Mtwara, Lindi, Ruvuma kuingia digitali mwakani
Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imesema mikoa yote ya Tanzania itakuwa imeunganishwa kwenye mfumo wa dijitali ifikapo Machi mwakani.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo19 Jan
LINDI NA MTWARA HATARINI KUINGIA GIZANI
Mikoa ya mtwara na lindi iko hatarini kuingia gizani kutokana na kiwanda kilichopo msimbati kinachotumika kuchakata gesi inayotumika kufua umeme katika mikoa hiyo sehemu ya ardhi yake mita miamoja na sita, kumezwa na maji ya bahari na kubakia mita 25 kufika eneo la kiwanda.Akizungumza na vyombo vya habari katika eneo la tukio naibu waziri nishati na madini mheshimiwa CHARLES KITWANGA amesema tukio hilo limetokana na mvua kubwa zinazoendelea kunyesha katika nchi za malawi na msubiji na hivyo...
10 years ago
Mwananchi24 Apr
Uandikishaji Lindi, Mtwara, Ruvuma, Iringa, kuanza leo
Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imepeleka mashine 36 za teknolojia ya Biometric Voters Registration (BVR) katika Manispaa ya Mtwara (Mikindani) kukamilisha uandikishaji wa wapigakura katika daftari la kudumu.
9 years ago
Michuzimpango wa kugawia wanafunzi vyandarua bure waanza mikoa la lindi, mtwara na ruvuma
Baadhi ya wanafunzi waliopata vyandarua katika programu ya Rais ya uhamasishaji wa matumizi ya vyandarua kuzuia malaria kwa wananchi, ikiwa ni pamoja na ugawaji wa vyandarua bure kupitia mashuleni imeanzia katika mikoa ya Lindi , Mtwara na Ruvuma mwezi huu. Waalimu wakijiandaa kugawa vyandarua katika shule mkoani LindiWanafunzi wakichukua vyandarua kwa zamuWanafunzi wakifurahi kwa kupatiwa vyandarua vya bure
10 years ago
Vijimambo10 years ago
Tanzania Daima20 Nov
Ukarabati Bandari ya Lindi mwakani
SERIKALI imesema kazi ya ukarabati wa Bandari ya Lindi ambayo inakabiliwa na tatizo la kujaa mchanga, unatarajiwa kuanza Januari 2015 na kukamilika Desemba 2015. Naibu Waziri wa Uchukuzi, Dk. Charles...
11 years ago
MichuziWakazi wa Mtwara na Lindi kushuhudia fursa za Utalii na Uchumi kupitia Tamasha la Utamaduni la Mtwara,Waziri mkuu pinda kuwa mgeni rasmi.
Waziri Mkuu Mizengo Pinda.
Tamasha la Mkoa wa Mtwara, ‘Mtwara Festival’, linatarajia kufungua milango ya fursa kwa wakazi wa mikoa ya Mtwara na Lindi katika kuziona fursa kadhaa kwenye sekta ya Utalii na Uchumi.Tamasha hilo linatarajiwa kufanyika kwa siku mbili kuanzia mwezi Agosti 16 na 17 mwaka huu kwenye uwanja wa Nangwanda Sijaona ulipo Mtwara mjini. Mgeni rasmi katika Tamasha hilo anatarajiwa kuwa Waziri Mkuu, Mizengo Pinda huku likiwa na kauli mbiu isemayo ‘Fursa Zimefunguka,...
10 years ago
Mwananchi25 Apr
Uandikishaji wasuasua Mtwara, Iringa, Ruvuma
Uandikishaji wa wananchi katika Daftari la Kudumu la Wapigakura uliotangazwa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi (Nec) katika mikoa ya Iringa, Mtwara na Ruvuma umeanza kwa kusuasua huku ukikwama katika mikoa miwili.
10 years ago
Mwananchi10 Jan
Ruvuma nayo kuunganishwa kwa reli ya Mtwara Corridor
Waziri wa Uchukuzi, Dk Harrison Mwakyembe amesema kuwa Mkoa wa Ruvuma ni miongoni mwa mikoa itakayonufaika na mradi wa ujenzi wa reli ya Mtwara Corridor utakaoanza mwakani na utakamilika mwaka 2018.
11 years ago
MichuziMIRADI MIKUBWA YA BARABARA KATIKA MIKOA YA RUVUMA NA MTWARA KUSAINIWA KESHO
Waziri wa Ujenzi, Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli kesho atakuwa Mgeni Rasmi katika hafla ya utiaji saini mikataba ya ujenzi wa barabara itakayotekelezwa katika mikoa ya Ruvuma na Mtwara.
Miradi hiyo itahusisha ujenzi wa barabara kwa kiwango cha lami kati ya Namtumbo na Tunduru ambayo imegawanywa katika sehemi tatu ambazo ni Namtumbo – Kilimasera (km 68.20), Kilimasera – Matemanga (km 58.70) na Matemanga-Tunduru (km 60.70).
Tayari Benki ya Maendeleo ya Afrika (ADB) ambayo inayofadhili...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania