Wanyarwanda waidhinisha marekebisho ya katiba
Wanyarwanda wameunga mkono kwa wingi marekebisho ya katiba ambayo yatamruhusu Rais Paul Kagame kuendelea kuongoza, matokeo ya awali ya kura ya maoni yanaonyesha.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
Global Publishers19 Dec
Wanyarwanda Waunga Mkono Mabadiliko ya Katiba
Rais wa Rwanda, Paul Kagame.
Wanyarwanda wameunga mkono kwa wingi marekebisho ya katiba ambayo yatamruhusu Rais Paul Kagame kuendelea kuongoza, matokeo ya awali ya kura ya maoni ya mabadiliko ya katiba iliyopigwa jana nchini humo yanaonesha hivyo.
Raia akipiga kura.
Kwa mujibu wa taarifa ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi nchini Rwanda inasema, asilimia 98 ya wapiga kura wameunga mkono marekebisho hayo ya katiba ambayo yatamruhusu Rais Paul Kagame kuwania kwa muhula mwingine mwaka 2017, baada yake...
9 years ago
BBCSwahili18 Dec
Wanyarwanda wanapiga kura kubadili Katiba
10 years ago
Habarileo29 Sep
Mjumbe ataka marekebisho Bunge la Katiba
SIKU chache baada ya Bunge Maalumu la Katiba (BMK) kupokea rasimu ya Katiba mpya iliyopendekezwa, mmoja wa wajumbe wa bunge hilo anayetoka kundi la 201, John Ndumbaro ameibukia mjini hapa na kutaka vipengele kadhaa vifanyiwe marekebisho.
11 years ago
GPLSIMBA YAPITISHA MAREKEBISHO YA KATIBA MPYA
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Uf2ss_Zu0vo/U6qWiLyVsGI/AAAAAAAFs48/bEVDZ81zPWc/s72-c/unnamed+(19).jpg)
MAPENDEKEZO YA MAREKEBISHO YA KATIBA YA CUF YAPITISHWA
9 years ago
BBCSwahili27 Oct
Marekebisho ya katiba yaidhinishwa Congo-Brazzaville
11 years ago
Tanzania Daima10 Jan
Bongo Movie wafanyie marekebisho katiba yao
KATIBA ni sheria au kanuni zinazoainisha namna nchi, chama, shirika au taasisi itakavyoendesha shughuli zake kulingana na maudhui ya uwepo wake. Kwa upande wa nchi, katiba ni sheria mama inayoainisha misingi mikuu ya...
9 years ago
Global Publishers18 Dec
Kura ya maoni marekebisho ya katiba Rwanda yaanza
Raia wa Rwanda akipiga kura ya maoni.
Wananchi wakiwa kwenye foleni wakisubiri zamu yao ya kupiga kura iwadie.
…wakisikiliza moja ya midahalo nchini humo.
Raia wa Rwanda wameanza kufika vituoni kushiriki kwenye kura ya maoni ya marekebisho ya katiba, ambayo yakiidhinishwa yatamruhusu Rais Paul Kagame kuwania urais kwa muhula wa tatu.
Vituo vya kupigia kura vilifunguliwa asubuhi na mapema, huku watu 6 milioni wakitarajiwa kupiga kura. Bw Kagame anatarajiwa kupiga kura katika kituo cha...
11 years ago
BBCSwahili12 Dec
UG na Malawi waidhinisha mkataba wa M23