Uturuki kuwalinda wahamiaji
Waziri mkuu wa Uturuki Ahmet Davutoglu,amesema nchi yake ina nia ya kuanzisha eneo salama kwa wahamiaji kaskazini mwa Syria.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili20 Sep
Wahamiaji 13 wamezama Uturuki
9 years ago
BBCSwahili05 Jan
Wahamiaji 17 wafa maji wakielekea Uturuki
9 years ago
BBCSwahili05 Oct
Ulaya kufadhili kambi za wahamiaji Uturuki
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-17_OkEbd7pg/Xk01mT_E9_I/AAAAAAALeUs/qUDz4OE0TCIf9qejZOB-PV3w63uri1DKQCLcBGAsYHQ/s72-c/index-3.jpg)
RC MAKONDA AKUTANA NA KUFANYA MAZUNGUMZO NA BALOZI WA UTURUKI PAMOJA NA JOPO LA WAWEKEZAJI KUTOKA NCHINI UTURUKI.
![](https://1.bp.blogspot.com/-17_OkEbd7pg/Xk01mT_E9_I/AAAAAAALeUs/qUDz4OE0TCIf9qejZOB-PV3w63uri1DKQCLcBGAsYHQ/s640/index-3.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/b-3.jpg)
************************************Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Paul Makonda leo February 18 amekutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa Uturuki Nchini Tanzania Mhe. Ali Davulaglu, Balozi wa Tanzania Nchini Uturuki Prof.Elizabeth Kiondo, Mstahiki Meya kutoka Uturuki, Wawekezaji na Wafanyabiashara zaidi ya 40 kutoka Nchini Uturuki waliokuja Kutazama na kuchangamkia fursa za Uwekezaji wa Viwanda jijini Dar es salaam.Katika Mazungumzo hayo RC Makonda ...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-2KkTt2k9xcM/VGInT7gF2-I/AAAAAAAGwmA/gP2_Rv-gVC4/s72-c/PG4A1532.jpg)
SERIKALI KUWALINDA WAHADZABE - WAZIRI MKUU
![](http://4.bp.blogspot.com/-2KkTt2k9xcM/VGInT7gF2-I/AAAAAAAGwmA/gP2_Rv-gVC4/s1600/PG4A1532.jpg)
“Tutakuwa tunafanya makosa kama tutawanyang’anya rasilmali misitu makabila madogo hapa nchini kama vile Wahadzabe, Wandorobo na Wasandawe kwani ndiyo rasilami pekee inayowawezesha wapate chakula cha kutosha,” alisema.
Ametoa kauli hiyo leo mchana (Jumanne, Novemba 11, 2014) wakati akifungua Kongamano la...
10 years ago
Tanzania Daima17 Nov
Wazazi waaswa kuwalinda watoto wao
WAZAZI wametakiwa kuwapokea vizuri na kuwalea kwa maadili wanafunzi wanaohitimu kidato cha nne wakati wakisubiri matokeo yao ya kwenda kidato cha tano. Rai hiyo imetolewa jana na Mkuu wa Wilaya...
10 years ago
BBCSwahili30 Nov
ESCROW:Spika adaiwa kuwalinda washukiwa
9 years ago
StarTV14 Sep
Dk. Magufuli aahidi kuwalinda wachimbaji wadogo
Mgombea Kiti cha Urais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dokta John Pombe Magufuli amesema serikali atakayoiongoza baada ya kuingia madarakani itawalinda wachimbaji wadogo wadogo waweze kulitaidia taifa katika kuinua uchumi wa Nchi.
Dokta Magufuli ambaye amemaliza ziara yake ya Kampeni mkoa wa Simiyu na kuianza ziara yake mkoa wa Tabora katika wilaya ya Igunga,anasema wachimbaji wadogo wakiwekewa utaratibu mzuri wana nafasi kubwa ya kuinua pato la taifa.
Mara baada ya kuwasili wilayani...
11 years ago
BBCSwahili05 Jun
DRC yailaumu Rwanda kuwalinda M23