Wapiganaji wa M23 kurudi DRC
Rais wa kundi la waasi wa M23 amesema kuwa wapiganaji zaidi ya mia moja wa kundi hilo walioko nchini Uganda hawajatoroka .
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi17 Apr
Kikwete apendekeza DRC izungumze na M23
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Jakaya Kikwete amefanya mahojiano na mwandishi wa DW aliyeko Kinshasa Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo Saleh Mwanamilongo Jumanne (15.04.2014) nchini Tanzania.
Rais Jakaya Kikwete wa Tanzania na mwandishi Saleh Mwanamilongo Dar- es -Salaam. (15.04.2014)
Katika mahojiano hayo yaliofanyika Ikulu ya Dar-es-Salaam yaliyodumu kwa takriban dakika arobaini Rais Kikwete ameelezea maoni yake juu ya shughuli za kulinda amani za kikosi cha Umoja wa Mataifa...
![Rais Jakaya Kikwete wa Tanzania na mwandishi Saleh Mwanamilongo Dar- es -Salaam. (15.04.2014) Rais Jakaya Kikwete wa Tanzania na mwandishi Saleh Mwanamilongo Dar- es -Salaam. (15.04.2014)](http://www.dw.de/image/0,,17572377_303,00.jpg)
11 years ago
BBCSwahili13 Dec
Ni rasmi - Mkataba wa amani DRC na M23
Viongozi wa Maziwa makuu, akiwemo mwenyekiti wao Yoweri Museveni, wameidhinisha mkataba wa amani kati ya M23 na DRC jijini Nairobi
11 years ago
BBCSwahili05 Jun
DRC yailaumu Rwanda kuwalinda M23
Serikali ya DR Congo imeilaumu Rwanda kwa kuwalinda wapiganaji wa M23.
10 years ago
TheCitizen01 Feb
Uganda gives DRC M23 rebels deadline to leave
Uganda has issued a three-month ultimatum to Democratic Republic of Congo to relocate hundreds of ex-rebel fighters or they will be handed to the United Nations, an army spokesman said Thursday.
10 years ago
BBCSwahili01 Oct
DRC:Wapiganaji wa zamani wafa njaa
Huma Rights Watch linasema zaidi ya watu mia moja wamefariki kutokana na njaa pamoja na maradhi katika kambi moja ya kijeshi
11 years ago
BBCSwahili12 Dec
UG na Malawi waidhinisha mkataba wa M23
Rais wa Malawi Joyce Banda na mwenzake wa Uganda Yoweri Museveni wasaini kuwa wadhamini kwa mkataba wa amani kati ya DRC na M23.
10 years ago
BBCSwahili09 Oct
UN:M23 walibaka mamia ya wanawake
Kikosi cha UN katika Jamhuri ya kidemokrasi ya Congo, kimetuhumu kundi la waasi wa zamani M23 kwa kufanya uovu mkubwa ikiwemo ubakaji
11 years ago
BBCSwahili27 May
Tanzania yasema M23 walitoka Rwanda
Tanzania imesema inayo uhakika kuwa waasi wa M23 walioondolewa nchini Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Congo ni raia Rwanda.
10 years ago
BBCSwahili13 Oct
Waasi wa M23 wakana kutenda uovu
Kundi la wasi la M23 limekanusha madai ya kufanya uovu kama vile mauji ya kiholela pamoja na ubakaji katika eneo lililokuwa likidhidhiti katika Kivu Kaskazini.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania