PICHA ZA UFUNGUZI WA MAONYESHO YA NANENANE NA UFUNGUZI WA MAADHIMISHO YA WIKI YA UNYONYESHAJI KITAIFA INAYOFANYIKA MKOANI DODOMA
![](http://2.bp.blogspot.com/-xQGyBEeEe94/VcIJ6OS8HYI/AAAAAAABTME/zZi8XIfovqw/s72-c/1.jpg)
Wanafunzi wa shule ya msingi ya Nhinhi wiyani Chamwino wakicheza ngoma ya kabila la kigogo wakati wa Uzinduzi wa maadhimisho ya siku ya Unyonyeshaji maziwa ya mama kwa mtoto kwa miezi sita yaliyofanyika katika kijiji cha Nghwenda katika mfurulizo wa wiki ya hiyo inayofanyika kitaifa mkoani Dodoma
Baadhi ya wanawake na wanaume wakiwa na watoto wao kwenye uzinduzi wa maadhimisho ya wiki ya Unyonyeshaji kitaifa inayoendelea mkoani Dodoma yaliyofanyika katika kijiji cha Nghwenda kata ya Nhinhi...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziMAADHIMISHO YA 23 YA WIKI YA UNYONYESHAJI MAZIWA YA MAMA KITAIFA YAZINDULIWA LEO MKOANI DODOMA
![](http://2.bp.blogspot.com/-4IZUGwwXXiE/Vb-G6Q8AOmI/AAAAAAAHtpo/mUuUddlVw4s/s640/NA.%2B6.NEF.jpg)
10 years ago
VijimamboMAADHIMISHO YA 23 YA WIKI YA UNYONYESHAJI MAZIWA YA MAMA KITAIFA YAFIKIA KILELE MJINI DODOMA MWISHONI MWA WIKI
10 years ago
Dewji Blog10 Aug
Maadhimisho ya 23 ya wiki ya unyonyeshaji Maziwa ya Mama Kitaifa yafikia kilele mjini Dodoma
Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe. Chiku Gallawa akitoa hotuba ya kuhitimisha Maadhimisho ya 23 ya wiki ya unyonyeshaji maziwa ya mama kitaifa kwenye viwanja vya Nane Nane Nzuguni Mkoani Dodoma mwishoni mwa wiki.(Picha na John Banda wa Pamoja Blog).
Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe. Chiku Gallawa akimkabidhi zawadi Mwanafunzi Margreth Mussa wa shule ya msingi Maria de Matias baada ya kushinda shindano la kuandika insha ya lishe na unyonyeshaji wakati wa sherehe za kilele cha Maadhimisho ya 23 ya...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-r4Rp-Nim--g/U5xSauvKLCI/AAAAAAAFqpM/da_Wg94nYAg/s72-c/Untitled1.png)
RATIBA YA UFUNGUZI WA MAADHIMISHO WIKI YA UTUMISHI WA UMMA, VIWANJA VYA MNAZI MMOJA, DAR ES SALAAM, TAREHE 16 JUNI 2014
![](http://2.bp.blogspot.com/-r4Rp-Nim--g/U5xSauvKLCI/AAAAAAAFqpM/da_Wg94nYAg/s1600/Untitled1.png)
OFISI YA RAIS, MENEJIMENTI YA UTUMISHI WA UMMA
RATIBA YA UFUNGUZI WA MAADHIMISHO WIKI YA UTUMISHI WA UMMA, VIWANJA VYA MNAZI MMOJA, DAR ES SALAAM, TAREHE 16 JUNI 2014
MUDA TUKIO MHUSIKA 02.00-03.30 Burudani MC 03.30-04.00 Waalikwa Kuingia Uwanjani MC/Wageni Waalikwa 04.00-04.15 Katibu Mkuu Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma Kuingia Uwanjani MC/ Kamati ya Mapokezi 04.15-04.30 Mgeni...
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-2-T-k28Wt9c/VcMtoJIWCVI/AAAAAAAASLA/Rey_PtrPTig/s72-c/2.jpg)
MSD YAWAVUTA WANANCHI KATIKA BANDA LAO MAONYESHO YA NANENANE YANAYOENDELEA MKOANI DODOMA
![](http://3.bp.blogspot.com/-2-T-k28Wt9c/VcMtoJIWCVI/AAAAAAAASLA/Rey_PtrPTig/s640/2.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-CKRMhtTM5Ek/VcMtoJ1UyJI/AAAAAAAASK8/eL90yoCG6k8/s640/pic%2B3.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-a1hwKXduYuQ/VcMtjd8hqCI/AAAAAAAASK0/fJD63JPJXTk/s640/pic%2B4.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-prYsDUiLLtg/VcMtu8owO8I/AAAAAAAASLM/Y22hjB0EflA/s640/pic%2B5.jpg)
10 years ago
MichuziWANANCHI WATEMBELEA BANDA LA WIZARA YA UCHUKUZI KATIKA MAONYESHO YA WIKI YA MAZINGIRA YANAYOFANYIKA KITAIFA MKOANI TANGA
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-a64TaK0x9ts/U04Ss7ktn7I/AAAAAAAFbNc/jIDl7HtYxLg/s72-c/unnamed+(62).jpg)
UFUNGUZI WA MAONYESHO YA MIAKA 50 YA MUUNGANO DAR ES SALAAM
![](http://1.bp.blogspot.com/-a64TaK0x9ts/U04Ss7ktn7I/AAAAAAAFbNc/jIDl7HtYxLg/s1600/unnamed+(62).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-9BQ_dv2CHFE/U04Ssy9ugEI/AAAAAAAFbNk/0fIcKFhkzVM/s1600/unnamed+(63).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-PNzi7-vSF48/U04SxBJz9AI/AAAAAAAFbOE/wnLcunsixE0/s1600/unnamed+(65).jpg)