Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Sitta ataweza kubadili filamu ya Katiba?

WENGI walipenda kuiita ni vichekesho ‘comedy’ lakini kwangu naomba niende mbele zaidi na kuita kuwa ni filamu, hili ni Bunge Maalumu la Katiba ambalo tangu limeanza mkoani Dodoma niliamua kujiondoa...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Wanyarwanda wanapiga kura kubadili Katiba

Vituo vya kupigia kura vinafunguliwa asubuhi hii ili Wananchi wa Rwanda zaidi ya milioni sita leo wapige kura ya maoni kukubali ama kukataa kubadili katiba ili kumruhusu Rais wa nchi hiyo Paul Kagame kugombea tena kiti cha urais.

 

11 years ago

Mwananchi

Warioba: Kazi ya Bunge la Katiba siyo kubadili Rasimu

Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba amesema litakuwa jambo lisilo la kawaida kwa Bunge Maalumu la Katiba kubadili hoja ya msingi iliyopo kwenye Rasimu ya Katiba, akisisitiza kuwa jukumu lake ni kuifanyia marekebisho.

 

10 years ago

Michuzi

Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba, Mhe. Samuel Sitta awaahidi walemavu kutendewa haki katika Katiba Mpya


MWENYEKITI wa Bunge Maalum la Katiba, Mhe. Samuel  Sitta amewahakikishia Watu wenye Ulemavu nchini kuwa wanatendewa haki katika Katiba Mpya itakayopatikana.


Mhe. Sitta ameyasema hayo leo Septemba Mosi, 2014 katika mkutano wake na baadhi ya viongozi wa Shirikisho la Vyama vya Watu wenye Ulemavu Tanzania (SHIVYAWATA) ambalo lilikuja katika Bunge Maalum kwa lengo la kuwasilisha hoja zenye msisitizo kuhusu haki za watu wenye ulemavu katika mchakato Katiba Mpya.


Mhe. Sitta amesema kuwa kazi...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Nyalandu ataweza kukabiliana na ujangili?

HIVI karibuni Rais Jakaya Kikwete alikimbilia katika jumuiya ya kimataifa kujisafisha kuhusiana na masuala ya ujangili yaliyokithiri nchini. Hiyo ni baada ya taarifa kwamba Tanzania haijachukua hatua za kutosha kupambana...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Sitta na Katiba yake ya visasi

OKTOBA 2, mwaka huu, Bunge Maalum la Katiba, uligeuka ukumbi wa disko kwa muda, ambapo wajumbe waliimba, kucheza kwa kukata mauno, kubebana, kupigana picha za video na mnato, kujitwisha vibakuli...

 

11 years ago

TheCitizen

Chadema says Sitta not sincere on Katiba

Chadema yesterday told off the Constituent Assembly chairman Samuel over the meeting he was reportedly planning later in the month to try to reach a consensus on the stalled Katiba review process.

 

10 years ago

TheCitizen

MY TAKE ON THIS: Mr Sitta, the question is ‘What kind of katiba?’

>The Constituent Assembly (CA) chairman, Mr Samuel Sitta, has pleaded with Tanzanians to give the assembly time to finish its work because abandoning it would subject the country to immeasurable loss. According to Mr Sitta money spent by the defunct Constitution Review Commission (CRC) and the CA would mean nothing to the country if CA activities are shelved now as proposed by many people.

 

11 years ago

Mwananchi

Sitta: Katiba inaruhusu kununua uongozi

Mwenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba, Samuel Sitta amesema kushamiri kwa vitendo vya watu wachache kujitajirisha na wengine kununua uongozi, kunatokana na Katiba ya sasa kutokuwa na meno ya kupambana na rushwa na ufisadi.

 

10 years ago

Vijimambo

Mazungumzo na Mhe Samuel Sitta (Pt I).......KATIBA

Karibu katika sehemu hii ya kwanza kati ya mbili za mazungumzo na Mhe. Samuel Sitta (Mb)
Aliyekuwa Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba ya Jamhuri ya Muungano waTanzania mwaka 2014.
Aliketi nasi kuzungumzia zaidi suala hili la Katiba hii pendekezwa, na mchakato mzima wa kuipata
Karibu
 

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani