigeria.
Stars inatarajia kucheza mchezo wao wa pili wa kufuzu Afcon dhidi ya Nigeria Septemba 5 katika uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.
Awali Stars ilicheza na Misri na kufungwa mabao 3-1 ugenini wakiwa chini ya kocha Mholanzi Mart Nooij ambae...
9 years ago
Habarileo24 Aug
Taifa Stars waenda Uturuki
TIMU ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars, ilitarajia kuondoka leo alfajiri kwenda Uturuki kujiandaa na mchezo dhidi ya Nigeria, Super Eagles, katika mchezo wa Kundi G wa kufuzu kwa fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika 2017.
10 years ago
Mwananchi05 Sep
Kambi ya Taifa Stars yaiharibia Azam
9 years ago
BBCSwahili01 Sep
Taifa Stars kurejea leo toka Uturuki
9 years ago
Mwananchi15 Oct
Taifa Stars kuweka kambi Afrika Kusini kujiandaa na Algeria
10 years ago
BBCSwahili29 Jul
Uturuki yashambulia kambi za Wakurdi
9 years ago
Habarileo27 Aug
Mkwasa atambia kambi Uturuki
KOCHA Mkuu wa timu ya soka ya Taifa, Taifa Stars Charles Mkwasa amesema anaamini kambi ya Uturuki itawapika wachezaji wake vya kutosha kuikabili Nigeria. Stars ipo Uturuki tangu mwishoni mwa wiki iliyopita na itarejea nchini siku chache kabla ya kuivaa Nigeria jijini Dar es Salaam Septemba 5 mwaka huu.
9 years ago
BBCSwahili05 Oct
Ulaya kufadhili kambi za wahamiaji Uturuki