Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wanyarwanda waidhinisha marekebisho ya katiba

Wanyarwanda wameunga mkono kwa wingi marekebisho ya katiba ambayo yatamruhusu Rais Paul Kagame kuendelea kuongoza, matokeo ya awali ya kura ya maoni yanaonyesha.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Global Publishers

Wanyarwanda Waunga Mkono Mabadiliko ya Katiba

rwanda (5)Rais wa Rwanda, Paul Kagame.

Wanyarwanda wameunga mkono kwa wingi marekebisho ya katiba ambayo yatamruhusu Rais Paul Kagame kuendelea kuongoza, matokeo ya awali ya kura ya maoni ya mabadiliko ya katiba iliyopigwa jana nchini humo yanaonesha hivyo.

rwanda (1)Raia akipiga kura.

Kwa mujibu wa taarifa ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi nchini Rwanda inasema, asilimia 98 ya wapiga kura wameunga mkono marekebisho hayo ya katiba ambayo yatamruhusu Rais Paul Kagame kuwania kwa muhula mwingine mwaka 2017, baada yake...

 

9 years ago

BBCSwahili

Wanyarwanda wanapiga kura kubadili Katiba

Vituo vya kupigia kura vinafunguliwa asubuhi hii ili Wananchi wa Rwanda zaidi ya milioni sita leo wapige kura ya maoni kukubali ama kukataa kubadili katiba ili kumruhusu Rais wa nchi hiyo Paul Kagame kugombea tena kiti cha urais.

 

10 years ago

Habarileo

Mjumbe ataka marekebisho Bunge la Katiba

SIKU chache baada ya Bunge Maalumu la Katiba (BMK) kupokea rasimu ya Katiba mpya iliyopendekezwa, mmoja wa wajumbe wa bunge hilo anayetoka kundi la 201, John Ndumbaro ameibukia mjini hapa na kutaka vipengele kadhaa vifanyiwe marekebisho.

 

11 years ago

GPL

SIMBA YAPITISHA MAREKEBISHO YA KATIBA MPYA

Viongozi wa Kamati ya Utendaji ya Simba wakiwa kwenye mkutano wa marekebisho ya katiba. Mwenyekiti wa Simba SC, Ismail Aden Rage, akihutubia.…

 

11 years ago

Michuzi

MAPENDEKEZO YA MAREKEBISHO YA KATIBA YA CUF YAPITISHWA

Na Hassan Hamad (OMKR). Wajumbe wa Mkutano Mkuu wa CUF Taifa wamepitisha mapendekezo mbali mbali yaliyowasilishwa na Baraza Kuu la uongozi la chama hicho kuhusu marekebisho ya baadhi ya vipengele vya katiba ya chama hicho. Katika mkutano mkuu wa chama hicho unaoendelea kwa siku ya tatu katika ukumbi wa Ubungo Plaza Dar es Salaam, wajumbe hao pamoja na mambo mengine wamekubaliana kuwa mkutano mkuu wa chama hicho ufanyike mara moja katika kipindi cha miaka mitano badala ya miaka miwili na...

 

9 years ago

BBCSwahili

Marekebisho ya katiba yaidhinishwa Congo-Brazzaville

Wapiga kura nchini Congo-Brazzaville wameidhinisha marekebisho ya katiba yanayomruhusu rais wa sasa kuwania kwa muhula wa tatu.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Bongo Movie wafanyie marekebisho katiba yao

KATIBA ni sheria au kanuni zinazoainisha namna nchi, chama, shirika  au taasisi itakavyoendesha shughuli zake kulingana na maudhui ya uwepo wake. Kwa upande wa nchi, katiba ni sheria mama inayoainisha misingi mikuu ya...

 

9 years ago

Global Publishers

Kura ya maoni marekebisho ya katiba Rwanda yaanza

rwanda (1)Raia wa Rwanda akipiga kura ya maoni.rwanda (2) Wananchi wakiwa kwenye foleni wakisubiri zamu yao ya kupiga kura iwadie.rwanda (3) …wakisikiliza moja ya midahalo nchini humo.rwanda (4) rwanda (5) rwanda (6)Raia wa Rwanda wameanza kufika vituoni kushiriki kwenye kura ya maoni ya marekebisho ya katiba, ambayo yakiidhinishwa yatamruhusu Rais Paul Kagame kuwania urais kwa muhula wa tatu.
Vituo vya kupigia kura vilifunguliwa asubuhi na mapema, huku watu 6 milioni wakitarajiwa kupiga kura. Bw Kagame anatarajiwa kupiga kura katika kituo cha...

 

11 years ago

BBCSwahili

UG na Malawi waidhinisha mkataba wa M23

Rais wa Malawi Joyce Banda na mwenzake wa Uganda Yoweri Museveni wasaini kuwa wadhamini kwa mkataba wa amani kati ya DRC na M23.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani