Maadhimisho Wiki ya Elimu kuanza leo
MAADHIMISHO ya Wiki ya Elimu yanatarajiwa kuanza leo mkoani Tabora na yatafikia tamati yake Mei 8 mwaka huu, huku kaulimbiu yake ikiwa ni Haki ya elimu kwa wote ifikapo mwaka 2010.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
MichuziMAADHIMISHO YA WIKI YA ELIMU MKOANI DODOMA YAFANA SANA LEO
11 years ago
Michuzi12 Apr
MAADHIMISHO YA WIKI YA ELIMU MKOA WA NJOMBE YAFANA, MKUU WA MKOA ATILIA MKAZO SUALA LA ELIMU
11 years ago
Dewji Blog13 Apr
Maadhimisho ya wiki ya elimu mkoa wa Njombe yafana
Baadhi ya wanafunzi wa shule zilizopo mkoa wa Njombe wakifurahia maadhimisho ya wiki ya elimu yaliyofanyika kimkoa katika wilaya ya Makete Aprili 11, 2014.
Mkuu wa wilaya ya Makete Mhe. Josephine Matiro akizungumza katika maadhimisho hayo yaliyofanyika kimkoa katika wilaya yake.
Mkuu wa mkoa wa Njombe kapteni mstaafu Aseri Msangi (Katikati) akipata maelezo kutoka kwa mwalimu aliyetunga vitabu kama njia mojawapo ya kuinua elimu mkoani humo, wa kwanza kushoto ni mkuu wa wilaya ya makete...
11 years ago
Dewji Blog02 May
Pinda kuzindua maadhimisho wa Wiki ya Elimu mjini Dodoma
Msemaji wa Serikali Bw. Assah Mwambene akiongea na waandishi wa habari (hawapo pichani) kuhusu maadhimisho ya Wiki ya Elimu yatakayofanyika kitaifa mkoani Dodoma. Kulia ni Afisa Habari wa Idara ya Habari Magreth Kinabo.
HASSAN SILAYO- MAELEZO
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mizengo Pinda kesho atazindua maadhimisho wa Wiki ya Elimu Mjini Dodoma.
Akizungumza na waandishi wa Habari Msemaji wa Serikali Bw. Assah Mwambene alisema kuwa Maadhimisho hayo yatakwenda sambamba na...
11 years ago
GPLMATUKIO KATIKA PICHA WAKATI WA MAADHIMISHO YA WIKI YA ELIMU MKOA WA NJOMBE
10 years ago
GPLMAADHIMISHO YA WIKI YA USALAMA BARABARANI YAZINDULIWA LEO ILALA
9 years ago
Dewji Blog07 Oct
Maadhimisho ya wiki huduma kwa wateja wa Tigo yaendelea leo
Meneja wa ubora huduma kwa wateja wa Tigo Bi. Mwangaza Matotola, akiwakabidhi fulana wateja wa tigo kwenye maadhimisho ya wiki ya huduma kwa wateja yaliyofanyika Dula la Tigo Nkurumah.
Mteja wa Tigo Zenah Hamdi mkazi wa Tandika, akipata huduma toka kwa Mtoa huduma wa Kampuni ya Tigo.
Meneja wa ubora huduma kwa wateja wa Tigo Bi. Mwangaza Matotola, akimkabidhi fulana mteja wa Tigo Nickson Mbwambo mkazi wa Mabibo, kwenye maadhimisho ya wiki ya huduma kwa wateja yaliyofanyika Duka la Tigo...
10 years ago
MichuziMAADHIMISHO YA 23 YA WIKI YA UNYONYESHAJI MAZIWA YA MAMA KITAIFA YAZINDULIWA LEO MKOANI DODOMA
![](http://2.bp.blogspot.com/-4IZUGwwXXiE/Vb-G6Q8AOmI/AAAAAAAHtpo/mUuUddlVw4s/s640/NA.%2B6.NEF.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-h9NR2XUfz2k/VQ7939lNIzI/AAAAAAAHMQo/yHXhw2qQIBY/s72-c/unnamed%2B(82).jpg)
Dkt. Bilal afunga Maadhimisho ya Wiki ya Maji Kitaifa mjini Musoma leo