MKOA WA MOROGORO KUUNGANISHWA NA MKOA WA NJOMBE NA RUVUMA KWA BARABARA ZA LAMI
![](https://1.bp.blogspot.com/-4LhompkmrQY/Xu8pCx6e8kI/AAAAAAALuzw/Vzxt0kFCBLQKs7aTB97f03cncgvnip4uwCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-21%2Bat%2B11.43.04%2BAM.jpeg)
Na Mwandishi Wetu
NAIBU Waziri wa Ujenzi Elias Kwandikwa, amesema sasa Serikali iko katika hatua za kuunganisha mkoa wa Morogoro na mikoa jirani ya Njombe na Ruvuma kwa barabara ya lami ili kufungua mikoa hiyo yenye uzalishaji mwingi wa mazao, misitu na chakula.
Amezungumza hayo akiwa katika eneo la Kisegesa iliyopo katika Halmashauri ya Mlimba, Wilaya ya Kilombero, mkoani Morogoro baada ya kukagua eneo lililokarabatiwa na Wakala wa Barabara (TANROADS), ambalo lilipata athari kubwa za mvua...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
MichuziDkt. Magufuli asema Wilaya ya Nyasa - Mbinga kuunganishwa kwa kwa Barabara ya Lami
Dkt. Magufuli aliyasema hayo jana alipokuwa anahutubia mamia ya Wakazi wa Nyasa kwenye Mkutano wa hadhara uliofanyika kwenye uwanja wa mpira wa miguu Mbamba bay, mara baada ya Mheshimiwa Rais Jakaya Kiwete kufungua Madaraja pacha ya Ruhekei A, B na C yaliyogharimu kiasi cha Tsh....
10 years ago
Vijimambo20 Jun
MWIGULU NCHEMBA ADHAMINIWA MKOA WA NJOMBE,RUVUMA NA IRINGA,WANACCM WAENDELEA KUONESHA IMANI NAYE
![](https://scontent-ams2-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xfp1/v/t1.0-9/10154488_393433750858859_1819128764566284821_n.jpg?oh=4eaef34ca377728f3c95cdf42ad5d5f4&oe=55E7B28A)
![](https://scontent-ams2-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xfp1/v/t1.0-9/10392466_393434047525496_2176990702918682452_n.jpg?oh=65836cc0b12952defe7cfa0f7f29cd28&oe=56234584)
![](https://fbcdn-sphotos-c-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xpa1/v/t1.0-9/10494595_393433774192190_3210889557090001643_n.jpg?oh=35f34d65058ca79775f067ca557a2ba5&oe=562C3F3D&__gda__=1445740677_fab1e291b8a415e599d69bca8e8b227e)
![](https://scontent-cdg2-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xpf1/v/t1.0-9/67295_393433654192202_3850292501056272046_n.jpg?oh=ec129fe8283e80a8ff43e41d7a66d1ed&oe=5625894E)
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-S4FNTAwxH6w/U8Wa_ZjCgCI/AAAAAAAF2kk/vg7Zv_T7HpU/s72-c/unnamed+(7).jpg)
DKT.MAGUFULI AIBUKIA MKOA WA NJOMBE, ASISITIZA BARABARA ZA KWENDA LIGANGA ZIKAMILIKE NDANI YA MUDA ULIOPANGWA
11 years ago
MichuziMkuu wa Mkoa wa Mkoa wa Dar atembelea eneo la mafuriko mkoani morogoro
![](http://1.bp.blogspot.com/-aQiUAz97tKU/Uu6GSSVh4KI/AAAAAAAFKZc/OEVt4B_vw2o/s1600/Pic+three+mafuriko.jpg)
11 years ago
MichuziNEWS ALERT: WAKULIMA WA MELELA, MOROGORO WAFUNGA BARABARA KUSHINIKISHA KUKUTANA NA MKUU WA MKOA WAO
Wakulima hao ambao wanalima katika Mashamba yaliopo eneo la Mkangazi,Wilayani Mvomero,walilazimika kufunga barabara hiyo ili iwe shinikizo la kufika kwa Mkuu huyo wa Mkoa na kuwasikiliza ikiwezekana kutatua kabisa tatizo lao.
Wakulima hao...
11 years ago
Michuzi12 Apr
MAADHIMISHO YA WIKI YA ELIMU MKOA WA NJOMBE YAFANA, MKUU WA MKOA ATILIA MKAZO SUALA LA ELIMU
10 years ago
Michuzi09 Mar
RATIBA YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA KWA MKOA WA NJOMBE
TANGAZO UBORESHAJI- NJOMBE
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Ct4BimYh7MiX7rpWSExbZbWYeF0yPQ8rvPtyAoCfcK1BOqcjDBRR56mUz9stiptrSNrh8yXNApocotm6bOrdjUY81YDeAsyt/SIKUYAUKIMWI.jpg?width=650)
SIKU YA UKIMWI DUNIANI; MKOA WA NJOMBE BADO UNAONGOZA KWA MAAMBUKIZI