Mkuu wa Mkoa wa Mkoa wa Dar atembelea eneo la mafuriko mkoani morogoro
Mkuu wa Mkoa wa Mkoa wa Dar es Salaam, Meck Sadiq akimshukuru mmoja wa wafanyabiashara wa Mkoa wa Dar es Salaam Rumin Shar kutoka kampuni ya Pan Africa Enterprises Ltd baada ya Kampuni yao kutoa magodoro 200 aina ya Comfy kwa ajiri ya ya waathirika wa mafuriko yaliyotokea wiki iliyopita eneo la Dakawa mkoani humo na kusababisha kifo cha mtu mmoja na kuwaacha mamia bila makazi.
Mkuu wa Mkoa wa Morogoro akimweleza kwa kina hali ilivyokuwa baada ya kutokea kwa mafuriko Mkuu wa Mkoa wa Dar...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
VijimamboKAIMU MKUU WA MKOA WA MOROGORO AFUNGUA RASMI BARAZA YA WAFANYAKAZI WA MAMLAKA YA HALI YA HEWA NCHINI MKOANI MOROGORO
11 years ago
MichuziWAZIRI MKUU PINDA ASHIRIKI MAZISHI MKUU WA MKOA WA MARA,MAREHEMU JOHN TUPA MKOANI MOROGORO
10 years ago
MichuziMKUU WA MKOA WA DODMA ATEMBELEA TAASISI ZA DINI MKOANI HAPO
11 years ago
MichuziMAKAMU WA RAIS DKT BILAL AONGOZA MAZISHI YA MKUU WA MKOA WA MARA,MAREHEMU JOHN GABRIEL LEO MKOANI MOROGORO
11 years ago
Dewji Blog14 Apr
Jk atembelea maeneo yaliyokumbwa na mafuriko Mkoa wa Pwani
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akimjulia hali mmoja wa baadhi ya abiria waliokwama baada ya barabara ya Chalinze-Dar es Salaam kuharibiwa vibaya na mafuriko.
Rais akisalimiana na kuzungumza na wanafunzi na mtoto aliyemfuata na kumsalimia.
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete,Mke wa Rais Mama Salma Kikwete, Mkuu wa Mkoa wa Pwani Mwantumu Mahiza na Mbunge wa Chalinze Ridhiwani Kikwete wakikagua athari za mafuriko maeneo ya Ruvu Darajani na Visiga.
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiwa pamoja...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-74pLGTErQ0E/U0q1ZUdZTYI/AAAAAAAFafk/hRCaUjXaw1s/s72-c/unnamed+(17).jpg)
JK atembelea maeneo yaliyokumbwa na mafuriko Mkoa wa Pwan
![](http://4.bp.blogspot.com/-74pLGTErQ0E/U0q1ZUdZTYI/AAAAAAAFafk/hRCaUjXaw1s/s1600/unnamed+(17).jpg)
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akimjulia hali mmoja wa baadhi ya abiria waliokwama baada ya barabara ya Chalinze-Dar es Salaam kuharibiwa vibaya na mafuriko
![](http://1.bp.blogspot.com/-h_VjEA1FBks/U0q2LL6ptnI/AAAAAAAFafw/g2iYsLoyCOg/s1600/unnamed+(20).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-3KIsWqGIj7c/U0q2LHh4biI/AAAAAAAFaf4/Zlvoom6X3zg/s1600/unnamed+(22).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-i9XMGtOkvig/U0q2LGSdowI/AAAAAAAFaf0/RP3fKD7p3VM/s1600/unnamed+(23).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-Ek-_-UrTNNs/U0q1ZcBI7TI/AAAAAAAFafY/4ofgRElLQVM/s1600/unnamed+(18).jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-xgHRVfAY0gA/U-Gt7flVuiI/AAAAAAAF9cs/x7bAmViW4CM/s72-c/image_1.jpeg)
MKUU WA MKOA WA MTWARA ATEMBELEA BANDA LA JESHI LA MAGEREZA MAONESHO YA NANE NANE KITAIFA, MKOANI LINDI
![](http://1.bp.blogspot.com/-xgHRVfAY0gA/U-Gt7flVuiI/AAAAAAAF9cs/x7bAmViW4CM/s1600/image_1.jpeg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-mDrhqtHwDcM/U-Gt7fffeHI/AAAAAAAF9cw/eaYGxQucySI/s1600/image_2.jpeg)