KATIBU MKUU WA WIZARA YA UCHUKUZI, SHAABAN MWINJAKA ATEMBELA MAONYESHO YA WIKI YA MAZINGIRA TANGA.
Katibu Mkuu wa Wizara ya Uchukuzi, Dkt Shaaban Mwinjaka (mwenye flana ya mistari), akisalimiana na Watumishi wa Wizara ya Uchukuzi na taasisi zake jana katika banda la Wizara ya Uchukuzi katika maonyesho ya Wiki ya Mazingira Mkoani Tanga. Maonyesho hayo yanafanyika kitaifa mkoani Tanga.
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
MichuziKATIBU MKUU WA WIZARA YA UCHUKUZI, DKT. SHAABAN MWINJAKA AZUNGUMZA NA UONGOZI WA MAMLAKA YA VIWANJA VYA NDEGE TANZANIA (TAA)
10 years ago
MichuziWANANCHI WATEMBELEA BANDA LA WIZARA YA UCHUKUZI KATIKA MAONYESHO YA WIKI YA MAZINGIRA YANAYOFANYIKA KITAIFA MKOANI TANGA
9 years ago
MichuziKATIBU MKUU WA WIZARA YA UCHUKUZI, MWINJAKA AZINDUA BODI (RAHCO).
10 years ago
MichuziKATIBU MKUU WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI ATEMBELEA BANDA LA WIZARA YAKE KATIKA MAONYESHO YA WIKI YA UTUMISHI WA UMMA KATIKA VIWANJA VYA MNAZI MMOJA
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-Do8jnyrQhL0/VW_g8rBZfbI/AAAAAAAHb1g/wGUNPIVqFzY/s72-c/unnamed%2B%252859%2529.jpg)
MH. SITTA KATIKA MAONYESHO YA WIKI YA MAZINGIRA JIJINI TANGA
![](http://1.bp.blogspot.com/-Do8jnyrQhL0/VW_g8rBZfbI/AAAAAAAHb1g/wGUNPIVqFzY/s640/unnamed%2B%252859%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-QzyQYTzQ9IQ/VW_g8NZMwDI/AAAAAAAHb1Y/DhtrU6fkIVQ/s640/unnamed%2B%252860%2529.jpg)
9 years ago
VijimamboKATIBU MKUU WIZARA YA HABARI , VIJANA, UTAMADUNI NA MICHEZO ATEMBELEA MABANDA MAONYESHO YA WIKI YA VIJANA MJINI DODOMA.
11 years ago
Dewji Blog06 Jun
Wizara ya Uchukuzi yaadhimisha wiki ya Mazingira Duniani kwa kufanya usafi na kupanda Miti Bandarini
Mkurugenzi wa Idara ya Usalama na Mazingira wa Wizara ya Uchukuzi, Bi, Tumpe Mwaijande (kulia), akipanda mti katika eneo la bandari ya Dar es Salaam jana, kama sehemu ya maadhimisho ya Wiki ya Mazingira. Maadhimisho ya Wiki ya Mazingira yanafanyika kitaifa mkoani Mwanza ambapo kwa mwaka huu kauli mbiu ni ‘Tunza mazingira ili kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi Tanzania’.
Mkurugenzi wa Idara ya Utawala na Rasilimali Watu wizara ya Uchukuzi, Bw. Issa Nchasi, akifanya usafi katika eneo...
9 years ago
Dewji Blog02 Dec
Katibu Mkuu Wizara ya Uchukuzi afanya ziara TRL!!
Katibu mkuu wa Wizara ya Uchukuzi Bw. Shabani Mwinjaka akiongea na waandishi wa habari alipofanya ziara yake katika shirika la reli Tanzania (TRL) leo jijini Dar es salaam.
Na Ally Daud-Maelezo
[DAR ES SALAAM] Katibu Mkuu wa Wizara ya Uchukuzi Shabani Mwinjaka amefanya ziara katika Shirika la Reli Tanzania (TRL) ili kuhakikisha ufanyaji kazi wa shirika hilo linaendana na kasi ya Rais wa awamu ya tano Mh. John Pombe Magufuli.
Katika ziara hiyo Bw. Mwinjuko alikagua karakana za shirika hilo...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-XZBCUHwa8l8/VCVshdU-bNI/AAAAAAAGl_M/4TeekhEAHUA/s72-c/unnamed%2B(36).jpg)
Katibu Mkuu wa Wizara ya Uchukuzi akutana na Ujumbe wa Ubalozi wa Uholanzi
![](http://2.bp.blogspot.com/-XZBCUHwa8l8/VCVshdU-bNI/AAAAAAAGl_M/4TeekhEAHUA/s1600/unnamed%2B(36).jpg)