Usawa wa kijinsia waibuka tena semina ya Bunge
Suala la usawa wa jinsia limeibuka tena katika semina ya Bunge la Katiba baada ya mjumbe Suzan Lyimo kutaka Mwenyekiti atakayechaguliwa kuhakikisha kuwa kunakuwa na idadi sawa ya wachangiaji kati ya wanaume na wanawake.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima16 Mar
Bunge la Katiba lizingatie usawa wa kijinsia
BUNGE Maalumu la Katiba, wiki inayoanza kesho litaingia katika hatua nyingine muhimu ya kupokea taarifa ya rasimu ya pili ya Katiba kutoka kwa Tume ya Mabadiliko ya Katiba na baadaye...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-6EOHkW_13kk/Uy3ZA6HM2XI/AAAAAAAFVsA/25uSffzyo6A/s72-c/unnamed+(55).jpg)
TAMWA WATOA ELIMU KWA WABUNGE WANAWAKE WA BUNGE MAALUM LA KATIBA KUZINGATIA MASUALA YA USAWA WA KIJINSIA WAKATI WA UTUNZI WA KATIBA MPYA.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-J-U3CRdPqLU/XlVwCee_DqI/AAAAAAALfZ4/JTQf3_vXbOcytrV5XNokyYZ6QrfbdUCgQCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200225_175809_703.jpg)
MJADALA WAIBUKA TENA BUNGE LA EALA UKOSEFU WA FEDHA ZA KUTOSHA KUENDESHA JUMUIYA EAC
![](https://1.bp.blogspot.com/-J-U3CRdPqLU/XlVwCee_DqI/AAAAAAALfZ4/JTQf3_vXbOcytrV5XNokyYZ6QrfbdUCgQCLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200225_175809_703.jpg)
Mbunge wa bunge hilo George Odongo akiongea na wanahabari nje ya bunge.
Na Ahmed Mahmoud Arusha
Wabunge wa bunge la Afrika mashariki wameibua tena mjadala wa tatizo la ukosefu wa fedha za kutosha kutekeleza majukumu ya kila siku ya jumuiya na kuliomba Baraza la mawaziri kuona uwezekano wa kulipatia ufumbuzi wa kudumu tatizo hilo.
Akiongea wakati akichangia mjadala wa ripoti ya ukaguzi fedha hilo Mbunge wa EALA Mariamu Ussi alisema kuwa suala hilo ni changamoto ambayo inahitaji kupatiwa...
11 years ago
BBCSwahili05 Jan
Mjadala wa Usawa wa Kijinsia
10 years ago
BBCSwahili28 Oct
Pengo la usawa wa kijinsia lapungua
11 years ago
BBCSwahili01 Apr
Hoja:Je usawa wa kijinsia unaweza kufikiwa?
10 years ago
Tanzania Daima16 Oct
Ajenda ya usawa wa kijinsia ni ya vyama vya siasa?
DHANA ya usawa wa jinsia inatumika pale ambapo jamii imeweza kuondoa tabaka lililojengeka katika kufikia, kumiliki na kufaidi rasilimali zinazoshikika na zisizoshikika katika jamii husika. Kimantiki usawa wa jinsia ni...
10 years ago
Tanzania Daima02 Nov
Usawa wa kijinsia ni mbeleko ya kubeba watu kisiasa?
BINAFSI mimi naamini katika usawa wa binadamu. Ingawa katika kuamini usawa huo natofautiana na wengi kwamba usawa wa binadamu uko katika kutaka yale yote yanayofanywa na jinsia moja yafanywe pia...