Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Chadema yadai kukamata kadi feki za NEC.

Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimeituhumu Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) kuwa inakihujumu kwa kutengeneza kadi za ziada zaidi ya milioni 2 ili kukipa ushindi Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika uchaguzi mkuu mwaka huu.

Akiongea na waandishi wa habari, mgombea ubunge  jimbo la Ubungo kwa tiketi ya Chadema, Saed Kubenea ameeleza kuwa wamepata kadi 100 kati ya kadi hizo ambazo zimewasilishwa kwao na baadhi ya wafanyakazi wa NEC wanaowataja kama ‘Wasamalia Wema’ waliowapa taarifa ya...

StarTV

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

Chadema yadai kunasa kadi 36 za kupigia kura

Chadema Wilaya ya Bariadi kimedai kunasa kadi 36 za kupigia kura zilizokuwa zimetupwa kwenye gofu la nyumba moja mjini Bariadi.

 

9 years ago

Mwananchi

Wagombea Chadema wadai kunasa kadi feki za mpigakura

Dar es Salaam. Wagombea ubunge wa majimbo ya Kawe na Ubungo kwa tiketi ya Chadema, wamedai kubaini kadi 100 za wapigakura ambazo hazina taarifa.

 

9 years ago

GPL

NEC: VIFAA BVR FEKI

Mkurugenzi wa NEC, Ramadhani Kailima. Siku moja baada ya kunaswa mashine zilizosadikiwa kuwa ni za uandikishaji wapiga kura kwa njia ya kielektroniki (BVR), zilizokuwa zikiandikisha wafanyakazi wa Kiwanda cha MM Steel jijini Dar es Salaam, Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imeibuka na kueleza kuwa mashine hizo ni 'feki' na wala hazihusiani kwa namna yoyote na vifaa vyao.   Jaji mstaafu Damian Lubuva akizungumza na viongozi wa...

 

10 years ago

Mwananchi

NEC: Marufuku kutoa kadi ya kupigia kura

Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), imeonya kwamba mtu yoyote haruhusiwi kutoa kadi yake ya kupigakura au taarifa za kadi hiyo kwa ndugu, jamaa au mwajiri wake.

 

9 years ago

Mwananchi

NEC ifanyie kazi tuhuma za kadi za kupigia kura

Kwa mara nyingine, viongozi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), wamedai kunasa kadi za kupigia kura.

 

10 years ago

Dewji Blog

Lowassa akabidhiwa rasmi kadi ya CHADEMA

MMGL0885

Mwenyekiti wa Taifa wa Chadema,Freeman Mbowe akimkabidhi kadi ya uanachama wa chama hicho, Mh.Waziri Mkuu Mstaafu, Edward Lowassa leo katika hoteli ya Bahari Beach jijini Dar es Salaam.

MMGL0688

 Waziri Mkuu Mstaafu,Edward Lowassa akizungumza na mamia wakati wa kutangaza adhima yake ya kujiunga na Chadema katika Hoteli ya Bahari Beach jijini Dar es Salaam.

MMGL0816

 Waziri Mkuu Mstaafu,Edward Lowassa akijibu maswali ya waandishi wa habari juu ya kujunga kwake katika Hoteli ya Bahari Beach leo jijini Dar es...

 

9 years ago

Mtanzania

Chadema ‘feki’ waibuka tena

??????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????? NA AZIZA MASOUD, DAR ES SALAAM

WATU kadhaa jana walikamatwa wakijaribu kufanya maandamano katika eneo la Ofisi za Makao Makuu ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) wakiwa na mabango yenye ujumbe wa kumpinga mgombea urais wa chama hicho, Edward Lowassa.

Tukio la kukamatwa kwa watu hao lilitokea baada ya kubainika hawakuwa wanachama wa Chadema bali walitumwa na watu ambao hawajafahamika kwenda kufanya fujo katika ofisi hizo.

Wakizungumza na gazeti hili watu walioshuhudia tukio hilo...

 

9 years ago

Mtanzania

Chadema feki wakamatwa na polisi

chadema fekiNa Asifiwe George, Dar es Salaam

JESHI la Polisi Mkoa wa Kinondoni  linawashikilia vijana 10 waliojifanya wanachama wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) na kuandamana katika maeneo mbalimbali ya Dar es Salaam kwa kile walichodai kwamba ni kupinga hatua ya Dk. Slaa kustaafu siasa kutokana na   Edward Lowassa kujiunga na chama hicho.

Vijana hao waliokuwa wamevaa sare za Chadema walikuwa  wamebeba mabango yenye ujumbe tofauti huku wakiimba wimbo wa‘hatumtaki Lowassa’… ‘hatumtaki...

 

10 years ago

Mwananchi

Lowassa, mkewe watua Chadema, wakabidhiwa kadi

>Hatimaye ameingia Chadema. Ilianza kama uvumi lakini jana ilikuwa dhahiri baada ya Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa kutangaza rasmi kukihama chama tawala, CCM na kujiunga na Ukawa kupitia Chadema, huku akisisitiza; “Sasa basi, imetosha.”

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani