Wanyarwanda wanapiga kura kubadili Katiba
Vituo vya kupigia kura vinafunguliwa asubuhi hii ili Wananchi wa Rwanda zaidi ya milioni sita leo wapige kura ya maoni kukubali ama kukataa kubadili katiba ili kumruhusu Rais wa nchi hiyo Paul Kagame kugombea tena kiti cha urais.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili19 Dec
Wanyarwanda waidhinisha marekebisho ya katiba
9 years ago
Global Publishers19 Dec
Wanyarwanda Waunga Mkono Mabadiliko ya Katiba
Rais wa Rwanda, Paul Kagame.
Wanyarwanda wameunga mkono kwa wingi marekebisho ya katiba ambayo yatamruhusu Rais Paul Kagame kuendelea kuongoza, matokeo ya awali ya kura ya maoni ya mabadiliko ya katiba iliyopigwa jana nchini humo yanaonesha hivyo.
Raia akipiga kura.
Kwa mujibu wa taarifa ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi nchini Rwanda inasema, asilimia 98 ya wapiga kura wameunga mkono marekebisho hayo ya katiba ambayo yatamruhusu Rais Paul Kagame kuwania kwa muhula mwingine mwaka 2017, baada yake...
11 years ago
Tanzania Daima16 Mar
Sitta ataweza kubadili filamu ya Katiba?
WENGI walipenda kuiita ni vichekesho ‘comedy’ lakini kwangu naomba niende mbele zaidi na kuita kuwa ni filamu, hili ni Bunge Maalumu la Katiba ambalo tangu limeanza mkoani Dodoma niliamua kujiondoa...
11 years ago
Mwananchi13 Feb
Warioba: Kazi ya Bunge la Katiba siyo kubadili Rasimu
5 years ago
BBCSwahili02 Jun
Ni kwanini wachezaji wa Liverpool wanapiga goti?
10 years ago
Vijimambo18 Oct
MAAZIMIO YA KAMATI KUU YA CHAMA CHA DEMOKRASIA NA MAENDELEO KUHUSU MCHAKATO WA KATIBA NA KURA YA MAONI KUHUSU KATIBA INAYOPENDEKEZWA
![](http://upload.wikimedia.org/wikipedia/en/7/78/Chadema_bendera.jpg)
UTANGULIZI
Kamati Kuu ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) imekutana katika kikao chake cha kawaida na kujadili, pamoja na mambo mengine, mchakato wa Katiba Mpya. Kamati Kuu imepata taarifa ya kina juu ya mchakato ulivyoendeshwa katika hatua mbali mbali wakati wa kutungwa kwa Sheria ya Mabadiliko ya Katiba na marekebisho yake na, baadaye, Sheria ya Kura ya Maoni.
Aidha, Kamati Kuu imepata taarifa ya mchakato ulivyokuwa katika hatua ya kuundwa kwa Tume...
5 years ago
BBCSwahili13 Feb
Kukumbatiana ni salamu inayoenziwa na Wanyarwanda
10 years ago
Habarileo24 Oct
Wanyarwanda walioshtakiwa ICTR `walowea’ Arusha
BAADHI ya watu ambao walifungwa baada ya kupatikana na hatia ya kushiriki kwenye mauaji ya halaiki ya Rwanda na sasa wamemaliza kifungo chao na wale ambao wameachiwa huru na mahakama ya kimataifa ya ICTR baada ya kubainika hawana makosa, hawataki kurejea kwao Rwanda.
9 years ago
Mwananchi21 Dec
Kagame:Uamuzi upo mikononi mwa Wanyarwanda