Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Bunge la Katiba lizingatie usawa wa kijinsia

BUNGE Maalumu la Katiba, wiki inayoanza kesho litaingia katika hatua nyingine muhimu ya kupokea taarifa ya rasimu ya pili ya Katiba kutoka kwa Tume ya Mabadiliko ya Katiba  na baadaye...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

TAMWA WATOA ELIMU KWA WABUNGE WANAWAKE WA BUNGE MAALUM LA KATIBA KUZINGATIA MASUALA YA USAWA WA KIJINSIA WAKATI WA UTUNZI WA KATIBA MPYA.

Na Tiganya Vincent-Dodoma   Mwenyekiti wa Wabunge Wanawake wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Anna Abdallah ametoa wito kwa wajumbe wanawake wa Bunge Maalum la Katiba kufanya kazi kwa ushirikiano katika kuhakikisha kuwa wanaweka maslahi ya mwanamke mbele katika uandishi wa Katiba mpya na sio vinginevyo.   Mwenyekiti huyo ametoa kauli hiyo leo mjini Dodoma wakati anafungua semina ya siku moja ya wajumbe wanawake wa Bunge Maalum la Katiba iliyoandaliwa na Chama cha Waandishi wa...

 

11 years ago

Mwananchi

Usawa wa kijinsia waibuka tena semina ya Bunge

Suala la usawa wa jinsia limeibuka tena katika semina ya Bunge la Katiba baada ya mjumbe Suzan Lyimo kutaka Mwenyekiti atakayechaguliwa kuhakikisha kuwa kunakuwa na idadi sawa ya wachangiaji kati ya wanaume na wanawake.

 

10 years ago

Dewji Blog

Mahakama kuu: Bunge Maalumu la Katiba lizingatie rasimu

d6d21-jk1

Na Mwandishi wetu

Mahakama Kuu ya Tanzania iliyokaa chini ya Judges Augustine Mwarija, Aloysius Mujulizi na Dr Fauz Twaib imetoa uamuzi wake leo kufuatia maombi ya Saed Kubenea kama ifuatavyo;

1.Kuna mgongano mkubwa kati ya toleo la Kiswahili na Toleo la Kiingereza la kifungu cha 25 (2) cha Sheria ya Mabadiliko ya Katiba.

2. Kwamba pamoja na mgongano huo, Sheria imekusudia kwamba Madaraka ya Bunge Maalum la Katiba yatatekelezwa kupitia Rasimu ya Tume ya maana yake kama ilivyowasilishwa...

 

11 years ago

GPL

MTANDAO WA WANAWAKE NA KATIBA WALIPONGEZA BUNGE LA KATIBA KUONESHA USAWA WA JINSIA‏

Kaimu Mkurugenzi Mtendaji, Lilian Liundi wa TGNP Mtandao akizungumza. MTANDAO wa Wanawake na Katiba wenye mashirika zaidi ya 50 yanayotetea haki za wanawake katika Katiba mpya, umelipongeza mchakato na matokeo ya  uchaguzi wa kuwapata viongozi wa Bunge Maalum la Katiba (Mwenyekiti na Makamu wake) ambao umezingatia usawa wa jinsia. Kauli hiyo imetolewa leo kwa vyombo vya habari na Kaimu Mkurugenzi Mtendaji, Lilian Liundi wa...

 

11 years ago

BBCSwahili

Mjadala wa Usawa wa Kijinsia

Mjadala huu uliangazia usawa wa kijinsia katika mfumo wa serikali za ugatuzi.

 

10 years ago

BBCSwahili

Pengo la usawa wa kijinsia lapungua

Pengo lililopo kati ya wanaume na wanawake linaendelea kuzibika katika kipindi cha miaka ya hivi karibuni,

 

10 years ago

Tanzania Daima

Korti: Bunge lizingatie rasimu ya Warioba

MAHAKAMA Kuu Kanda ya Dar es Salaam, imelitaka Bunge Maalumu la Katiba kuandika na kupitisha vipengele kwa kuzingatia rasimu iliyowasilishwa bungeni na Tume ya Mabadiliko ya Katiba chini ya Jaji...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani