UKAWA wataka sheria ya maadili inayodhibiti uovu
VYAMA vya siasa vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA), vimetaka sheria ya maadili itungwe upya ili kuweka uwazi wa watu wote kuona taarifa ya mali za viongozi.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-K39u0MN_Ukg/VD6vGCFlaNI/AAAAAAAGqt0/b4nhcBByfs0/s72-c/unnamed%2B(32).jpg)
Mashahidi walieleza Baraza la Maadili jinsi Mkuu wa Wilaya ya Korogwe alivyokiuka Sheria ya Maadili ya Viongozi wa Umma.
9 years ago
Habarileo11 Sep
Polisi wataka vyama kuheshimu maadili
KAMISHNA wa Jeshi la Polisi Zanzibar, Omar Hamdani amewataka viongozi wa vyama vya siasa, kuheshimu maadili na kuzingatia sheria za uchaguzi ili kulinda amani na utulivu.
10 years ago
Mwananchi03 Feb
Sheria ya Maadili ya Viongozi ni butu
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-xQHICFAwNSQ/Xq7hT3shYvI/AAAAAAALo9Q/ozfUWUeir4IN__tyUQ_OCMpTt-8t8kglACLcBGAsYHQ/s72-c/DSC06868_1588499924450.jpg)
Waandishi zingatieni maadili, sheria
Na. Vero Ignatus
CHAMA cha Wafanyakazi wa Vyombo vya Habari Tanzania(JOWUTA) kimesisitiza umuhimu wa waandishi wa habari nchini kuendelea kuzingatia maadili, kanuni na sheria katika utekelezaji wa majukumu yao katika kipindi hiki cha mapambano dhidi ya janga la ugonjwa wa homa kali ya mapafu COVID19.
Akitoa salamu za maadhimisho ya siku ya Uhuru wa Habari Duniani leo, Mwenyekiti wa JOWUTA, Claud Gwandu alisema uhuru wa habari, maadili, haki, usawa ni nguzo muhimu za kuzingatiwa na wanahabari...
10 years ago
Tanzania Daima28 Aug
Mkapa atetea sheria ya maadili ya viongozi
RAIS mstaafu wa Awamu ya Tatu, Benjamin Mkapa, amesema kuwa mgongano wa maslahi miongoni mwa viongozi na watumishi wa Umma, unatokana na kutumia madaraka waliyonayo kuendeleza maslahi binafsi. Mkapa aliyasema...
11 years ago
Mwananchi08 Mar
Kenya wataka sheria ya ushoga
10 years ago
Habarileo05 Jul
Wataka Sheria ya Manunuzi kurejewa
SERIKALI imeombwa kuifanyia marekebisho Sheria ya Manunuzi ya Umma ili kuondoa baadhi ya vipengele ambavyo hutumiwa na watumishi wasio waaminifu kama mwanya wa kujinufaisha wao binafsi.
9 years ago
MichuziMAWAKILI ZINGATIENI MAADILI YA TAALUMA YA SHERIA – JAJI MKUU
11 years ago
Habarileo17 Jul
Wataka sheria iruhusu wazazi wachapwe
BAADHI ya wazazi wa kata ya Lusaka wilayani Sumbawanga mkoani Rukwa wametaka sheria ndogo itakayowapatia uwezo wa kisheria walimu wa shule za msingi na sekondari kuwapiga viboko baadhi ya wazazi wanaokataa kugharamia mahitaji ya watoto wao shuleni ikiwemo kutolipa ada za shule.