Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


WOLPER: Urembo, kujipodoa havina nafasi katika uigizaji

Wengi hudhani hata kusema kuwa uzuri ni moja ya vigezo vya kuwa mwigizaji vinavyoleta mvuto kwenye filamu na mara kadhaa tumeshuhudia warembo wakiingia katika uigizaji na kupata mafanikio.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

GPL

KISA SIASA, WOLPER AWEKA PEMBENI UIGIZAJI

‘Mtoto mtamu’ anayesumbua katika tasnia ya filamu Bongo, Jacqueline Wolper. Na Brighton Masalu
UPO? Habari ikufikie kuwa ‘mtoto mtamu’ anayesumbua katika tasnia ya filamu Bongo, Jacqueline Wolper Massawe ameweka pembeni masuala ya uigizaji kwa muda usiojulikana kwa kile alichodai ni kujipa muda wa kupumzika na kujikita zaidi kwenye mambo ya siasa. Rafiki wa karibu na Wolper aliyeomba hifadhi ya jina lake mwanzoni mwa...

 

9 years ago

Bongo Movies

Kisa Siasa, Wolper Aweka Pembeni Uigizaji

UPO? Habari ikufikie kuwa ‘mtoto mtamu’ anayesumbua katika tasnia ya filamu Bongo, Jacqueline Wolper Massawe ameweka pembeni masuala ya uigizaji kwa muda usiojulikana kwa kile alichodai ni kujipa muda wa kupumzika na kujikita zaidi kwenye mambo ya siasa.

Rafiki wa karibu na Wolper aliyeomba hifadhi ya jina lake mwanzoni mwa wiki hii, aliliambia gazeti hili kuwa Wolper kwa sasa amekolea sana kwenye mambo ya siasa na kuona kama amekuwa akipoteza muda mwingi kwenye mambo ya uigizaji.

Baada ya...

 

10 years ago

Mwananchi

Zingatieni maadili katika uigizaji wenu

Katika mambo yanayowachukiza watazamaji wa filamu za Kibongo, uvaaji nguo fupi au vimini, unaweza kuongoza.

 

10 years ago

BBCSwahili

Urembo katika visiwa vya Comoro

Bila shaka urembo unaweza kutafsiriwa kwa namna mbalimbali.Na nchi tofauti zina namna ya kipekee kudhihirisha uzuri wao.

 

11 years ago

BBCSwahili

Je Urembo wa kujichubua ni urembo?

Kutana na Vera Sidika, mkenya maarufu aliejichubua ngozi na sasa anasema wengi wanaomkosoa ni wanafiki

 

9 years ago

Mtanzania

Dk. Mayunga: Viwanja 1200, 000 havina hati

mayungaNA KOKU DAVID, DAR ES SALAAM

NAIBU Katibu Mkuu wa Wizara Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Dk. Sellasie Mayunga amesema kati ya viwanja 1,816,009, vilivyopimwa kati ya hivyo vyenye hati ni 586,000 tu.

Akizungumza na waandishi wa habari, Dar es salaam jana kabla ya makabidhiano ya ofisi ya Naibu Katibu Mkuu mpya, Dk. Moses Kusiluka ambaye hata hivyo hakuhudhuria makabidhiano hayo, Dk. Mayunga alisema ufinyu wa bajeti katika wizara hiyo, unachangia kuzorota kwa baadhi ya kazi, ingawa kuna...

 

9 years ago

Habarileo

Vituo vya afya 286 havina maji Dodoma

VITUO 286 kati ya vituo vya afya 402 vilivyopo mkoani Dodoma havina maji kabisa na hivyo kuleta shida kubwa ya usafi binafsi kwa wanaofika kupata huduma katika vituo hivyo.

 

11 years ago

Michuzi

TIMU NZIMA YA KUSAKA VIPAJI VYA UIGIZAJI TANZANIA YAELEKEA MKOANI MWANZA KWAAJILI YA KUANZA ZOEZI LA KUSAKA VIPAJI VYA UIGIZAJI TANZANIA

Timu nzima ya Tanzania Movie Talents kutoka kampuni ya Proin Promotions Limited wakiwa katika picha ya pamoja kabla ya kuanza safari ya kuelekea Mwanza kwaajili ya shindano la kutafuta Vipaji vya Uigizaji Tanzania ambapo shindano hili litaanzia katika Kanda ya Ziwa katika Mkoa wa Mwanza Kuanzia tarehe 5 April 2014 mahali ni Isamilo Lodge. Mdau Karimu Muhidin Michuzi na Baadhi ya vijana wa kazi katika timu ya kusaka vipaji wakiwa tayari kwa safari ya Mwanza. Mabasi yakiwa tayari kwa...

 

11 years ago

Mwananchi

Nafasi ya shampoo katika nywele

Matumizi ya bidhaa mbalimbali yamekuwa yakifanyika kutokana na mazoea tu. Wakati mwingine imekuwa ni vigumu kwa mtumiaji husika kueleza, umuhimu au faida za bidhaa anayoitumia.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani