Pistorius akutwa na hatia, hii ndiyo adhabu anayoweza kutana nayo
Na Rabi Hume, Modewjiblog
Mwanariadha wa Afrika Kusini aliye kifungoni kwa kesi ya kumuua aliyekuwa mpenzi wake, Oscar Pistorius (pichani) amekutwa na hatia ya kuumua mpenzi wake wa zamani Reeva Steenkamp siku ya Valentine 2013.
Pistorius ambaye alikuwa katika kifungo cha nje chini ya uangalizi maalum, alifanya tukio la mauaji siku ya Valentine akiwa bafuni na ndipo alipokuja mpenzi wake na bila kuangalia ni nani Pistorius alipiga risasi na kupelekea kifo cha mwanamke huyo.
Katika kesi...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili09 Apr
Dzhokhar Tsarnaev akutwa na hatia
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-dV1tnoxKrQQ/VaSWIF1dmKI/AAAAAAAAxrs/hJQjTvEPGQ0/s72-c/ema%2Bmbasha.jpg)
KAUMBUKA! MUME wa FLORA MBASHA Akutwa na Hatia ya Kesi ya Ubakaji wa Shemeji Yake!
![](http://3.bp.blogspot.com/-dV1tnoxKrQQ/VaSWIF1dmKI/AAAAAAAAxrs/hJQjTvEPGQ0/s640/ema%2Bmbasha.jpg)
MAHAKAMA ya Wilaya ya Ilala imesema mfanyabiashara na muimbaji wa muziki wa injili Emmanuel Mbasha ana kesi ya kujibu katika shtaka linalomkabili la ubakaji linalomkabili.Katika shtaka hilo Mbasha anadaiwa kumbaka binti mwenye umri wa miaka 17 (jina linahifadhiwa) ambaye ni shemeji yake.Mbele ya Hakimu Flora Mjaya, mwendesha Mashtaka Munde Kalombola alidai mahakama imemkuta Mbasha na hatia baada ya kupitia ushahidi wa pande zote mbili.Mbasha ambaye ni mume wa muimbaji maarufu wa muziki wa...
10 years ago
Mwananchi12 Sep
Pistorius apatikana na hatia ya mauaji
10 years ago
BBCSwahili12 Sep
Jaji ampata na hatia Oscar Pistorius
10 years ago
Vijimambo21 Oct
Pistorius apatikana na hatia, afungwa jela miaka 5
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/625/amz/worldservice/live/assets/images/2014/10/17/141017112755_oscar_pistorius_512x288_reuters.jpg)
Mwanariadha wa Afrika Kusini Oscar Pistorius amehukumiwa jela miaka 5 baada ya kupatikana na hatia ya kumuua mpenziwe Reeva Steenkamp.
Hii ni baada ya mwanariadha huyo mlemavu kupatikana na hatia ya kumuua mpenziwe Reeva Steenkamp mwaka uliopita.
Jaji anayetoa hukumu hiyo,Thokozile Masipa,alianza kutoa kauli yake ya mwisho kabla ya kutoa hukumu saa mbili na nusu asubuhi na akasema ni changamoto kubwa kwake kupata adhabu ambayo...
9 years ago
Bongo503 Dec
Oscar Pistorius apatikana na hatia ya kumuua mpenzi wake
![1161338_965574](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/1161338_965574-300x194.jpg)
Mahakama ya rufaa ya nchini Afrika Kusini, Alhamis hii imempata Oscar Pistorius na hatia ya kumuua mpenzi wake Reeva Steenkamp.
Jaji Eric Leach alitangaza kuwa rufaa ya serikali kwenye kesi ya Pistorius imefanikiwa. Jaji huyo ameirudisha kesi hiyo kwenye mahakama ya chini ili itoe hukumu mpya.
Pistorius, 29, alimpiga risasi girlfriend wake aliyekuwa na miaka 29 nyumbani Pretoria, February 14, 2013. Alidai kuwa alimpiga akidhania ni jambazi aliyevamia nyumbani kwake.
Baada ya uamuzi huo,...
10 years ago
Mwananchi13 Sep
Hii nayo ni sanaa ya kimataifa
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-Ot-zTVQwYNM/VRd4kgTsLiI/AAAAAAADd58/uk-P3sNRuTs/s72-c/49ab84e66ca4c1f3da558e1faa066a1d.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-Bc8y1SjMhcQ/VVEc4KEJFvI/AAAAAAADmtA/skPA_-iEQ3Y/s72-c/11255786_10206667190668321_4069840413929546228_n.jpg)