WANANCHI WATEMBELEA BANDA LA WIZARA YA UCHUKUZI KATIKA MAONYESHO YA WIKI YA MAZINGIRA YANAYOFANYIKA KITAIFA MKOANI TANGA
Mhandisi kutoka Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Tanga, Mhandishi Ephraim Minde, akisaini kitabu cha wageni mara baada ya kupata ufafanuzi kuhusu utunzaji wa Mazingira katika miundombinu ya Uchukuzi, leo asubuhi katika banda la Wizara ya Uchukuzi katika maonyesho ya Wiki ya Mazingira Mkoani Tanga. Maonyesho hayo yanafanyika kitaifa mkoani Tanga.
Mkurugenzi wa Idara ya Usalama na Mazingira kutoka Wizara ya Uchukuzi, Bi. Tumpe Mwaijande (aliyekaa kwenye kiti), akifafanua kwa mwananchi aliyembelea banda...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziKATIBU MKUU WA WIZARA YA UCHUKUZI, SHAABAN MWINJAKA ATEMBELA MAONYESHO YA WIKI YA MAZINGIRA TANGA.
10 years ago
MichuziKATIBU MKUU WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI ATEMBELEA BANDA LA WIZARA YAKE KATIKA MAONYESHO YA WIKI YA UTUMISHI WA UMMA KATIKA VIWANJA VYA MNAZI MMOJA
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-Do8jnyrQhL0/VW_g8rBZfbI/AAAAAAAHb1g/wGUNPIVqFzY/s72-c/unnamed%2B%252859%2529.jpg)
MH. SITTA KATIKA MAONYESHO YA WIKI YA MAZINGIRA JIJINI TANGA
![](http://1.bp.blogspot.com/-Do8jnyrQhL0/VW_g8rBZfbI/AAAAAAAHb1g/wGUNPIVqFzY/s640/unnamed%2B%252859%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-QzyQYTzQ9IQ/VW_g8NZMwDI/AAAAAAAHb1Y/DhtrU6fkIVQ/s640/unnamed%2B%252860%2529.jpg)
10 years ago
MichuziWADAU WAENDELEA KUTEMBELEA BANDA LA WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI KATIKA MAONYESHO YA WIKI YA UTUMISHI WA UMMA YANAYOENDELEA KATIKA VIWANJA VYA MNAZI MMOJA JIJINI DAR
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-2-T-k28Wt9c/VcMtoJIWCVI/AAAAAAAASLA/Rey_PtrPTig/s72-c/2.jpg)
MSD YAWAVUTA WANANCHI KATIKA BANDA LAO MAONYESHO YA NANENANE YANAYOENDELEA MKOANI DODOMA
![](http://3.bp.blogspot.com/-2-T-k28Wt9c/VcMtoJIWCVI/AAAAAAAASLA/Rey_PtrPTig/s640/2.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-CKRMhtTM5Ek/VcMtoJ1UyJI/AAAAAAAASK8/eL90yoCG6k8/s640/pic%2B3.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-a1hwKXduYuQ/VcMtjd8hqCI/AAAAAAAASK0/fJD63JPJXTk/s640/pic%2B4.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-prYsDUiLLtg/VcMtu8owO8I/AAAAAAAASLM/Y22hjB0EflA/s640/pic%2B5.jpg)
11 years ago
Dewji Blog06 Jun
Wizara ya Uchukuzi yaadhimisha wiki ya Mazingira Duniani kwa kufanya usafi na kupanda Miti Bandarini
Mkurugenzi wa Idara ya Usalama na Mazingira wa Wizara ya Uchukuzi, Bi, Tumpe Mwaijande (kulia), akipanda mti katika eneo la bandari ya Dar es Salaam jana, kama sehemu ya maadhimisho ya Wiki ya Mazingira. Maadhimisho ya Wiki ya Mazingira yanafanyika kitaifa mkoani Mwanza ambapo kwa mwaka huu kauli mbiu ni ‘Tunza mazingira ili kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi Tanzania’.
Mkurugenzi wa Idara ya Utawala na Rasilimali Watu wizara ya Uchukuzi, Bw. Issa Nchasi, akifanya usafi katika eneo...
10 years ago
Dewji Blog29 May
Siku ya Mazingira Kitaifa kufanyika Mkoani Tanga, Juni 5 mwaka huu
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais ( Mazingira), Dk. Binilith Mahenge (Pichani)
NA ANDREW CHALE, MODEWJI BLOG
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais ( Mazingira), Dk. Binilith Mahenge amesema kuwa Serikali inaendelea kukabiliana na changamoto za uharibifu wa mazingira kwa kuhamasisha utekelezaji wa mipango ya kitaifa ya kuhifadhi mazingira pamoja na miongozo yake.
Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam wakati wa maandalizi ya maadhimisho ya Siku ya Mazingira...
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-xQGyBEeEe94/VcIJ6OS8HYI/AAAAAAABTME/zZi8XIfovqw/s72-c/1.jpg)
PICHA ZA UFUNGUZI WA MAONYESHO YA NANENANE NA UFUNGUZI WA MAADHIMISHO YA WIKI YA UNYONYESHAJI KITAIFA INAYOFANYIKA MKOANI DODOMA
![](http://2.bp.blogspot.com/-xQGyBEeEe94/VcIJ6OS8HYI/AAAAAAABTME/zZi8XIfovqw/s640/1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-yR5777cPF2o/VcIJ-XNcoII/AAAAAAABTM4/szovlBwnMKc/s640/2.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-_z1cwvspBe0/VcIJ_9rgLSI/AAAAAAABTNc/uqjxruCgnwo/s640/4.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-TS009f5bUA8/VcIKABGLPVI/AAAAAAABTNY/pK0tg9A2Yl8/s640/5.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-U1l9oocnbn4/VcIKA_lDwjI/AAAAAAABTNk/7VdOmVB5In0/s640/6.jpg)
10 years ago
GPLMAMIA WAFURIKA BANDA LA NHIF, KATIKA MAONYESHO YA WIKI YA UTUMISHI WA UMMA VIWANJA VYA MNAZI MMOJA JIJINI DAR