Warioba: Kazi ya Bunge la Katiba siyo kubadili Rasimu
Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba amesema litakuwa jambo lisilo la kawaida kwa Bunge Maalumu la Katiba kubadili hoja ya msingi iliyopo kwenye Rasimu ya Katiba, akisisitiza kuwa jukumu lake ni kuifanyia marekebisho.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi18 Mar
Bunge lachafuka, Warioba asimama bila kuwasilisha Rasimu ya Katiba
>Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba jana jioni alisimama kwa dakika tatu mbele ya kipaza sauti lakini akashindwa kuwasilisha Rasimu ya Katiba kutokana na vurugu zilizojitokeza bungeni.
10 years ago
Tanzania Daima26 Sep
Korti: Bunge lizingatie rasimu ya Warioba
MAHAKAMA Kuu Kanda ya Dar es Salaam, imelitaka Bunge Maalumu la Katiba kuandika na kupitisha vipengele kwa kuzingatia rasimu iliyowasilishwa bungeni na Tume ya Mabadiliko ya Katiba chini ya Jaji...
11 years ago
Mwananchi15 Jun
TUCTA: Bunge liheshimu Rasimu ya Jaji Warioba
Bunge Maalumu la Katiba, linatarajiwa kuendelea Agosti 5 mwaka huu, baada ya kuahirishwa kwa ajili ya kupisha Bunge la Bajeti.
11 years ago
Mwananchi22 Mar
Jaji Warioba asilaumiwe kwa Rasimu ya Katiba
>Baadhi ya Wajumbe wa Bunge la Katiba, wamewataka wenzao kuacha kutoa tuhuma za kumlaumu, Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba kutokana na Rasimu ya pili aliyoiwasilisha bungeni, badala yake wajiandae kutetea misimamo yao
10 years ago
Mwananchi28 Dec
Madaraka ya Bunge sasa, katika Rasimu ya Katiba Mpya na Katiba inayopendekezwa
Natambua kwamba bado tuna joto la sakata la “escrow†ambalo hata baada ya Mkuu wa Nchi Rais Jakaya Kikwete kulifafanua na hata kama hujui kusoma upepo kiasi gani utakuwa umegundua na utaungana nami kwamba bado wananchi wamegawika kabisa.
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-fP425F9bo_c/VA7UyKZf6mI/AAAAAAAGiNg/oAv0wVoku_c/s72-c/Ukumbi-wa-Bunge-la-Katiba.jpg)
Bunge Maalum la Katiba laanza mijadala ya Rasimu ya Katiba rasmi leo
![](http://3.bp.blogspot.com/-fP425F9bo_c/VA7UyKZf6mI/AAAAAAAGiNg/oAv0wVoku_c/s1600/Ukumbi-wa-Bunge-la-Katiba.jpg)
BUNGE Maalum la Katiba leo tarehe 9 Septemba, 2014 limeanza kazi yake ya kusoma na kujadili taarifa za Kamati mbalimbali zikiwemo Kamati namba Kumi na Mbili, Kamati namba Mbili, Kamati namba Moja, Kamati namba Nne, Kamati namba Nane, Kamati namba Tano, Kamati namba Tisa, Kamati namba Tatu, Kamati namba Sita pamoja na Kamati namba Kumi na Moja.
Baadhi ya mambo yaliyojadiliwa katika Bunge hilo ni pamoja suala la baadhi ya viongozi kumiliki akaunti zao za fedha...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-OEn3-72IHHA/UydRJeUlRAI/AAAAAAAFUTc/MgEShrl-i_s/s72-c/unnamedww.jpg)
JAJI JOSEPH SINDE WARIOBA KUWASILISHA RASIMU YA KATIBA KESHO JUMANNE
![](http://2.bp.blogspot.com/-OEn3-72IHHA/UydRJeUlRAI/AAAAAAAFUTc/MgEShrl-i_s/s1600/unnamedww.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-h0p3yk2JsnA/UydV_9qpW0I/AAAAAAAFUT8/QjYnmb8Uyik/s1600/as.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-Q_nzt0vyPzA/UydWB03wr0I/AAAAAAAFUUE/z-nxm4tYlFA/s1600/unnamedas.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-IhqfO476L50/UydWEIDbPBI/AAAAAAAFUUM/Xv6wkdhCrbQ/s1600/unnamedasd.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-3HTtGVl1TJg/UydTFaYA9aI/AAAAAAAFUTs/HuNLEb2AzRo/s1600/unnameddg.jpg)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania
Magazeti ya Leo
Zinazosomwa Sasa
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10