MAADHIMISHO YA 23 YA WIKI YA UNYONYESHAJI MAZIWA YA MAMA KITAIFA YAZINDULIWA LEO MKOANI DODOMA
Nahodha wa timu ya mpira wa miguu ya small boys kutoka kijiji cha Nhinhi Chamwino Adson Amos akipokea zawadi ya Jezi kutoka kwa mgeni rasmi baada ya timu yake kuibuka mshindi kwenye mashindano ya uzinduzi wa Maadhimisho ya 23 ya wiki ya unyonyeshaji maziwa ya mama kitaifa yaliyofanyika leo kwenye kijiji cha Nkwenda Wilayani Chamwino Mkoani Dodoma.
Mwakilishi wa Mkuu wa Mkoa wa Dodoma ambaye ni Katibu Tawala wa Mkoa wa Dodoma Ndg. Rehema Madenge akiwasilisha hotuba ya uzinduzi wa Maadhimisho...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
VijimamboMAADHIMISHO YA 23 YA WIKI YA UNYONYESHAJI MAZIWA YA MAMA KITAIFA YAFIKIA KILELE MJINI DODOMA MWISHONI MWA WIKI
10 years ago
Dewji Blog10 Aug
Maadhimisho ya 23 ya wiki ya unyonyeshaji Maziwa ya Mama Kitaifa yafikia kilele mjini Dodoma
Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe. Chiku Gallawa akitoa hotuba ya kuhitimisha Maadhimisho ya 23 ya wiki ya unyonyeshaji maziwa ya mama kitaifa kwenye viwanja vya Nane Nane Nzuguni Mkoani Dodoma mwishoni mwa wiki.(Picha na John Banda wa Pamoja Blog).
Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe. Chiku Gallawa akimkabidhi zawadi Mwanafunzi Margreth Mussa wa shule ya msingi Maria de Matias baada ya kushinda shindano la kuandika insha ya lishe na unyonyeshaji wakati wa sherehe za kilele cha Maadhimisho ya 23 ya...
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-xQGyBEeEe94/VcIJ6OS8HYI/AAAAAAABTME/zZi8XIfovqw/s72-c/1.jpg)
PICHA ZA UFUNGUZI WA MAONYESHO YA NANENANE NA UFUNGUZI WA MAADHIMISHO YA WIKI YA UNYONYESHAJI KITAIFA INAYOFANYIKA MKOANI DODOMA
![](http://2.bp.blogspot.com/-xQGyBEeEe94/VcIJ6OS8HYI/AAAAAAABTME/zZi8XIfovqw/s640/1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-yR5777cPF2o/VcIJ-XNcoII/AAAAAAABTM4/szovlBwnMKc/s640/2.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-_z1cwvspBe0/VcIJ_9rgLSI/AAAAAAABTNc/uqjxruCgnwo/s640/4.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-TS009f5bUA8/VcIKABGLPVI/AAAAAAABTNY/pK0tg9A2Yl8/s640/5.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-U1l9oocnbn4/VcIKA_lDwjI/AAAAAAABTNk/7VdOmVB5In0/s640/6.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-D6Soyalhrm0/UymidwEuvlI/AAAAAAACc84/ygs26YOz2zE/s72-c/01.jpg)
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AHITIMISHA SHEREHE ZA MAADHIMISHO YA WIKI YA MAJI KITAIFA WILAYANI MPWAPWA MKOA WA DODOMA LEO
![](http://2.bp.blogspot.com/-D6Soyalhrm0/UymidwEuvlI/AAAAAAACc84/ygs26YOz2zE/s1600/01.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-9MRNdKk3UwY/UymihPrJo9I/AAAAAAACc9Q/16Pl-vW67eo/s1600/2.jpg)
11 years ago
MichuziMAADHIMISHO YA WIKI YA ELIMU MKOANI DODOMA YAFANA SANA LEO
5 years ago
CCM BlogMAADHIMISHO YA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI YALIVYORINDIMA KITAIFA MBELE YA MAMA SAMIA WILAYANI BARIADI MKOANI SIMIYU, LEO
Wanawake wakiwa kwenye maandamano ya Maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani, yaliyofanyika Kitaifa yakiongozwa na Makamu wa Rais Samia Suluhu Hassan , katika Uwanja wa Halmashauri Wilayani Bariadi Mkoani Simiyu leo....
10 years ago
GPLMAADHIMISHO YA WIKI YA USALAMA BARABARANI YAZINDULIWA LEO ILALA
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-h9NR2XUfz2k/VQ7939lNIzI/AAAAAAAHMQo/yHXhw2qQIBY/s72-c/unnamed%2B(82).jpg)
Dkt. Bilal afunga Maadhimisho ya Wiki ya Maji Kitaifa mjini Musoma leo