Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Zingatieni maadili katika uigizaji wenu

Katika mambo yanayowachukiza watazamaji wa filamu za Kibongo, uvaaji nguo fupi au vimini, unaweza kuongoza.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

IGP- Polisi zingatieni maadili

MAOFISA na askari Polisi wametakiwa kuendelea kufanya kazi kwa kufuata misingi na maadili ya kazi zao ili wawezeshe kutoa huduma bora na kuwezesha mapambano ya uhalifu kufanikiwa.

 

5 years ago

Michuzi

Waandishi zingatieni maadili, sheria


Na. Vero Ignatus

CHAMA cha Wafanyakazi wa Vyombo vya Habari Tanzania(JOWUTA) kimesisitiza umuhimu wa waandishi wa habari nchini kuendelea kuzingatia maadili, kanuni na sheria katika utekelezaji wa majukumu yao katika kipindi hiki cha mapambano dhidi ya janga la ugonjwa wa homa kali ya mapafu COVID19.

Akitoa salamu za maadhimisho ya siku ya Uhuru wa Habari Duniani leo, Mwenyekiti wa JOWUTA, Claud Gwandu alisema uhuru wa habari, maadili, haki, usawa ni nguzo muhimu za kuzingatiwa na wanahabari...

 

9 years ago

Michuzi

MAWAKILI ZINGATIENI MAADILI YA TAALUMA YA SHERIA – JAJI MKUU

Jaji Mkuu wa Tanzania Mhe. Othman Chande amewataka Mawakili kote nchini kufanya kazi zao kwa kuzingatia weledi na maadili ya taaluma ya Sheria na kwamba wasisite kuwaeleza ukweli wateja wao wanaopeleka mashauri Mahakamani ili kuepuka kupoteza muda na gharama katika masuala yanayoweza kupatiwa ufumbuzi nje ya Mahakama.  Akizungumza na Mawakili wapya 104 waliohitimu Shule ya Sheria kwa mwaka 2015 wakati wa hafla ya 53 ya kuwapokea na kuwaapisha iliyofanyika katika viwanja vya Karimjee leo...

 

9 years ago

Dewji Blog

Mawakili zingatieni maadili ya taaluma ya Sheria-Jaji Mkuu Mh. Othman Chande!!

Picha na 3

Jaji Mkuu wa Tanzania Mhe. Othman Chande akizungumza na Mawakili 104 walioapishwa  jana Desemba 15, jijini Dar es salaam. Mhe. Chande amewataka Mawakili hao kufanya kazi zao kwa kuzingatia weledi na maadili ya taaluma yao.

Na. Aron Msigwa –MAELEZO

Jaji Mkuu wa Tanzania Mhe. Othman Chande amewataka Mawakili kote nchini kufanya kazi zao kwa kuzingatia weledi na maadili ya taaluma ya Sheria na kwamba wasisite kuwaeleza ukweli wateja wao wanaopeleka mashauri Mahakamani ili kuepuka kupoteza muda...

 

10 years ago

Mwananchi

HOJA BINAFSI: Mabloga zingatieni maadili kuheshimu picha za marehemu mitandaoni

>Raha ya kipindi tunachoishi sasa  ni wepesi wa mawasiliano. Mawasiliano ya haraka kwa simu za mkononi, habari kusambaa, mitandao kutupasha yaliyotokea, ghafla bin vuu. Hakuna  linalofanyika hadharani likapita, vuum,  siku hizi. Iwe umbea au udaku; serikali, mazuri au kashfa, gharika au tufani; ili mradi...Buum! Hiyo hapo machoni.

 

10 years ago

Dewji Blog

MSEMAJI WA SERIKALI: Wanahabari zingatieni miiko na maadili ya taaluma kuripoti habari za Uchaguzi Mkuu Okt 25

DSC_4163

Mkurugenzi Idara ya Habari, Assah Mwambene (kulia) akitoa ufafanuzi kwa waandishi wa habari (Hawapo pichani) mapema leo Oktoba 22.2015 katika ukumbi wa Idara ya Habari MAELEZO. Anayeshuhudia kushoto ni afisa wa Idara hiyo. (Picha zote na Andrew Chale, Modewjiblog).

Na Andrew Chale, Modewjiblog

[ILALA-DAR ES SALAAM] Mkurugenzi wa Idara Habari Maelezo,  Assah Mwambene  amekutana na wanahabari mbalimbali mapema leo na kuwapa elimu juu ya kuzingatia maadili na misingi ya uandishi wa Habari...

 

10 years ago

Dewji Blog

MSEMAJI WA SERIKALI: Wamiliki wa Blog/mitandao ya kijamii zingatieni maadili ya upashaji habari za Uchaguzi Mkuu Okt 25

DSC_4292

Mkurugenzi Idara ya Habari, Assah Mwambene (mwenye suti nyeusi aliyesimama-kulia) akisikiliza kwa makini mawazo na maoni yaliyokuwa yakitolewa na  Mwenyekiti wa Chama cha Tanzania Bloggers Network (TBN), Joachim Mushi. (Picha zote na Andrew Chale, Modewjiblog).

DSC_4305

Mkurugenzi Idara ya Habari, Assah Mwambene (kushoto) akisikiliza kwa makini maoni yaliyokuwa yakitolewa na Umoja wa Bloggers Tanzania (TBN), Kulia kwake ni Afisa wa Idara hiyo.

Na Andrew Chale, Modewjiblog

[DAR ES SALAAM]...

 

10 years ago

Mwananchi

Katika utamaduni wenu hakuna? Au kuna ...

Mmmh jamani, haya mambo ya nchi yetu ya tangazania yamezidi. Sasa hata mtoto wa shule amejiunga na wenzie kutangaza nia. Sina ubishi, yeye ana haki sawa na wengine lakini picha sasa imekuwa wazi. Kutangazania, kujitangaza pia, kutengeneza ubia, ili mradi jengo letu tukufu limegeuka kimbilio la wakosefu

 

11 years ago

Mwananchi

WOLPER: Urembo, kujipodoa havina nafasi katika uigizaji

Wengi hudhani hata kusema kuwa uzuri ni moja ya vigezo vya kuwa mwigizaji vinavyoleta mvuto kwenye filamu na mara kadhaa tumeshuhudia warembo wakiingia katika uigizaji na kupata mafanikio.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani