Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Korti: Bunge lizingatie rasimu ya Warioba

MAHAKAMA Kuu Kanda ya Dar es Salaam, imelitaka Bunge Maalumu la Katiba kuandika na kupitisha vipengele kwa kuzingatia rasimu iliyowasilishwa bungeni na Tume ya Mabadiliko ya Katiba chini ya Jaji...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

Mahakama kuu: Bunge Maalumu la Katiba lizingatie rasimu

d6d21-jk1

Na Mwandishi wetu

Mahakama Kuu ya Tanzania iliyokaa chini ya Judges Augustine Mwarija, Aloysius Mujulizi na Dr Fauz Twaib imetoa uamuzi wake leo kufuatia maombi ya Saed Kubenea kama ifuatavyo;

1.Kuna mgongano mkubwa kati ya toleo la Kiswahili na Toleo la Kiingereza la kifungu cha 25 (2) cha Sheria ya Mabadiliko ya Katiba.

2. Kwamba pamoja na mgongano huo, Sheria imekusudia kwamba Madaraka ya Bunge Maalum la Katiba yatatekelezwa kupitia Rasimu ya Tume ya maana yake kama ilivyowasilishwa...

 

11 years ago

Mwananchi

TUCTA: Bunge liheshimu Rasimu ya Jaji Warioba

Bunge Maalumu la Katiba, linatarajiwa kuendelea Agosti 5 mwaka huu, baada ya kuahirishwa kwa ajili ya kupisha Bunge la Bajeti.

 

11 years ago

Mwananchi

Warioba: Kazi ya Bunge la Katiba siyo kubadili Rasimu

Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba amesema litakuwa jambo lisilo la kawaida kwa Bunge Maalumu la Katiba kubadili hoja ya msingi iliyopo kwenye Rasimu ya Katiba, akisisitiza kuwa jukumu lake ni kuifanyia marekebisho.

 

11 years ago

Mwananchi

Bunge lachafuka, Warioba asimama bila kuwasilisha Rasimu ya Katiba

>Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba jana jioni alisimama kwa dakika tatu mbele ya kipaza sauti lakini akashindwa kuwasilisha Rasimu ya Katiba kutokana na vurugu zilizojitokeza bungeni.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Bunge la Katiba lizingatie usawa wa kijinsia

BUNGE Maalumu la Katiba, wiki inayoanza kesho litaingia katika hatua nyingine muhimu ya kupokea taarifa ya rasimu ya pili ya Katiba kutoka kwa Tume ya Mabadiliko ya Katiba  na baadaye...

 

10 years ago

Mwananchi

Rasimu ya Warioba ‘yachanwachanwa’

Kuna kila dalili kwamba mabadiliko mengi yaliyopendekezwa katika Rasimu ya Katiba yakigusa miundo ya taasisi nyeti za umma yatawekwa kando na huenda Bunge Maalumu likatoa Katiba isiyokuwa na mabadiliko makubwa kama ilivyotarajiwa.

 

10 years ago

Habarileo

'Rasimu imezingatia ya Tume ya Warioba'

RASIMU ya Katiba Inayopendekezwa, kwa sehemu kubwa imezingatia Rasimu ya Pili ya Katiba, iliyotolewa na Tume ya Mabadiliko ya Katiba.

 

11 years ago

Habarileo

Wasira aipinga rasimu ya Warioba

MJUMBE wa Bunge la Katiba, Steven Wasira ameishutumu rasimu ya katiba ya Tume ya Marekebisho ya Katiba juu ya mfumo wa muungano wa serikali tatu kuwa si maoni ya wananchi ndio maana Chama Cha Mapinduzi kinapinga mfumo huo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani