Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Waasi wa M23 wakana kutenda uovu

Kundi la wasi la M23 limekanusha madai ya kufanya uovu kama vile mauji ya kiholela pamoja na ubakaji katika eneo lililokuwa likidhidhiti katika Kivu Kaskazini.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Waasi wakana kutungua ndege ya UN

Waasi nchini Sudan wamekanusha madai kuwa walitungua helikopta moja ya Umoja wa Mataifa, katika mji wa Bentiu

 

11 years ago

BBCSwahili

Waasi wa Sudan Kusini wakana mauaji

Waasi nchini Sudan Kusini wamekanusha madai yaliyotolewa na Umoja wa Mataifa kuwa waliwaua raia mjini Bentiu kwa misingi ya ukabila.

 

10 years ago

Mwananchi

Viongozi msiunde umoja wa uovu

Kwa hulka na desturi yangu, wanasiasa ni kati ya watu nisiowaamini kutokana na misimamo yao kutoeleweka dhahiri au kuyumba kulingana na muda na masilahi yao binafsi.

 

10 years ago

Habarileo

UKAWA wataka sheria ya maadili inayodhibiti uovu

Viongozi wa Ukawa.VYAMA vya siasa vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA), vimetaka sheria ya maadili itungwe upya ili kuweka uwazi wa watu wote kuona taarifa ya mali za viongozi.

 

10 years ago

Vijimambo

SINA MAJINA YA MAFISADI, INGAWA UOVU HUU UMO NDANI YA VYAMA VYA SIASA

MGOMBEA anayeomba kuteuliwa na Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuwania Urais katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu, Steven Wasira, amesema hana majina ya washukiwa wa ufisadi, ingawa uovu huo umo ndani ya vyama vya siasa ikiwamo CCM.
Wasira anayeongozwa na kauli mbiu ya Uadilifu na Umoja wa Watanzania; Safari ya Uhakika, alisema hayo wakati akizungumza na wana-CCM waliomdhamini katika mikoa ya Rukwa na Katavi jana.
Alisema CCM na serikali yake ni taasisi zilizo na misingi ya uadilifu, ingawa ndani yake...

 

10 years ago

BBCSwahili

Wapiganaji wa M23 kurudi DRC

Rais wa kundi la waasi wa M23 amesema kuwa wapiganaji zaidi ya mia moja wa kundi hilo walioko nchini Uganda hawajatoroka .

 

10 years ago

BBCSwahili

UN:M23 walibaka mamia ya wanawake

Kikosi cha UN katika Jamhuri ya kidemokrasi ya Congo, kimetuhumu kundi la waasi wa zamani M23 kwa kufanya uovu mkubwa ikiwemo ubakaji

 

11 years ago

BBCSwahili

UG na Malawi waidhinisha mkataba wa M23

Rais wa Malawi Joyce Banda na mwenzake wa Uganda Yoweri Museveni wasaini kuwa wadhamini kwa mkataba wa amani kati ya DRC na M23.

 

11 years ago

BBCSwahili

DRC yailaumu Rwanda kuwalinda M23

Serikali ya DR Congo imeilaumu Rwanda kwa kuwalinda wapiganaji wa M23.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani