Waandishi zingatieni maadili, sheria
![](https://1.bp.blogspot.com/-xQHICFAwNSQ/Xq7hT3shYvI/AAAAAAALo9Q/ozfUWUeir4IN__tyUQ_OCMpTt-8t8kglACLcBGAsYHQ/s72-c/DSC06868_1588499924450.jpg)
Na. Vero Ignatus
CHAMA cha Wafanyakazi wa Vyombo vya Habari Tanzania(JOWUTA) kimesisitiza umuhimu wa waandishi wa habari nchini kuendelea kuzingatia maadili, kanuni na sheria katika utekelezaji wa majukumu yao katika kipindi hiki cha mapambano dhidi ya janga la ugonjwa wa homa kali ya mapafu COVID19.
Akitoa salamu za maadhimisho ya siku ya Uhuru wa Habari Duniani leo, Mwenyekiti wa JOWUTA, Claud Gwandu alisema uhuru wa habari, maadili, haki, usawa ni nguzo muhimu za kuzingatiwa na wanahabari...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
MichuziMAWAKILI ZINGATIENI MAADILI YA TAALUMA YA SHERIA – JAJI MKUU
9 years ago
Dewji Blog16 Dec
Mawakili zingatieni maadili ya taaluma ya Sheria-Jaji Mkuu Mh. Othman Chande!!
Jaji Mkuu wa Tanzania Mhe. Othman Chande akizungumza na Mawakili 104 walioapishwa jana Desemba 15, jijini Dar es salaam. Mhe. Chande amewataka Mawakili hao kufanya kazi zao kwa kuzingatia weledi na maadili ya taaluma yao.
Na. Aron Msigwa –MAELEZO
Jaji Mkuu wa Tanzania Mhe. Othman Chande amewataka Mawakili kote nchini kufanya kazi zao kwa kuzingatia weledi na maadili ya taaluma ya Sheria na kwamba wasisite kuwaeleza ukweli wateja wao wanaopeleka mashauri Mahakamani ili kuepuka kupoteza muda...
11 years ago
Habarileo09 Jan
IGP- Polisi zingatieni maadili
MAOFISA na askari Polisi wametakiwa kuendelea kufanya kazi kwa kufuata misingi na maadili ya kazi zao ili wawezeshe kutoa huduma bora na kuwezesha mapambano ya uhalifu kufanikiwa.
10 years ago
Mwananchi21 Dec
Zingatieni maadili katika uigizaji wenu
10 years ago
Mwananchi12 Apr
HOJA BINAFSI: Mabloga zingatieni maadili kuheshimu picha za marehemu mitandaoni
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-K39u0MN_Ukg/VD6vGCFlaNI/AAAAAAAGqt0/b4nhcBByfs0/s72-c/unnamed%2B(32).jpg)
Mashahidi walieleza Baraza la Maadili jinsi Mkuu wa Wilaya ya Korogwe alivyokiuka Sheria ya Maadili ya Viongozi wa Umma.
11 years ago
Tanzania Daima09 Aug
‘Zingatieni sheria za uzazi’
SERIKALI imewataka waajiri katika taasisi zake mbalimbali na zile zisizo za kiserikali kuzingatia na kulinda sheria zinazowalinda wanawake wanaojifungua kwa kuwapa likizo za uzazi. Waajiri hao pia wametakiwa kuzingatia sheria...
9 years ago
Dewji Blog22 Oct
MSEMAJI WA SERIKALI: Wanahabari zingatieni miiko na maadili ya taaluma kuripoti habari za Uchaguzi Mkuu Okt 25
Mkurugenzi Idara ya Habari, Assah Mwambene (kulia) akitoa ufafanuzi kwa waandishi wa habari (Hawapo pichani) mapema leo Oktoba 22.2015 katika ukumbi wa Idara ya Habari MAELEZO. Anayeshuhudia kushoto ni afisa wa Idara hiyo. (Picha zote na Andrew Chale, Modewjiblog).
Na Andrew Chale, Modewjiblog
[ILALA-DAR ES SALAAM] Mkurugenzi wa Idara Habari Maelezo, Assah Mwambene amekutana na wanahabari mbalimbali mapema leo na kuwapa elimu juu ya kuzingatia maadili na misingi ya uandishi wa Habari...
9 years ago
Mwananchi17 Oct
‘Ushirika, Vicoba zingatieni sheria’