KATIBU MKUU WIZARA YA KILIMO AFANYA ZIARA YA KUSHTUKIZA ENEO LA UJENZI WA VIHENGE VYA KISASA SHNYANGA.
![](https://1.bp.blogspot.com/-Qibic1ECUlE/Xt47R2gnQzI/AAAAAAALtDo/HudImgoOcDs9r_J0xZbIsaFcniedVOnDgCLcBGAsYHQ/s72-c/SAVE_20200608_141641.jpg)
Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo Gerald Kusaya leo (08.06.2020) amefanya ziara ya kushtukiza kwenye eneo la ujenzi wa vihenge vya kisasa (silos) mjini Shinyanga na kuelezea kutoridhishwa na kasi ya ujenzi huo .
" Mkandarasi sijaridhishwa na kazi yako kuwa na kasi ndogo wakati serikali inahitaji mradi huu wa maghala ukamilike kwa wakati.Nataka uongeze idadi ya vibarua na mafundi ili spidi ya kazi iongezeke " alisema Kusaya
Katibu Mkuu huyo ameelekeza mkandarasi kuwa ataendelea kutembelea...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog02 Dec
Katibu Mkuu Wizara ya Uchukuzi afanya ziara TRL!!
Katibu mkuu wa Wizara ya Uchukuzi Bw. Shabani Mwinjaka akiongea na waandishi wa habari alipofanya ziara yake katika shirika la reli Tanzania (TRL) leo jijini Dar es salaam.
Na Ally Daud-Maelezo
[DAR ES SALAAM] Katibu Mkuu wa Wizara ya Uchukuzi Shabani Mwinjaka amefanya ziara katika Shirika la Reli Tanzania (TRL) ili kuhakikisha ufanyaji kazi wa shirika hilo linaendana na kasi ya Rais wa awamu ya tano Mh. John Pombe Magufuli.
Katika ziara hiyo Bw. Mwinjuko alikagua karakana za shirika hilo...
9 years ago
MichuziKATIBU MKUU WIZARA YA HABARI,VIJANA,UTAMADUNI NA MICHEZO AFANYA ZIARA BASATA,TBC NA TSN.
9 years ago
Dewji Blog13 Nov
Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo afanya ziara BASATA, TBC na TSN!
Katibu Mkuu Wizara ya Habari,Vijana,Utamaduni na Michezo Prof Elisante Ole Gabriel(aliyekaa mwenye miwani) akipata maelekezo jinsi gazeti linavyotengenezwa kutoka kwa mtumishi wa Standard News Papers (TSN) mapema jana jijini Dar es Salaam alipofanya ziara ya kikazi na kuangalia utendaji wa kazi.
Katibu Mkuu Wizara ya Habari,Vijana,Utamaduni na Michezo Prof Elisante Ole Gabriel (wa kwanza kushoto) akiangalia mitambo ya kurushia matangazo ya Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC) wakati...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-zoaMf1osy30/UwO1c5g8RbI/AAAAAAAFN1Q/cbT1vwJG-ls/s72-c/unnamed+(49).jpg)
WAZIRI MAGUFULI AFANYA ZIARA YA KUSHTUKIZA KUKAGUA NYUMBA ZINAZOJENGWA KWA AJILI YA WATUMISHI WA UMMA ENEO LA BUNJU B JIJINI DAR ES SALAAM
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-zSuC763Lgtg/VmwMcN-ZbkI/AAAAAAAIL1o/9dKlPsudWQw/s72-c/AmvQ-kQcVpVOkSRvJacmJNocZLUg5YvaH7pI6WSufb58.jpg)
NAIBU WAZIRI WA WIZARA YA AFYA MAENDELEO YA JAMII, JINSIA, WATOTO NA WAZEE AFANYA ZIARA YA KUSHTUKIZA KATIKA HOSPITALI YA AMANA JIJINI DAR LEO.
![](http://4.bp.blogspot.com/-zSuC763Lgtg/VmwMcN-ZbkI/AAAAAAAIL1o/9dKlPsudWQw/s640/AmvQ-kQcVpVOkSRvJacmJNocZLUg5YvaH7pI6WSufb58.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-VjQW6YgISOY/VmwMcPQwDSI/AAAAAAAIL10/8wKdnojdXlQ/s640/AjH-S6SvR9gr9VzcTGc-wk1SEi50ErUn6z0Jja4vAC7W.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-EB0__tOG8IA/VmwODqvP9II/AAAAAAAIL2A/AGs7SESJWHo/s640/AprHMZ72sEp9hGk6aXIotmJf3651kZCLwrCY3kS6uWPG%2B%25281%2529.jpg)
9 years ago
MichuziKATIBU MKUU WA UCHUKUZI ATEMBELEA ENEO INAPOJENGWA RELI MPYA YA KISASA YA STANDARD GAUGE
11 years ago
Dewji Blog12 May
Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu afanya ziara Mkoani Dodoma
Wakurugenzi wa Ofisi ya Waziri Mkuu waki kagua moja ya Mradi uanao tekelezwa na ( CDA) Miradi hii nikatika mpango wa matokeo makubwa sasa (BRN).
Katibu Mkuu Ofisi ya waziri Mkuu Dkt : Florens M Turuka wa (katikati) akitoa maelekezo kwa Wakurugenzi wa OWM walipo tembelea eneo la mradi wa Makaburi ya Viongozi katika eneo la Mlimani.
Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa (CDA) Bw: Pascal Muragiri akitoa maelezo ya mradi wa Barabara unaotekelezwa na CDA kwa msaada wa Benki ya Dunia wanao...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-gtopsaAH-xA/UwWcQrHPSQI/AAAAAAAAFBg/B4zOhJTO7IE/s72-c/P2197629.jpg)
KATIBU MKUU WIZARA YA ULINZI AWASILI MKOANI RUKWA KWA ZIARA YA KIKAZI YA SIKU TATU, AAHIDI KUBORESHA MIUNDOMBINU YA VITEULE VYA JESHI VYA KIRANDO NA KASANGA MKOANI RUKWA
![](http://2.bp.blogspot.com/-gtopsaAH-xA/UwWcQrHPSQI/AAAAAAAAFBg/B4zOhJTO7IE/s1600/P2197629.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-hvmoEYVl3I4/UwWcaCNt7FI/AAAAAAAAFBo/n_TcHb0_SXI/s1600/P2197636.jpg)
10 years ago
MichuziKAMATI YA BUNGE YA MIUNDOMBINU YAFANYA ZIARA YA KUKAGUA MAENDELEO YA UJENZI WA BARABARA YA BAGAMOYO — MAKOFIA — MSATA (KM 64) PAMOJA NA MIZANI YA KISASA ILIYOPO ENEO LA VIGWAZA
Barabara hii inayojengwa na kampuni ya Estim Construction ltd, na kusimamiwa na mhandisi mshauri kampuni ya JBG Gauff...