Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wagombea Chadema wadai kunasa kadi feki za mpigakura

Dar es Salaam. Wagombea ubunge wa majimbo ya Kawe na Ubungo kwa tiketi ya Chadema, wamedai kubaini kadi 100 za wapigakura ambazo hazina taarifa.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

Chadema yadai kunasa kadi 36 za kupigia kura

Chadema Wilaya ya Bariadi kimedai kunasa kadi 36 za kupigia kura zilizokuwa zimetupwa kwenye gofu la nyumba moja mjini Bariadi.

 

9 years ago

StarTV

Chadema yadai kukamata kadi feki za NEC.

Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimeituhumu Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) kuwa inakihujumu kwa kutengeneza kadi za ziada zaidi ya milioni 2 ili kukipa ushindi Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika uchaguzi mkuu mwaka huu.

Akiongea na waandishi wa habari, mgombea ubunge  jimbo la Ubungo kwa tiketi ya Chadema, Saed Kubenea ameeleza kuwa wamepata kadi 100 kati ya kadi hizo ambazo zimewasilishwa kwao na baadhi ya wafanyakazi wa NEC wanaowataja kama ‘Wasamalia Wema’ waliowapa taarifa ya...

 

10 years ago

Mtanzania

Ukawa wadai kunasa waraka wa Ikulu

ukawa hawaSHABANI MATUTU NA PATRICIA KIMELEMETA

UMOJA wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) umedai kunasa waraka wa Ofisi ya Rais Ikulu unaoonyesha Serikali imetenga Sh bilioni 2.5 kwa ajili ya kampeni ya kuwezesha Katiba inayopendekezwa ipitishwe   kwa kupigiwa kura ya ndiyo katika kura ya maoni.

Katibu Mkuu wa Ukawa ambaye pia ni Katibu wa Chadema, Dk. Willibrod Slaa, alidai Dar es Salaam jana  kuwa kampeni hiyo itafanywa kupitia vyombo vya habari  kuwahamasisha wananchi waweze kupiga kura ya ndiyo na...

 

11 years ago

Habarileo

‘Vitambulisho vya Taifa si mbadala wa kadi ya mpigakura’

Mwenyekiti wa NEC, Jaji Mstaafu wa Mahakama ya Rufaa, Damian LubuvaMWENYEKITI wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Jaji Mstaafu wa Mahakama ya Rufaa, Damian Lubuva amesema vitambulisho vinavyotolewa na Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA) si mbadala wa kadi ya mpiga kura.

 

10 years ago

Vijimambo

Chadema chadai kunasa ujumbe wa Rugemalira kwenda kwa JK

Katibu Mkuu wa chama Cha Demokrasia na Maendeleo, Dk. Wilbroad Slaa.Rogemalila na Mhe. Jakaya Kikwete katika picha miaka ya nyumaChama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimedai kimenasa ujumbe mwingine wa barua pepe ulioandikwa na mmiliki wa Kampuni ya VIP Engeering, James Rugemalira, kwenda kwa Rais Jakaya Kikwete ukimtaka asitekeleze maazimio yaliyofikiwa na Bunge kuhusu akaunti ya Tegeta Escrow, mpaka uamuzi wa mahakama utakapotolewa.

Katibu Mkuu wa chama hicho, Dk. Wilbroad Slaa,...

 

10 years ago

Habarileo

Chadema kuanza elimu ya mpigakura

Mbunge wa Ubungo, John Mnyika.CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kinatarajia kuzindua operesheni ya kutoa elimu ya mpigakura nchi nzima, itakayoitwa Mkoa kwa Mkoa.

 

9 years ago

StarTV

Mdahalo wa wagombea Ukawa wadai hawana muda kwa sasa

Umoja wa Vyama vinavyounda Ukawa umesema kwa sasa haupo tayari kushiriki midahalo inayoandaliwa na Taasisi za Kijamii kwa wakati ni huu na kupinga kauli iliyotolewa na Katibu Mtendaji wa Baraza la Habari Tanzania, Kajubi Mukajanga kuwa amewapa mwaliko si kweli.

Ukawa wamesema, si kweli kwamba wamepata mwaliko kutoka MCT na kudai kuwa kauli ya kiongozi huyo wa chombo kinachoheshimika ni ya upotosha. 

Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es salaam, Mwenyekiti mweza wa Umoja wa Ukawa,...

 

5 years ago

Michuzi

Chadema wadai kutostushwa na madiwani wao kutimkia CCM


Na Amiri kilagalila,Njombe Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA mkoa wa Njombe kimesema hakijashtushwa na taarifa za Madiwani wao watatu wa wilaya ya Makete kutangaza kuhamia Chama cha Mapinduzi CCM kwa kuwa walishakuwa na taarifa za kuwa wamekuwa wakitishwa kwa muda mrefu. Mwenyekiti wa CHADEMA mkoa wa Njombe Rose Mayemba amesema kuwa licha ya madiwani hao kutotoa sababu hizo hadharani lakini kama chama kilishapata taarifa hizo kwa muda mrefu kwamba wamekuwa...

 

10 years ago

Dewji Blog

Lowassa akabidhiwa rasmi kadi ya CHADEMA

MMGL0885

Mwenyekiti wa Taifa wa Chadema,Freeman Mbowe akimkabidhi kadi ya uanachama wa chama hicho, Mh.Waziri Mkuu Mstaafu, Edward Lowassa leo katika hoteli ya Bahari Beach jijini Dar es Salaam.

MMGL0688

 Waziri Mkuu Mstaafu,Edward Lowassa akizungumza na mamia wakati wa kutangaza adhima yake ya kujiunga na Chadema katika Hoteli ya Bahari Beach jijini Dar es Salaam.

MMGL0816

 Waziri Mkuu Mstaafu,Edward Lowassa akijibu maswali ya waandishi wa habari juu ya kujunga kwake katika Hoteli ya Bahari Beach leo jijini Dar es...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani