Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Katibu Mkuu Wizara ya Uchukuzi afanya ziara TRL!!

PIX 1

Katibu mkuu wa Wizara ya Uchukuzi Bw. Shabani Mwinjaka akiongea na waandishi wa habari alipofanya ziara yake katika shirika la reli Tanzania (TRL) leo jijini Dar es salaam.

Na Ally Daud-Maelezo

[DAR ES SALAAM] Katibu Mkuu wa Wizara ya Uchukuzi  Shabani Mwinjaka amefanya ziara katika Shirika la Reli Tanzania (TRL) ili kuhakikisha ufanyaji kazi wa shirika hilo linaendana na kasi ya Rais wa awamu ya tano Mh.  John Pombe Magufuli.

Katika ziara hiyo Bw. Mwinjuko alikagua karakana za shirika hilo...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Dewji Blog

Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo afanya ziara BASATA, TBC na TSN!

IMG_6341

Katibu Mkuu Wizara ya Habari,Vijana,Utamaduni na Michezo Prof Elisante Ole Gabriel(aliyekaa mwenye miwani) akipata maelekezo jinsi gazeti linavyotengenezwa kutoka kwa mtumishi wa Standard News Papers (TSN) mapema jana jijini Dar es Salaam alipofanya ziara ya kikazi na kuangalia utendaji wa kazi.

IMG_6056 - Copy

Katibu Mkuu Wizara ya Habari,Vijana,Utamaduni na Michezo Prof Elisante Ole Gabriel (wa kwanza kushoto) akiangalia mitambo ya kurushia matangazo ya Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC) wakati...

 

9 years ago

Michuzi

KATIBU MKUU WIZARA YA HABARI,VIJANA,UTAMADUNI NA MICHEZO AFANYA ZIARA BASATA,TBC NA TSN.

 Katibu Mkuu Wizara ya Habari,Vijana,Utamaduni na Michezo Prof Elisante Ole Gabriel(wa kwanza kushoto) akiangalia mitambo ya kurushia matangazo ya Shirika la Utangazaji Tanzania(TBC) wakati alipofanya ziara ya kikazi katika minara ya shirika hilo leo hii  Kisarawe.Profesa Elisante amefanya ziara katika Taasisi tatu zilizo chini ya Wizara hiyo ambazo ni Baraza la Sanaa Tanzabia (BASATA),Tanzania Standard Newspapers(TSN) na Shirika la Utangazaji Tanzania(TBC) lengo likiwa ni kufahamiana na...

 

5 years ago

Michuzi

KATIBU MKUU WIZARA YA KILIMO AFANYA ZIARA YA KUSHTUKIZA ENEO LA UJENZI WA VIHENGE VYA KISASA SHNYANGA.

Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo Gerald Kusaya leo (08.06.2020) amefanya ziara ya kushtukiza kwenye eneo la ujenzi wa vihenge vya kisasa (silos) mjini Shinyanga na kuelezea kutoridhishwa na kasi ya ujenzi huo .
" Mkandarasi sijaridhishwa na kazi yako kuwa na kasi ndogo wakati serikali inahitaji mradi huu wa maghala ukamilike kwa wakati.Nataka uongeze idadi ya vibarua na mafundi ili spidi ya kazi iongezeke " alisema Kusaya
Katibu Mkuu huyo ameelekeza mkandarasi kuwa ataendelea kutembelea...

 

11 years ago

Michuzi

Katibu Mkuu wa Wizara ya Uchukuzi akutana na Ujumbe wa Ubalozi wa Uholanzi

Katibu Mkuu wa Wizara ya Uchukuzi, Dk. Shaaban Mwinjaka ( wa tatu kutoka kulia mstari wa kwanza) akiwa katika picha ya pamoja na ujumbe kutoka Ubalozi wa Uholanzi, wawakilishi kutoka bandari ya Rotterdam ya uholanzi pamoja na wawakilishi kutoka kampuni ya BAM ya uholanzi aliokutana leo mchana ofisini kwake kujadiliana kuhusu kuwekeza katika bandari ya Mtwara kwa mkopo wa bei nafuu. Kulia kwa Dk. Mwinjaka ni Balozi wa Uholanzi Nchini, Mr. Jaap FREDERICKS. (Picha na kitengo cha...

 

10 years ago

Michuzi

KATIBU MKUU WA WIZARA YA UCHUKUZI, MWINJAKA AZINDUA BODI (RAHCO).

KATIBU MKUU WA WIZARA YA UCHUKUZI, DKT SHAABAN MWINJAKA AZINDUA BODI YA KAMPUNI YA MILIKI YA RASILIMALI ZA RELI (RAHCO), KWA NIABA YA WAZIRI WA UCHUKUZI, LEO ASUBUHI  Katibu Mkuu wa Wizara ya Uchukuzi, Dkt. Shaaban Mwinjaka akitoa maelekezo kwa Niaba ya Waziri wa Uchukuzi, kwa Wakurugenzi wa Bodi ya Kampuni Miliki ya Rasilimali za Reli (RAHCO), leo asubuhi wakati akizindua bodi hiyo katika ofisi za Wizara ya Uchukuzi. Katibu Mkuu wa Wizara ya Uchukuzi, Dkt. Shaaban Mwinjaka (katikati)...

 

11 years ago

Dewji Blog

Katibu Mkuu wa Shirika la Kimataifa la Usafiri wa Anga( ICAO) atembelea Wizara ya Uchukuzi

13

Waziri wa Uchukuzi Dk. Harrison Mwakyembe  akiongea na  Mkuu wa Shirika la Kimataifa la Usafiri wa Anga  (ICAO) Raymond Benjamin  baada ya kutembelea katika  ofisi za wizara ya uchukuzi  jijini Dar es Salaam. Katibu Mkuu wa Shirika la Usafiri wa Anga( ICAO) yupo nchini  kwa ziara ya kikazi  kuanzaia Tarehe 14 hadi 18 mei 2014.

14

KARIBU MGENI MWENYEJI ASHIBE ; Waziri wa Uchukuzi Dk. Harrison Mwakyembe akimkaribisha Mkuu wa Shirika la Kimataifa la Usafiri wa Anga  (ICAO) Raymond Benjamin,...

 

10 years ago

Michuzi

KATIBU MKUU WA WIZARA YA UCHUKUZI, SHAABAN MWINJAKA ATEMBELA MAONYESHO YA WIKI YA MAZINGIRA TANGA.

 Katibu Mkuu wa Wizara ya Uchukuzi, Dkt Shaaban Mwinjaka (mwenye flana ya mistari), akisalimiana na Watumishi wa Wizara ya Uchukuzi na taasisi zake jana katika banda la Wizara ya Uchukuzi katika maonyesho ya Wiki ya Mazingira Mkoani Tanga. Maonyesho hayo yanafanyika kitaifa mkoani Tanga.

 Katibu Mkuu wa Wizara ya Uchukuzi, Dkt Shaaban Mwinjaka akimsikiliza Afisa Mazingira kutoka Wizara ya Uchukuzi, Yusuph Abdulkadir Muya  wakati akimueleza matumizi ya kifaa cha kupimia mvua jana katika...

 

11 years ago

Michuzi

Katibu Mkuu wa Wizara ya Uchukuzi Apokea magari mawili kwa ajili ya mafunzo ya udereva

 Mkurugenzi wa Mradi ya Usalama Barabarani wa Shirika la Transaid la Nchini Uingereza, Mr. Neil Rettie (mwenye tai ya blue) akimkabidhi funguo za gari aina ya Iveco kwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Uchukuzi, Dkt Shaaban Mwinjaka kwa ajili ya mafunzo ya Udereva yanayotolewa na Chuo Cha Taifa Cha Usafirhsaji (NIT), Hafla hiyo ilifanyika katika viwanja vya chuo hicho leo Asubuhi.  Taswira ya tanker trailer la futi 40 na Folk Liftambayo yamekabidhiwa kwa Chuo Cha Taifa Cha Usafirishaji (NIT) na...

 

9 years ago

Michuzi

KATIBU MKUU WA WIZARA YA UCHUKUZI ATEMBELEA KIWANDA CHA KUTENGENEZEA BREAKPAD ZA VICHWA VYA TRENI

Katibu Mkuu wa Wizara ya Uchukuzi, Dkt Shaaban Mwinjaka (wa nne kutoka kushoto), akimsikiliza Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni Miliki ya Rasilimali za Reli (RAHCO), Mhandisi Benhadard Tito, wakati akimwelezea namna kiwanda cha kutengenezea breakpad za vichwa vya treni kilivyokuwa kinafanya kazi, na sasa hakifanyi kazi, wakati Katibu Mkuu huyo alipotembelea kiwanda hicho leo asubuhi, Katibu Mkuu ameipa wiki mbili kampuni hiyo na Shirika la Reli Tanzani (TRL) kuuanda timu na kufanya tathmini ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani