Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


DRC yailaumu Rwanda kuwalinda M23

Serikali ya DR Congo imeilaumu Rwanda kwa kuwalinda wapiganaji wa M23.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

UN yailaumu Tanzania kwa hali ilivyo DRC

Umoja wa mataifa imezituhumu serikali za Tanzania na Burundi kuhusiana na hali katika Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo.

 

10 years ago

BBCSwahili

Wapiganaji wa M23 kurudi DRC

Rais wa kundi la waasi wa M23 amesema kuwa wapiganaji zaidi ya mia moja wa kundi hilo walioko nchini Uganda hawajatoroka .

 

11 years ago

Michuzi

Kikwete apendekeza DRC izungumze na M23

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Jakaya Kikwete amefanya mahojiano na mwandishi  wa DW aliyeko Kinshasa Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo Saleh Mwanamilongo Jumanne (15.04.2014) nchini Tanzania.Rais Jakaya Kikwete wa Tanzania na mwandishi Saleh Mwanamilongo Dar- es -Salaam. (15.04.2014) Rais Jakaya Kikwete wa Tanzania na mwandishi Saleh Mwanamilongo Dar- es -Salaam. (15.04.2014) Katika mahojiano hayo yaliofanyika Ikulu ya Dar-es-Salaam yaliyodumu kwa takriban dakika arobaini Rais Kikwete ameelezea maoni yake juu ya shughuli za kulinda amani za kikosi cha Umoja wa Mataifa...

 

11 years ago

BBCSwahili

Ni rasmi - Mkataba wa amani DRC na M23

Viongozi wa Maziwa makuu, akiwemo mwenyekiti wao Yoweri Museveni, wameidhinisha mkataba wa amani kati ya M23 na DRC jijini Nairobi

 

10 years ago

TheCitizen

Uganda gives DRC M23 rebels deadline to leave

Uganda has issued a three-month ultimatum to Democratic Republic of Congo to relocate hundreds of ex-rebel fighters or they will be handed to the United Nations, an army spokesman said Thursday.

 

11 years ago

BBCSwahili

Tanzania yasema M23 walitoka Rwanda

Tanzania imesema inayo uhakika kuwa waasi wa M23 walioondolewa nchini Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Congo ni raia Rwanda.

 

11 years ago

TheCitizen

M23 recruits in Rwanda as Kigali says report ‘flawed’

>The UN Security Council brushed aside Rwandan protests to release a report Thursday saying Democratic Republic of Congo rebels are recruiting fighters inside Rwanda.

 

11 years ago

Habarileo

Mwafaka Rwanda, DRC wakaribia

MGOGORO wa kidiplomasia kati ya nchi za Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) na Rwanda, unaelekea ukingoni baada ya kikundi cha wapiganaji cha FDLR kukubali kuweka silaha chini kwa hiyari yao. Kikundi hicho kilipeleka barua rasmi katika Mkutano wa Kimataifa wa Pili wa Mawaziri wa Jumuiya ya Maendeleo ya Kusini mwa Afrika (SADC) na Jumuiya ya Nchi za Ukanda wa Maziwa Makuu (ICGLR), uliomalizika juzi Luanda nchini Angola, kuelezea nia yao ya kuweka silaha chini.

 

11 years ago

BBCSwahili

Majeshi ya DRC na Rwanda yakabiliana

Maafisa wa serikali ya DRC wanasema majeshi yao yamekabiliana na majeshi ya Rwanda Mashariki mwa Congo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani