Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Uturuki kuwalinda wahamiaji

Waziri mkuu wa Uturuki Ahmet Davutoglu,amesema nchi yake ina nia ya kuanzisha eneo salama kwa wahamiaji kaskazini mwa Syria.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Wahamiaji 13 wamezama Uturuki

Watu 13 wamekufa maji baada ya mtumbwi walimokuwa wakisafiria kugongana na feri Idara ya kulinda fukwe za bahari ya Uturuki imetangaza.

 

9 years ago

BBCSwahili

Wahamiaji 17 wafa maji wakielekea Uturuki

Wahamiaji 17 wamekufa maji baharini muda mfupi baada yao kutoka Uturuki wakielekea Ugiriki.

 

9 years ago

BBCSwahili

Ulaya kufadhili kambi za wahamiaji Uturuki

Rais wa Uturuki Recep Tayyip Erdogan, yuko mjini Brussels kwa mazungumzo muhimu na viongozi wa muungano wa bara Ulaya, kuhusu uhamiaji.

 

5 years ago

Michuzi

RC MAKONDA AKUTANA NA KUFANYA MAZUNGUMZO NA BALOZI WA UTURUKI PAMOJA NA JOPO LA WAWEKEZAJI KUTOKA NCHINI UTURUKI.


************************************Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Paul Makonda leo February 18 amekutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa Uturuki Nchini Tanzania Mhe. Ali Davulaglu, Balozi wa Tanzania Nchini Uturuki Prof.Elizabeth Kiondo, Mstahiki Meya kutoka Uturuki, Wawekezaji na Wafanyabiashara zaidi ya 40 kutoka Nchini Uturuki waliokuja Kutazama na kuchangamkia fursa za Uwekezaji wa Viwanda jijini Dar es salaam.Katika Mazungumzo hayo RC Makonda ...

 

10 years ago

Michuzi

SERIKALI KUWALINDA WAHADZABE - WAZIRI MKUU

WAZIRI MKUU Mizengo Pinda amesema Serikali itaendelea kuyalinda makabila madogo nchini yakiwemo ya Wahdazabe na Wasandawe ambayo yanategemea rasilmali misitu kwa maisha yao na ustawi wao.
“Tutakuwa tunafanya makosa kama tutawanyang’anya rasilmali misitu makabila madogo hapa nchini kama vile Wahadzabe, Wandorobo na Wasandawe kwani ndiyo rasilami pekee inayowawezesha wapate chakula cha kutosha,” alisema.
Ametoa kauli hiyo leo mchana (Jumanne, Novemba 11, 2014) wakati akifungua Kongamano la...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Wazazi waaswa kuwalinda watoto wao

WAZAZI wametakiwa kuwapokea vizuri na kuwalea kwa maadili wanafunzi wanaohitimu kidato cha nne wakati wakisubiri matokeo yao ya kwenda kidato cha tano. Rai hiyo imetolewa jana na Mkuu wa Wilaya...

 

10 years ago

BBCSwahili

ESCROW:Spika adaiwa kuwalinda washukiwa

Speaker wa Tanzania Anne Makinda ameshtumiwa kwa kujaribu kuwatetea wale wanaodaiwa kuhusika katika kashfa ya ufisadi ya Escrow.

 

9 years ago

StarTV

Dk. Magufuli aahidi kuwalinda wachimbaji wadogo

Mgombea Kiti cha Urais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dokta John Pombe Magufuli amesema serikali atakayoiongoza baada ya kuingia madarakani itawalinda wachimbaji wadogo wadogo waweze kulitaidia taifa katika kuinua uchumi wa Nchi.

Dokta Magufuli ambaye amemaliza ziara yake ya Kampeni mkoa wa Simiyu na kuianza ziara yake mkoa wa Tabora katika wilaya ya Igunga,anasema wachimbaji wadogo wakiwekewa utaratibu mzuri wana nafasi kubwa ya kuinua pato la taifa.

 

Mara baada ya kuwasili wilayani...

 

11 years ago

BBCSwahili

DRC yailaumu Rwanda kuwalinda M23

Serikali ya DR Congo imeilaumu Rwanda kwa kuwalinda wapiganaji wa M23.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani