Kikwete kuanza ziara Ruvuma
RAIS Jakaya Kikwete leo anatarajia kuanza ziara ya siku saba mkoani Ruvuma. Katika ziara hiyo, Rais anatarajiwa kutembelea halmashauri zote sita zilizopo kwenye wilaya tano na kufungua miradi mbalimbali ya maendeleo.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
MichuziWAZIRI MKUU KUANZA ZIARA MKOANI RUVUMA
Baada ya Waziri Mkuu kuwasili Uwanja wa Ndege wa Songea, atapokelewa na viongozi wa Chama na Serikali, pia atakwenda Ikulu kupokea taarifa ya maendeleo ya mkoa wa Ruvuma.
Aidha, siku ya jumatatu atakuwa na shughuli za kufungua tawi la Benki ya Posta mjini Songea, kukagua maghala ya Wakala wa Taifa wa Hifadhi ya chakula (NFRA) kanda ya Songea na...
9 years ago
Dewji Blog03 Jan
Waziri Mkuu Mh. Kassim Majaliwa kuanza ziara Mkoani Ruvuma!!
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa (Pichani) anatarajia kuanza ziara ya kikazi ya siku nne mkoani
Ruvuma, ambapo atawasili mkoani hapo leo saa tisa alasiri.
Baada ya Waziri Mkuu kuwasili Uwanja wa Ndege wa Songea, atapokelewa na viongozi wa
Chama na Serikali, pia atakwenda Ikulu kupokea taarifa ya maendeleo ya mkoa wa Ruvuma.
Aidha, siku ya jumatatu atakuwa na shughuli za kufungua tawi la Benki ya Posta mjini
Songea, kukagua maghala ya Wakala wa Taifa wa Hifadhi ya chakula (NFRA) kanda ya...
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-Zew0yiZueLY/VojjdgqHONI/AAAAAAAIQDs/WIzz7rQD9aw/s72-c/Kassim_Majaliwa.jpg)
WAZIRI MKUU KUANZA ZIARA YA SIKU NNE MKOANI RUVUMA
![](http://1.bp.blogspot.com/-Zew0yiZueLY/VojjdgqHONI/AAAAAAAIQDs/WIzz7rQD9aw/s1600/Kassim_Majaliwa.jpg)
Baada ya Waziri Mkuu kuwasili Uwanja wa Ndege wa Songea, atapokelewa na viongozi wa Chama na Serikali, pia atakwenda Ikulu kupokea taarifa ya maendeleo ya mkoa wa Ruvuma.
Aidha, siku ya Jumatatu atakuwa na shughuli za kufungua tawi la Benki ya Posta mjini Songea, kukagua maghala ya Wakala wa Taifa wa Hifadhi ya chakula (NFRA) kanda ya Songea...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-zwIU6rRd6q4/U8e45_6V1HI/AAAAAAAF3BM/ZI5LxYNohb0/s72-c/unnamed+(20).jpg)
RAIS KIKWETE AELEKEA RUVUMA KWA ZIARA YA KIKAZI YA WIKI MOJA
![](http://3.bp.blogspot.com/-zwIU6rRd6q4/U8e45_6V1HI/AAAAAAAF3BM/ZI5LxYNohb0/s1600/unnamed+(20).jpg)
11 years ago
Habarileo08 Jul
Kikwete kuanza ziara Tanga
RAIS Jakaya Kikwete anatarajiwa kuwasili mkoani Tanga leo asubuhi kwa ziara ya kikazi ya siku nne mkoani hapa, itakayoambatana na uzinduzi wa miradi mbalimbali ya maendeleo katika wilaya nne atakazotembelea.
10 years ago
Mwananchi24 Apr
Uandikishaji Lindi, Mtwara, Ruvuma, Iringa, kuanza leo
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-jO4Ror5wgB0/VD2kZ_g2LtI/AAAAAAAGqjc/wWw8_CaFMdU/s72-c/unnamed%2B(29).jpg)
BALOZI SEIF AHITIMISHA ZIARA YAKE YA MKOA WA RUVUMA
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-2DMelIus3Y8/U8emwfkAx8I/AAAAAAAF3AY/1LMmStp0pQU/s72-c/a1.jpg)
JK AELEKEA MKOANI RUVUMA KWA ZIARA YA KIKAZI YA WIKI MOJA
![](http://1.bp.blogspot.com/-2DMelIus3Y8/U8emwfkAx8I/AAAAAAAF3AY/1LMmStp0pQU/s1600/a1.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-B3tEWMWyARg/Vdsz4j9nwDI/AAAAAAAC98Q/4zZ0n216u0s/s72-c/_MG_5839.jpg)
MGOMBEA URAIS DR MAGUFULI KUFANYA ZIARA YA KAMPENI RUVUMA KUANZIA AUGUST 30
![](http://3.bp.blogspot.com/-B3tEWMWyARg/Vdsz4j9nwDI/AAAAAAAC98Q/4zZ0n216u0s/s640/_MG_5839.jpg)
MGOMBEA Urais kupitia chama cha Mapinduzi (CCM) Dr. John Magufuli anatarajiwa kupokelewa na mamia ya wananchi wakiwemo wanachama wa chama cha mapinduzi katika kijiji cha Igawisenga wilayani Songea mkoa wa Ruvuma akitokea mkoa wa Njombe tayari kuanza kampeni mkoani humo.Akizungumza na waandishi wa habari jana kwenye ofisi za chama cha mapinduuzi mkoani Ruvuma Mwenyekiti wa kamati ya maandilizi ya kampeni mkoani Ruvuma ya mgombea uraisi wa jamhuri ya mungano wa Tanzania...