Uandikishaji Lindi, Mtwara, Ruvuma, Iringa, kuanza leo
Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imepeleka mashine 36 za teknolojia ya Biometric Voters Registration (BVR) katika Manispaa ya Mtwara (Mikindani) kukamilisha uandikishaji wa wapigakura katika daftari la kudumu.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-s_a3Y0K4ZE0/VWBDLnEdYZI/AAAAAAABPPA/67tXVwOx1Ag/s72-c/140131072218_tanzania_elections_512x288_afp.jpg)
10 years ago
Mwananchi25 Apr
Uandikishaji wasuasua Mtwara, Iringa, Ruvuma
10 years ago
Mwananchi03 Dec
Mtwara, Lindi, Ruvuma kuingia digitali mwakani
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-WeP-DtNmfh0/Vd9YeVEa-LI/AAAAAAAH0es/dus_6AqaykQ/s72-c/unnamed%2B%252818%2529.jpg)
mpango wa kugawia wanafunzi vyandarua bure waanza mikoa la lindi, mtwara na ruvuma
![](http://1.bp.blogspot.com/-WeP-DtNmfh0/Vd9YeVEa-LI/AAAAAAAH0es/dus_6AqaykQ/s640/unnamed%2B%252818%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-4FxAqxAJdAk/Vd9YeZw12QI/AAAAAAAH0e0/YqiDZmLe2UQ/s640/unnamed%2B%252819%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-ylaJOeouMkg/Vd9YediM7SI/AAAAAAAH0ew/efIu4oQP8Kg/s640/unnamed%2B%252820%2529.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-QwL3meGMo9I/VGXO-kGJdKI/AAAAAAAAS-s/hVtERESHCmg/s72-c/uh.jpg)
KINANA KUANZA ZIARA LINDI NA MTWARA
![](http://4.bp.blogspot.com/-QwL3meGMo9I/VGXO-kGJdKI/AAAAAAAAS-s/hVtERESHCmg/s1600/uh.jpg)
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi Ndugu Abdulrahman Kinana anatarajia kufanya ziara katika mikoa ya Lindi na Mtwara.
Akiongea na waandishi wa habari katika ukumbi wa Sekretarieti,Lumumba jijini Dar es salaam Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi CCM Taifa Nape Nnauye alisema kuwa Ziara hiyo ni mwendelezo wa ziara za Sekretarieti ya Halmashauri Kuu Taifa...
10 years ago
Dewji Blog14 Nov
Kinana kuanza ziara ya mikoa ya Mtwara na Lindi
Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi CCM Taifa Nape Nnauye akizungumza na waandishi wa habari kwenye ukumbi wa Sekretarieti,CCM Ofisi ndogo Lumumba.
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi Ndugu Abdulrahman Kinana anatarajia kufanya ziara katika mikoa ya Lindi na Mtwara.
Akiongea na waandishi wa habari katika ukumbi wa Sekretarieti,Lumumba jijini Dar es salaam Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi CCM Taifa Nape Nnauye alisema kuwa Ziara hiyo ni mwendelezo wa ziara za Sekretarieti ya Halmashauri Kuu Taifa...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-kc0Mtq8EDEw/VGYegpmgmfI/AAAAAAAGxOY/pPN6Tdk5qyA/s72-c/unnamed%2B(37).jpg)
KINANA KUANZA ZIARA YA SIKU 16 MIKOA YA LINDI NA MTWARA, KESHO NOV 15
![](http://1.bp.blogspot.com/-kc0Mtq8EDEw/VGYegpmgmfI/AAAAAAAGxOY/pPN6Tdk5qyA/s1600/unnamed%2B(37).jpg)
Ziara hii ya Katibu Mkuu Ndugu Abdulrahaman Kinana ni muendelezo wa...
11 years ago
MichuziKongamano la Viongozi wa Dini Mkoa wa Lindi na Mtwara laanza hii leo
9 years ago
Dewji Blog19 Dec
Naibu Waziri Dkt. Kigwangalla afanya ziara ya kushtukiza leo katika hospitali za rufaa mikoa ya Lindi na Mtwara
Kaimu Muuguzi Mkuu wa Hospitali ya Sokoine ya Mkoa wa Lindi, Damasiana Msalla akimuongoza Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Watoto na Wazee, Dkt. Hamisi Kigwangalla kuelekea kwenye wodi za hospitali wakati wa ziara ya kushtukiza aliyofanya mkoa wa Lindi.(Picha zote na Zainul Mzige wa Modewjiblog)
Mganga Mfawidhi wa Hospitali ya Sokoine ya Mkoa wa Lindi, Dkt. Evaristo Kasanga akimkaribisha Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Watoto na Wazee, Dkt. Hamisi...