MJADALA WAIBUKA TENA BUNGE LA EALA UKOSEFU WA FEDHA ZA KUTOSHA KUENDESHA JUMUIYA EAC
![](https://1.bp.blogspot.com/-J-U3CRdPqLU/XlVwCee_DqI/AAAAAAALfZ4/JTQf3_vXbOcytrV5XNokyYZ6QrfbdUCgQCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200225_175809_703.jpg)
Mbunge wa bunge hilo George Odongo akiongea na wanahabari nje ya bunge.
Na Ahmed Mahmoud Arusha
Wabunge wa bunge la Afrika mashariki wameibua tena mjadala wa tatizo la ukosefu wa fedha za kutosha kutekeleza majukumu ya kila siku ya jumuiya na kuliomba Baraza la mawaziri kuona uwezekano wa kulipatia ufumbuzi wa kudumu tatizo hilo.
Akiongea wakati akichangia mjadala wa ripoti ya ukaguzi fedha hilo Mbunge wa EALA Mariamu Ussi alisema kuwa suala hilo ni changamoto ambayo inahitaji kupatiwa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi10 Mar
Usawa wa kijinsia waibuka tena semina ya Bunge
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-xPvYq6HfUTA/VHjvC85Pa9I/AAAAAAAG0EM/PrCoOPstzok/s72-c/1.jpg)
news alert: SPIKA ASITISHA BUNGE HADI WATAPOJADILIANA TENA BAADA YA SINTOFAHAMU WAKATI WA MJADALA MKALI WA SAKATA LA ESCROW
![](http://1.bp.blogspot.com/-xPvYq6HfUTA/VHjvC85Pa9I/AAAAAAAG0EM/PrCoOPstzok/s1600/1.jpg)
Sintofahamu iliyotokea kwenye kikao cha Bunge mjini Dodoma Ijumaa Novemba 28, 2014 imepelekea Spika Anne Makinda (pichani) kulazimika kusitisha shughuli za Bunge mpaka hapo watapojadiliana tena.
Hii ni baada ya majadiliano makali kuhusu kuwajibishwa ama la kwa viongozi wanaohusika na sakata la akaunti ya Escrow. Hali hii iliibuka baada ya Mwenyekiti wa CHADEMA na kambi ya upinzani Bungeni Mhe Freeman Mbowe kuinuka na kusema kuwa Bunge kufikisha saa tano kasoro ni historia, na kwamba kuna...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-tgOohs9zohI/XmqB_Md1ReI/AAAAAAALi2I/5RFYkAlBkN4VIR7O3JP_3rZkGQ4dNRCLgCLcBGAsYHQ/s72-c/94d6cef2-1652-4949-b32c-c21c138f4697.jpg)
UKOSEFU WA VIFAA WAKWAMISHA ZOEZI LA UKUSANYAJI DAMU YA KUTOSHA MKOANI KIGOMA
Imeelezwa kuwa ukosefu mkubwa wa vifaa vya kufanyia kazi wakati wa zoezi la ukusanyaji damu katika wilaya mbalimbali za mkoa Kigoma umekwamisha mpango wa kukusanya damu ya kutosha kwa ajili ya benki ya damu mkoani humo.
Meneja mradi wa damu salama mkoa Kigoma, Abichi Maramba akizungumza wakati wa kukabidhi vifaa hivyo kwa Mganga Mkuu wa mkoa Kigoma, Simon Chacha kwa niaba ya kituo cha damu salama mkoani humo alisema kuwa wakati mwingine uhamasishaji...
10 years ago
Mtanzania27 Apr
Serikali yaombwa kutenga fedha za kutosha
Na Tunu Nassor, Dar es Salaam
TUME ya Haki za Binadamu na Utawala Bora (THBUB) wameiomba Serikali kutenga fedha za kutosha kwa taasisi zote za Serikali zinazohusika na suala la kukomesha ukatili dhidi ya albino.
Lengo la kutekeleza programu za kuelimisha umma kuharakisha upelelezi na uendeshaji wa kesi za watu wanaodaiwa kufanya ukatili huo.
Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam, Mwenyekiti wa tume hiyo, Bahame Nyanduga alisema tume pamoja na wadau walikubaliana kuwa...
11 years ago
Mwananchi01 May
Idara ya malikale itengewe fedha za kutosha
11 years ago
Tanzania Daima15 May
Taswa kuandaa mjadala Jumuiya ya Madola
CHAMA cha Waandishi wa Habari za Michezo Tanzania (Taswa), kimeanzisha utaratibu wa kuandaa midahalo mbalimbali ya masuala ya michezo kila Jumatano ya kwanza ya mwezi, ambapo kwa kuanzia wataanza na...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-18Vbd9PNcaE/XvDONno4BfI/AAAAAAACONs/AJebr7BVI3AvaApB9N1cBr6f2eERsIyigCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200622_180726.jpg)
CCM YAWAPONGEZA UVCCM KWA KUENDESHA MRADI WA UJENZI WA NYUMBA ZA WATUMIDHI WA JUMUIYA HIYO
![](https://1.bp.blogspot.com/-18Vbd9PNcaE/XvDONno4BfI/AAAAAAACONs/AJebr7BVI3AvaApB9N1cBr6f2eERsIyigCLcBGAsYHQ/s400/IMG_20200622_180726.jpg)
CCM Blog, Mbeya
Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimeipongeza Jumuiya yake ya Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) kwa kufanikisha uendeshaji wa Mradi wa ujnezi wa nyumba za watumishi wa Jumuiya hiyo.
Pongezi hizo zimetolewa na Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya CCM, anayesimamia Idara ya Itikadi na Uenezi Humphrey Polepole wakati wa uzinduzi wa nyumba...
9 years ago
Mtanzania12 Sep
Chadema ‘feki’ waibuka tena
NA AZIZA MASOUD, DAR ES SALAAM
WATU kadhaa jana walikamatwa wakijaribu kufanya maandamano katika eneo la Ofisi za Makao Makuu ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) wakiwa na mabango yenye ujumbe wa kumpinga mgombea urais wa chama hicho, Edward Lowassa.
Tukio la kukamatwa kwa watu hao lilitokea baada ya kubainika hawakuwa wanachama wa Chadema bali walitumwa na watu ambao hawajafahamika kwenda kufanya fujo katika ofisi hizo.
Wakizungumza na gazeti hili watu walioshuhudia tukio hilo...
11 years ago
Habarileo09 Apr
Ukosefu wa sarafu moja EAC tatizo kiuchumi
IMEELEZWA kuwa kutokuwepo kwa matumizi ya sarafu moja katika soko la pamoja la Afrika Mashariki kumeleta athari kubwa zitokanazo na matumizi makubwa ya fedha za kigeni katika nchi wanachama wa jumuia hizo.