Chadema kuanza elimu ya mpigakura
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kinatarajia kuzindua operesheni ya kutoa elimu ya mpigakura nchi nzima, itakayoitwa Mkoa kwa Mkoa.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi08 Sep
Wakati wa kutoa elimu ya mpigakura ni sasa
9 years ago
Mwananchi24 Aug
Wagombea Chadema wadai kunasa kadi feki za mpigakura
10 years ago
Habarileo04 May
Maadhimisho Wiki ya Elimu kuanza leo
MAADHIMISHO ya Wiki ya Elimu yanatarajiwa kuanza leo mkoani Tabora na yatafikia tamati yake Mei 8 mwaka huu, huku kaulimbiu yake ikiwa ni Haki ya elimu kwa wote ifikapo mwaka 2010.
10 years ago
GPLMAONYESHO YA KWANZA KIMATAIFA YA ELIMU KUANZA DES 10 DAR
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-6XYOWdO67R0/VII3n2UZ79I/AAAAAAABGMI/Oaz4ArokC5g/s72-c/IMG_2963.jpg)
MAONYESHO YA KIMATAIFA YA ELIMU KUANZA DISEMBA 17-21, 2014 JIJINI DAR
![](http://3.bp.blogspot.com/-6XYOWdO67R0/VII3n2UZ79I/AAAAAAABGMI/Oaz4ArokC5g/s1600/IMG_2963.jpg)
Kampuni ya Global Education Link (GEL) kwa kushirikiana na Ofisi ya Waziri Mkuu (TAMISEMI), Wizara ya Elimu na Ufundi pamoja na Mamlaka ya Maendeleo ya Biashara Tanzania (Tantrade) wameandaa maonyesho ya kwanza ya kimataifa ya elimu (TIEE) yanayotarajiwa kufanyika Disemba 17 hadi 21 mwaka huu katika viwanja vya Mwalimu Nyerere jijini Dar es Salaam.
Akizungumza jijini Dar es...
10 years ago
Habarileo06 May
Mchakato wa urais Chadema kuanza Julai 20
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimetangaza tarehe za wagombea wa nafasi mbalimbali za uongozi kuchukua na kurejesha fomu, ambapo kwa nafasi ya Rais, zitatolewa Julai 20 na kurejeshwa Julai 25.
10 years ago
StarTV17 Oct
CHADEMA kuanza ziara ya kuipinga Katiba.
Na Grace Semfuko,
Dar Es Salaam.
Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA kitaanza ziara maalum katika mikoa yote Nchini ya kuhamasisha wananchi kuikataa katiba inayopendekezwa kwa madai haijakidhi maslahi ya watanzania.
Chama hicho kimesema ziara hiyo itaanza kwa awamu katika jumuia zake ambapo Oktoba 17 itaanzia na jumuiya ya wanawake BAWACHA chini ya Mwenyekiti wake Halima Mdee.
Katibu Mkuu wa CHADEMA Dkt Wilbroad Slaa amesema ziara hizo pia...
10 years ago
Dewji Blog26 Mar
Chuo cha CBE kuanza kutoa shahada ya elimu katika masuala ya biashara
![Picha na 2](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/03/Picha-na-2.jpg)