Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


UG na Malawi waidhinisha mkataba wa M23

Rais wa Malawi Joyce Banda na mwenzake wa Uganda Yoweri Museveni wasaini kuwa wadhamini kwa mkataba wa amani kati ya DRC na M23.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Ni rasmi - Mkataba wa amani DRC na M23

Viongozi wa Maziwa makuu, akiwemo mwenyekiti wao Yoweri Museveni, wameidhinisha mkataba wa amani kati ya M23 na DRC jijini Nairobi

 

11 years ago

Michuzi

TANZANIA NA MALAWI ZASAINI MKATABA WA KUANZISHA KITUO CHA PAMOJA CHA UHAMIAJI NA USHURU WA FORODHA

Na Ally Kondo, Lilongwe  Nchi za Afrika zimehimizwa kufanya biashara baina yao ili kujiletea maendeleo, badala ya kusubiri misaada isiyokuwa na uhakika kutoka nchi wahisani. Kauli hiyo ilitolewa na Waziri wa Fedha, Mhe. Saada Salum (Mb) wakati wa hafla ya uwekaji saini Mkataba wa kuanzisha Kituo cha Pamoja cha Uhamiaji na Ushuru wa Forodha cha Songwe - Kasumulu kati ya Serikali ya Tanzania na Serikali ya Malawi.   Uwekaji saini huo ulifanyika Lilongwe, Malawi leo  Jumatatu tarehe 10 Machi,...

 

9 years ago

BBCSwahili

Wanyarwanda waidhinisha marekebisho ya katiba

Wanyarwanda wameunga mkono kwa wingi marekebisho ya katiba ambayo yatamruhusu Rais Paul Kagame kuendelea kuongoza, matokeo ya awali ya kura ya maoni yanaonyesha.

 

9 years ago

BBCSwahili

Majaji waidhinisha ushindi wa Ouattara Ivory Coast

Majaji wa mahakama ya kikatiba Ivory Coast wamethibitisha Rais Alassane Ouattara ndiye mshindi wa uchaguzi mkuu uliofanyika siku nane zilizopita.

 

9 years ago

BBCSwahili

Mawaziri waidhinisha kura ya muda wa rais Rwanda

Baraza la mawaziri Rwanda limeidhinisha kufanyika kwa kura ya mamuzi kuhusu marekebisho ya katiba yatakayomruhusu Rais Paul Kagame kuendelea kukaa madarakani.

 

10 years ago

BBCSwahili

Wapiganaji wa M23 kurudi DRC

Rais wa kundi la waasi wa M23 amesema kuwa wapiganaji zaidi ya mia moja wa kundi hilo walioko nchini Uganda hawajatoroka .

 

10 years ago

BBCSwahili

UN:M23 walibaka mamia ya wanawake

Kikosi cha UN katika Jamhuri ya kidemokrasi ya Congo, kimetuhumu kundi la waasi wa zamani M23 kwa kufanya uovu mkubwa ikiwemo ubakaji

 

10 years ago

BBCSwahili

Waasi wa M23 wakana kutenda uovu

Kundi la wasi la M23 limekanusha madai ya kufanya uovu kama vile mauji ya kiholela pamoja na ubakaji katika eneo lililokuwa likidhidhiti katika Kivu Kaskazini.

 

11 years ago

BBCSwahili

Tanzania yasema M23 walitoka Rwanda

Tanzania imesema inayo uhakika kuwa waasi wa M23 walioondolewa nchini Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Congo ni raia Rwanda.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani