Ruvuma nayo kuunganishwa kwa reli ya Mtwara Corridor
Waziri wa Uchukuzi, Dk Harrison Mwakyembe amesema kuwa Mkoa wa Ruvuma ni miongoni mwa mikoa itakayonufaika na mradi wa ujenzi wa reli ya Mtwara Corridor utakaoanza mwakani na utakamilika mwaka 2018.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog02 Sep
Dk Magufuli akishinda Urais aahidi Serikali kujenga reli kutoka Mtwara hadii Mbamba Bay Ruvuma, kupunguza bei ya vifaa vya ujenzi
Wananchi wakishangilia wakati wa mkutano wa kampeni wa CCM kumnadi mgombea urais Dk John Magufuli wilayani Masasi jana. Dk Magufuli amesema kuwa CCM ikishinda Serikali itajenga Reli kuanzia Mtwara hadi Mbamba Bay Ruvuma.
Mgombea urais wa Tanzania kupitia CCM, Dk John Magufuli akijinadi katika mkutano wa kampeni mjini Masasi, mkoani Mtwara jana.
Mfuasi wa CCM akiwa amejichora usoni huku kidevuni akiwa aqmeandika jina la Mgombea Urais wa Tanzania kuptia CCM, Dk Magufuli.
Wananchi...
9 years ago
VijimamboDK MAGUFULI AKISHINDA URAIS AAHIDI SERIKALI KUJENGA RELI KUTOKA MTWARA HADI MBAMBA BAY RUVUMA, KUPUNGUZA BEI YA VIFAA VYA UJENZI
5 years ago
MichuziMIAKA MITANO YA KAZI NA KUKAMILIKA KWA UKANDA WA UCHUMI WA MTWARA CORRIDOR
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-4LhompkmrQY/Xu8pCx6e8kI/AAAAAAALuzw/Vzxt0kFCBLQKs7aTB97f03cncgvnip4uwCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-21%2Bat%2B11.43.04%2BAM.jpeg)
MKOA WA MOROGORO KUUNGANISHWA NA MKOA WA NJOMBE NA RUVUMA KWA BARABARA ZA LAMI
NAIBU Waziri wa Ujenzi Elias Kwandikwa, amesema sasa Serikali iko katika hatua za kuunganisha mkoa wa Morogoro na mikoa jirani ya Njombe na Ruvuma kwa barabara ya lami ili kufungua mikoa hiyo yenye uzalishaji mwingi wa mazao, misitu na chakula.
Amezungumza hayo akiwa katika eneo la Kisegesa iliyopo katika Halmashauri ya Mlimba, Wilaya ya Kilombero, mkoani Morogoro baada ya kukagua eneo lililokarabatiwa na Wakala wa Barabara (TANROADS), ambalo lilipata athari kubwa za mvua...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/VKfK12aD*TXpH1MiWBVN6vaAsDK9RMB6DfVrL9qM*if2kYNZKVtpADLOqHl4k4i64d6vu6DmKWdgOUIenL7cc-gs-Iqchelp/MTWARA....jpg?width=650)
HII NAYO KALI KUTOKA MTWARA: ETI WAZUNGU WAFANYIWA TAMBIKO!
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-s_a3Y0K4ZE0/VWBDLnEdYZI/AAAAAAABPPA/67tXVwOx1Ag/s72-c/140131072218_tanzania_elections_512x288_afp.jpg)
10 years ago
Mwananchi25 Apr
Uandikishaji wasuasua Mtwara, Iringa, Ruvuma
10 years ago
Vijimambo25 Jan
HII NAYO KALI KUTOKA MTWARA: ETI WAZUNGU WAFANYIWA TAMBIKO BAADA YA MITAMBO KUGOMA KUFANYA KAZI
![](http://api.ning.com/files/VKfK12aD*TXpH1MiWBVN6vaAsDK9RMB6DfVrL9qM*if2kYNZKVtpADLOqHl4k4i64d6vu6DmKWdgOUIenL7cc-gs-Iqchelp/MTWARA....jpg?width=650)
![](http://api.ning.com/files/VKfK12aD*TXSxGDGSDlRTKMkiQlLQ*od7zcn2aAK4epgi*34r6AgVn1J4MJDUl1U6J8gUgEuIKzg7zsdzZMruSFxP2ese2Gc/TAMBIKO.jpg?width=650)
![](http://api.ning.com/files/VKfK12aD*TUYN1h-74iQDgOsv6foSifL0-v56nHKwO18MY0ATU-luw7nE5qZyZj3YiWiCcyOFS9UtSAJdleLEPqaui7RKMOx/TAMBIKO2.jpg?width=650)
Za kitaa kutoka Mtwara zinadai kuwa bibi mmoja aliyeitisha Serikali kuwa ikifanya mchezo na haki za watu wa mkoa huo atabadili gesi kuwa maji, amewapigia tambiko Wafaransa wazungu wa Kampuni ya uchimbaji wa visima vya...
10 years ago
Mwananchi03 Dec
Mtwara, Lindi, Ruvuma kuingia digitali mwakani