Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Chadema ‘feki’ waibuka tena

??????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????? NA AZIZA MASOUD, DAR ES SALAAM

WATU kadhaa jana walikamatwa wakijaribu kufanya maandamano katika eneo la Ofisi za Makao Makuu ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) wakiwa na mabango yenye ujumbe wa kumpinga mgombea urais wa chama hicho, Edward Lowassa.

Tukio la kukamatwa kwa watu hao lilitokea baada ya kubainika hawakuwa wanachama wa Chadema bali walitumwa na watu ambao hawajafahamika kwenda kufanya fujo katika ofisi hizo.

Wakizungumza na gazeti hili watu walioshuhudia tukio hilo...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Usawa wa kijinsia waibuka tena semina ya Bunge

Suala la usawa wa jinsia limeibuka tena katika semina ya Bunge la Katiba baada ya mjumbe Suzan Lyimo kutaka Mwenyekiti atakayechaguliwa kuhakikisha kuwa kunakuwa na idadi sawa ya wachangiaji kati ya wanaume na wanawake.

 

10 years ago

Tanzania Daima

CHADEMA waibuka kidedea Masasi

MAHAKAMA ya Wilaya ya Masasi Mtwara, imewaachia huru watuhumiwa 20 kati ya 21 waliyokuwa wakikabiliwa na kesi ya kula njama ya kutenda kosa, kuandamana bila kibali, kuharibu na kuchoma majengo...

 

5 years ago

Michuzi

MJADALA WAIBUKA TENA BUNGE LA EALA UKOSEFU WA FEDHA ZA KUTOSHA KUENDESHA JUMUIYA EAC


Mbunge wa bunge hilo George Odongo akiongea na wanahabari nje ya bunge.

Na Ahmed Mahmoud Arusha 
Wabunge wa bunge la Afrika mashariki wameibua tena mjadala wa tatizo la ukosefu wa fedha za kutosha kutekeleza majukumu ya kila siku ya jumuiya na kuliomba Baraza la mawaziri kuona uwezekano wa kulipatia ufumbuzi wa kudumu tatizo hilo. 
Akiongea wakati akichangia mjadala wa ripoti ya ukaguzi fedha hilo Mbunge wa EALA Mariamu Ussi alisema kuwa suala hilo ni changamoto ambayo inahitaji kupatiwa...

 

11 years ago

GPL

KISA BENDERA YA CHADEMA, MTITI WAIBUKA MSIBANI

Stori: Francis Godwin, Iringa
MTITI mzito umeibuka baada ya viongozi wa Chadema kudaiwa kutaka kufunika Bajaj na bendera ya chama hicho juu ya jeneza la  marehemu Abisai Mdesa ambaye alikuwa dereva bodaboda mjini hapa. Jeneza la marehemu Abisai Mdesa likiwa linaombewa Vuta nikuvute hiyo ilitokea hivi karibuni baada ya makada wa Chadema kufika katika chumba cha maiti kwenye Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Iringa wakiwa na...

 

9 years ago

Mtanzania

Chadema feki wakamatwa na polisi

chadema fekiNa Asifiwe George, Dar es Salaam

JESHI la Polisi Mkoa wa Kinondoni  linawashikilia vijana 10 waliojifanya wanachama wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) na kuandamana katika maeneo mbalimbali ya Dar es Salaam kwa kile walichodai kwamba ni kupinga hatua ya Dk. Slaa kustaafu siasa kutokana na   Edward Lowassa kujiunga na chama hicho.

Vijana hao waliokuwa wamevaa sare za Chadema walikuwa  wamebeba mabango yenye ujumbe tofauti huku wakiimba wimbo wa‘hatumtaki Lowassa’… ‘hatumtaki...

 

9 years ago

StarTV

Chadema yadai kukamata kadi feki za NEC.

Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimeituhumu Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) kuwa inakihujumu kwa kutengeneza kadi za ziada zaidi ya milioni 2 ili kukipa ushindi Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika uchaguzi mkuu mwaka huu.

Akiongea na waandishi wa habari, mgombea ubunge  jimbo la Ubungo kwa tiketi ya Chadema, Saed Kubenea ameeleza kuwa wamepata kadi 100 kati ya kadi hizo ambazo zimewasilishwa kwao na baadhi ya wafanyakazi wa NEC wanaowataja kama ‘Wasamalia Wema’ waliowapa taarifa ya...

 

9 years ago

Mtanzania

kada CCM akiri kuhusika na Chadema ‘feki’

masaburiNA ASIFIWE GEORGE, DAR ES SALAAM

KADA wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Didas Masaburi, amekiri kukutana na vijana wanaodaiwa kujifanya wafuasi wa Chadema walioandamana jijini Dar es Salaam kupongeza hatua ya aliyekuwa Katibu Mkuu wa chama hicho, Dk. Willibrod Slaa, kuacha siasa na kushambulia chama chake.

Juzi vijana hao waliandamana wakiwa na lengo la kwenda makao makuu ya Chadema kabla ya kutawanywa na wananchi.

Tangu asubuhi ya jana, sauti ya Masaburi ilikuwa ikisambazwa kwenye mitandao ya...

 

9 years ago

Mwananchi

Wagombea Chadema wadai kunasa kadi feki za mpigakura

Dar es Salaam. Wagombea ubunge wa majimbo ya Kawe na Ubungo kwa tiketi ya Chadema, wamedai kubaini kadi 100 za wapigakura ambazo hazina taarifa.

 

10 years ago

Mwananchi

Mbowe tena Chadema

Freeman Mbowe amechaguliwa tena kuwa Mwenyekiti wa Chadema katika Mkutano Mkuu wa chama hicho uliofanyika jana.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani