Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


HII NAYO KALI KUTOKA MTWARA: ETI WAZUNGU WAFANYIWA TAMBIKO!

Bosi wa kampuni ya mafuta ya Maurel et Prom (T) Ltd akinywa dawa ya tambiko Bosi wa kampuni ya mafuta ya Maurel et Prom (T) Ltd akipakwa dawa ya tambiko kwenye kipaji cha uso…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

HII NAYO KALI KUTOKA MTWARA: ETI WAZUNGU WAFANYIWA TAMBIKO BAADA YA MITAMBO KUGOMA KUFANYA KAZI

Bosi wa kampuni ya mafuta ya Maurel et Prom (T) Ltdakinywa dawa ya tambikoBosi wa kampuni ya mafuta ya Maurel et Prom (T) Ltdakipakwa dawa ya tambiko kwenye kipaji cha uso…Mabosi na wafanyakazi wa kampuni hiyo wakiwa katika tambiko hilo linalodaiwa kufanyika mapema wiki hii.
Za kitaa kutoka Mtwara zinadai kuwa bibi mmoja aliyeitisha Serikali kuwa ikifanya mchezo na haki za watu wa mkoa huo atabadili gesi kuwa maji, amewapigia tambiko Wafaransa wazungu wa Kampuni ya uchimbaji wa visima vya...

 

10 years ago

Mwananchi

Ruvuma nayo kuunganishwa kwa reli ya Mtwara Corridor

Waziri wa Uchukuzi, Dk Harrison Mwakyembe amesema kuwa Mkoa wa Ruvuma ni miongoni mwa mikoa itakayonufaika na mradi wa ujenzi wa reli ya Mtwara Corridor utakaoanza mwakani na utakamilika mwaka 2018.

 

10 years ago

Mwananchi

Hii nayo ni sanaa ya kimataifa

Utamaduni wa Mtanzania, katika sekta ya burudani, unaweza ukapotea kama waongeaji tusipotumia majukwaa yetu ya kuongelea na kuliongelea hili angalau kwa uchache.

 

10 years ago

Michuzi

ETI HII IMEKAAJE??

Salaam Ankal na Timu nzima ya Globu ya Jamii
Nawasilisha picha mbili zilizopigwa kutoka Mazengo Street, Upanga (Chibuku, Faya),maana naona hawa Jamaa wa RAPID wanatupotosha na tukikosea trafiki wanatupiga faini. Tufanyeje?kwa mfano,picha hii inaonyesha hakuna kuingia Morogoro Road Kuelekea Ubungo.Alama ya Barabarani inaelekeza magari yote yanayotoka Mazengo kwanza lazima yanyooshe kwenda Barabara ya Msimbazi na baadae kuingia Morogoro Road kufuata mshale inavyo onyesha hapo pichani,wakati...

 

9 years ago

Dewji Blog

Pistorius akutwa na hatia, hii ndiyo adhabu anayoweza kutana nayo

Oscar-Pistorius-1

Na Rabi Hume, Modewjiblog

Mwanariadha wa Afrika Kusini aliye kifungoni kwa kesi ya kumuua aliyekuwa mpenzi wake, Oscar Pistorius (pichani) amekutwa na hatia ya kuumua mpenzi wake wa zamani Reeva Steenkamp siku ya Valentine 2013.

Pistorius ambaye alikuwa katika kifungo cha nje chini ya uangalizi maalum, alifanya tukio la mauaji siku ya Valentine akiwa bafuni na ndipo alipokuja mpenzi wake na bila kuangalia ni nani Pistorius alipiga risasi na kupelekea kifo cha mwanamke huyo.

Katika kesi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani