Ulaya kufadhili kambi za wahamiaji Uturuki
Rais wa Uturuki Recep Tayyip Erdogan, yuko mjini Brussels kwa mazungumzo muhimu na viongozi wa muungano wa bara Ulaya, kuhusu uhamiaji.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili12 Aug
Uturuki kuwalinda wahamiaji
9 years ago
BBCSwahili20 Sep
Wahamiaji 13 wamezama Uturuki
9 years ago
Habarileo27 Aug
Mkwasa atambia kambi Uturuki
KOCHA Mkuu wa timu ya soka ya Taifa, Taifa Stars Charles Mkwasa amesema anaamini kambi ya Uturuki itawapika wachezaji wake vya kutosha kuikabili Nigeria. Stars ipo Uturuki tangu mwishoni mwa wiki iliyopita na itarejea nchini siku chache kabla ya kuivaa Nigeria jijini Dar es Salaam Septemba 5 mwaka huu.
10 years ago
Raia Tanzania03 Aug
Stars kuweka kambi Uturuki
TIMU ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) inatarajia kuaondoka nchini Agosti 23 kwenda Uturuki kwa ajili ya kambi ya wiki mbili kujiandaa na mchezo wao wa kufuzu kucheza fainali za mataifa ya Afrika mwaka (Afcon) 2017 nchini Gabon dhidi ya Nigeria.
Stars inatarajia kucheza mchezo wao wa pili wa kufuzu Afcon dhidi ya Nigeria Septemba 5 katika uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.
Awali Stars ilicheza na Misri na kufungwa mabao 3-1 ugenini wakiwa chini ya kocha Mholanzi Mart Nooij ambae...
10 years ago
BBCSwahili29 Jul
Uturuki yashambulia kambi za Wakurdi
9 years ago
Michuzi31 Aug
STARS YAMALIZA KAMBI UTURUKI
![](http://tff.or.tz/images/jumaA.png)
![](http://tff.or.tz/images/starskartepe.png)
9 years ago
BBCSwahili21 Aug
Taifa stars kupiga kambi Uturuki
9 years ago
BBCSwahili05 Jan
Wahamiaji 17 wafa maji wakielekea Uturuki
9 years ago
BBCSwahili26 Aug
Wanne wauawa katika kambi ya Wahamiaji