Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Pistorius akutwa na hatia, hii ndiyo adhabu anayoweza kutana nayo

Oscar-Pistorius-1

Na Rabi Hume, Modewjiblog

Mwanariadha wa Afrika Kusini aliye kifungoni kwa kesi ya kumuua aliyekuwa mpenzi wake, Oscar Pistorius (pichani) amekutwa na hatia ya kuumua mpenzi wake wa zamani Reeva Steenkamp siku ya Valentine 2013.

Pistorius ambaye alikuwa katika kifungo cha nje chini ya uangalizi maalum, alifanya tukio la mauaji siku ya Valentine akiwa bafuni na ndipo alipokuja mpenzi wake na bila kuangalia ni nani Pistorius alipiga risasi na kupelekea kifo cha mwanamke huyo.

Katika kesi...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Dzhokhar Tsarnaev akutwa na hatia

Dzhokhar Tsarnaev amekutwa na hati ya kutumia silaha katika mkusanyiko wa watu.

 

10 years ago

Vijimambo

KAUMBUKA! MUME wa FLORA MBASHA Akutwa na Hatia ya Kesi ya Ubakaji wa Shemeji Yake!


MAHAKAMA ya Wilaya ya Ilala imesema mfanyabiashara na muimbaji wa muziki wa injili Emmanuel Mbasha ana kesi ya kujibu katika shtaka linalomkabili la ubakaji linalomkabili.Katika shtaka hilo Mbasha anadaiwa kumbaka binti mwenye umri wa miaka 17 (jina linahifadhiwa) ambaye ni shemeji yake.Mbele ya Hakimu Flora Mjaya, mwendesha Mashtaka Munde Kalombola alidai mahakama imemkuta Mbasha na hatia baada ya kupitia ushahidi wa pande zote mbili.Mbasha ambaye ni mume wa muimbaji maarufu wa muziki wa...

 

10 years ago

Mwananchi

Pistorius apatikana na hatia ya mauaji

Mwanariadha mlemavu wa Afrika Kusini Oscar Pistorius, amepatikana na hatia ya kumuua mpenzi wake Reeva Steenkamp kwa bahati mbaya.

 

10 years ago

BBCSwahili

Jaji ampata na hatia Oscar Pistorius

Mwanariadha mlemavu wa Afrika Kusini Oscar Pistorius, amepatikana na hatia ya kumuua mpenziwe Reeva Steenkamp pasi na kukusudia.

 

10 years ago

Vijimambo

Pistorius apatikana na hatia, afungwa jela miaka 5

Pistorius alipatikana na hatia ya kumuua mpenzi wake bila kukusudia
Mwanariadha wa Afrika Kusini Oscar Pistorius amehukumiwa jela miaka 5 baada ya kupatikana na hatia ya kumuua mpenziwe Reeva Steenkamp.

Hii ni baada ya mwanariadha huyo mlemavu kupatikana na hatia ya kumuua mpenziwe Reeva Steenkamp mwaka uliopita.

Jaji anayetoa hukumu hiyo,Thokozile Masipa,alianza kutoa kauli yake ya mwisho kabla ya kutoa hukumu saa mbili na nusu asubuhi na akasema ni changamoto kubwa kwake kupata adhabu ambayo...

 

9 years ago

Bongo5

Oscar Pistorius apatikana na hatia ya kumuua mpenzi wake

1161338_965574

Mahakama ya rufaa ya nchini Afrika Kusini, Alhamis hii imempata Oscar Pistorius na hatia ya kumuua mpenzi wake Reeva Steenkamp.

1161338_965574

Jaji Eric Leach alitangaza kuwa rufaa ya serikali kwenye kesi ya Pistorius imefanikiwa. Jaji huyo ameirudisha kesi hiyo kwenye mahakama ya chini ili itoe hukumu mpya.

Pistorius, 29, alimpiga risasi girlfriend wake aliyekuwa na miaka 29 nyumbani Pretoria, February 14, 2013. Alidai kuwa alimpiga akidhania ni jambazi aliyevamia nyumbani kwake.

Baada ya uamuzi huo,...

 

10 years ago

Mwananchi

Hii nayo ni sanaa ya kimataifa

Utamaduni wa Mtanzania, katika sekta ya burudani, unaweza ukapotea kama waongeaji tusipotumia majukwaa yetu ya kuongelea na kuliongelea hili angalau kwa uchache.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani