WOLPER: Urembo, kujipodoa havina nafasi katika uigizaji
Wengi hudhani hata kusema kuwa uzuri ni moja ya vigezo vya kuwa mwigizaji vinavyoleta mvuto kwenye filamu na mara kadhaa tumeshuhudia warembo wakiingia katika uigizaji na kupata mafanikio.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/hA00SIFl6AUtcBclmCEs1u4fK3EmyeoVIHfIVjxKz98VGgJA2k0oaks3lKUrLBiT7AY85mGWVVHlEemGSpOn4l2yAM2kmc33/W2.png?width=650)
KISA SIASA, WOLPER AWEKA PEMBENI UIGIZAJI
9 years ago
Bongo Movies13 Nov
Kisa Siasa, Wolper Aweka Pembeni Uigizaji
UPO? Habari ikufikie kuwa ‘mtoto mtamu’ anayesumbua katika tasnia ya filamu Bongo, Jacqueline Wolper Massawe ameweka pembeni masuala ya uigizaji kwa muda usiojulikana kwa kile alichodai ni kujipa muda wa kupumzika na kujikita zaidi kwenye mambo ya siasa.
Rafiki wa karibu na Wolper aliyeomba hifadhi ya jina lake mwanzoni mwa wiki hii, aliliambia gazeti hili kuwa Wolper kwa sasa amekolea sana kwenye mambo ya siasa na kuona kama amekuwa akipoteza muda mwingi kwenye mambo ya uigizaji.
Baada ya...
10 years ago
Mwananchi21 Dec
Zingatieni maadili katika uigizaji wenu
10 years ago
BBCSwahili27 Jul
Urembo katika visiwa vya Comoro
11 years ago
BBCSwahili10 Jun
Je Urembo wa kujichubua ni urembo?
9 years ago
Mtanzania05 Jan
Dk. Mayunga: Viwanja 1200, 000 havina hati
NA KOKU DAVID, DAR ES SALAAM
NAIBU Katibu Mkuu wa Wizara Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Dk. Sellasie Mayunga amesema kati ya viwanja 1,816,009, vilivyopimwa kati ya hivyo vyenye hati ni 586,000 tu.
Akizungumza na waandishi wa habari, Dar es salaam jana kabla ya makabidhiano ya ofisi ya Naibu Katibu Mkuu mpya, Dk. Moses Kusiluka ambaye hata hivyo hakuhudhuria makabidhiano hayo, Dk. Mayunga alisema ufinyu wa bajeti katika wizara hiyo, unachangia kuzorota kwa baadhi ya kazi, ingawa kuna...
9 years ago
Habarileo28 Nov
Vituo vya afya 286 havina maji Dodoma
VITUO 286 kati ya vituo vya afya 402 vilivyopo mkoani Dodoma havina maji kabisa na hivyo kuleta shida kubwa ya usafi binafsi kwa wanaofika kupata huduma katika vituo hivyo.
11 years ago
MichuziTIMU NZIMA YA KUSAKA VIPAJI VYA UIGIZAJI TANZANIA YAELEKEA MKOANI MWANZA KWAAJILI YA KUANZA ZOEZI LA KUSAKA VIPAJI VYA UIGIZAJI TANZANIA
11 years ago
Mwananchi20 Jul
Nafasi ya shampoo katika nywele