Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


CHADEMA kuanza ziara ya kuipinga Katiba.

Na Grace Semfuko,                     

                 

Dar Es Salaam.

 

 

Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA kitaanza ziara maalum katika mikoa yote Nchini ya kuhamasisha wananchi kuikataa katiba inayopendekezwa kwa madai haijakidhi maslahi ya watanzania.

 

Chama hicho kimesema ziara hiyo itaanza kwa awamu katika jumuia zake ambapo Oktoba 17 itaanzia na jumuiya ya wanawake BAWACHA chini ya Mwenyekiti wake Halima Mdee.

 

Katibu Mkuu wa CHADEMA Dkt Wilbroad Slaa amesema ziara hizo pia...

StarTV

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Mawakili TLS wajipanga kuipinga Katiba

Baada ya Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS) kufuta kesi yake ya kupinga mwenendo wa Bunge Maalum la Katiba, sasa mawakili waliokuwa wakikiwakilisha chama hicho katika kesi hiyo wanafanya mikakati ya kufungua kesi ya kupinga Katiba Inayopendekezwa.

 

11 years ago

Habarileo

Kikwete kuanza ziara Tanga

RAIS Jakaya Kikwete anatarajiwa kuwasili mkoani Tanga leo asubuhi kwa ziara ya kikazi ya siku nne mkoani hapa, itakayoambatana na uzinduzi wa miradi mbalimbali ya maendeleo katika wilaya nne atakazotembelea.

 

11 years ago

Habarileo

Kikwete kuanza ziara Ruvuma

RAIS Jakaya Kikwete leo anatarajia kuanza ziara ya siku saba mkoani Ruvuma. Katika ziara hiyo, Rais anatarajiwa kutembelea halmashauri zote sita zilizopo kwenye wilaya tano na kufungua miradi mbalimbali ya maendeleo.

 

9 years ago

Mtanzania

Lowassa kuanza ziara ya kuwashukuru wananchi

lowassa-1Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam

ALIYEKUWA mgombea urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), chini ya mwamvuli wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), Edward Lowassa, anatarajia kufanya mkutano wa hadhara kesho jijini Tanga, ikiwa ni sehemu ya ziara ya kuwashukuru Watanzania waliompigia kura wakati wa uchaguzi mkuu.

Taarifa iliyotolewa kwa vyombo vya habari Dar es Salaam jana na Mkuu wa Idara ya Habari na Mawasiliano wa Chadema, Tumaini Makene, ilisema katika ziara hiyo Lowassa...

 

10 years ago

Vijimambo

KINANA KUANZA ZIARA LINDI NA MTWARA



Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi CCM Taifa Nape Nnauye akizungumza na waandishi wa habari kwenye ukumbi wa Sekretarieti,CCM Ofisi ndogo Lumumba.


Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi Ndugu Abdulrahman Kinana anatarajia kufanya ziara katika mikoa ya Lindi na Mtwara.
Akiongea na waandishi wa habari katika ukumbi wa Sekretarieti,Lumumba jijini Dar es salaam Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi CCM Taifa Nape Nnauye alisema kuwa Ziara hiyo ni mwendelezo wa ziara za Sekretarieti ya Halmashauri Kuu Taifa...

 

11 years ago

Habarileo

Rais kuanza ziara Tanga Jumapili

RAIS Jakaya Kikwete anatarajiwa kuwasili mkoani Tanga kesho ili kuanza ziara ya siku nne ya kikazi katika baadhi ya maeneo ya mkoani humo. Mkuu wa Mkoa wa Tanga, Chiku Gallawa amebainisha hayo wakati akiwasilisha taarifa kwa vyombo vya habari kupitia mkutano na wanahabari uliofanyika ofisini kwake jana mchana.

 

11 years ago

Mwananchi

Kinana kuanza ziara Dar es Salaam

Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana kesho anaanza ziara mkoani Dar es Salaam kukagua uhai wa chama na utekelezaji wa ilani ya chama hicho.

 

10 years ago

Habarileo

Kinana kuanza ziara ya siku 2 Tanga

KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahman Kinana anatarajiwa kuwasili leo kwa ajili ya kufanya ziara ya kikazi ya siku mbili katika baadhi ya wilaya za mkoa wa Tanga.

 

10 years ago

Vijimambo

RAIS WA MSUMBIJI KUANZA ZIARA YA KITAIFA NCHINI

Rais wa Msumbiji, Mhe. Filipe Nyusi 
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
Rais wa Msumbiji, Mhe. Filipe Jacinto Nyusi anatarajiwa kuwasili nchini tarehe 17 Mei, 2015 kwa ziara ya Kitaifa ya siku tatu nchini kwa mwaliko wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Jakaya Mrisho Kikwete.

Mhe. Rais Nyussi atapokelewa na mwenyeji wake Mhe. Rais Kikwete mara baada ya kuwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere. Mhe. Rais Nyusi atakagua Gwaride la Heshima na kupigiwa mizinga 21.

Baada...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani