JK atembelea maeneo yaliyokumbwa na mafuriko Mkoa wa Pwan
![](http://4.bp.blogspot.com/-74pLGTErQ0E/U0q1ZUdZTYI/AAAAAAAFafk/hRCaUjXaw1s/s72-c/unnamed+(17).jpg)
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akimjulia hali mmoja wa baadhi ya abiria waliokwama baada ya barabara ya Chalinze-Dar es Salaam kuharibiwa vibaya na mafuriko
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiwa pamoja na Mkewe Mama Salma Kikwete na Mkuu wa Mkoa wa Pwani Mwantumu Mahiza wakikagua athari za mafuriko zilizoharibu vibaya barabara ya Chalinze- Dar es Salaam eneo la Ruvu Darajani leo.Mamia ya abiria walikuwa wamekwama kutokana na mafuriko hayo
i Rais akisalimiana na kuzungumza na wanafunzi...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Dewji Blog14 Apr
Jk atembelea maeneo yaliyokumbwa na mafuriko Mkoa wa Pwani
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akimjulia hali mmoja wa baadhi ya abiria waliokwama baada ya barabara ya Chalinze-Dar es Salaam kuharibiwa vibaya na mafuriko.
Rais akisalimiana na kuzungumza na wanafunzi na mtoto aliyemfuata na kumsalimia.
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete,Mke wa Rais Mama Salma Kikwete, Mkuu wa Mkoa wa Pwani Mwantumu Mahiza na Mbunge wa Chalinze Ridhiwani Kikwete wakikagua athari za mafuriko maeneo ya Ruvu Darajani na Visiga.
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiwa pamoja...
11 years ago
MichuziMkuu wa Mkoa wa Mkoa wa Dar atembelea eneo la mafuriko mkoani morogoro
![](http://1.bp.blogspot.com/-aQiUAz97tKU/Uu6GSSVh4KI/AAAAAAAFKZc/OEVt4B_vw2o/s1600/Pic+three+mafuriko.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-M9SyukZG9V0/VUjm317KevI/AAAAAAAHVkw/oeuOECmjGp4/s72-c/IMG_5755.jpg)
DKT. SHEIN AFANYA ZIARA MAENEO YALIYOKUMBWA NA MAAFA YA MVUA, ZANZIBAR
![](http://4.bp.blogspot.com/-M9SyukZG9V0/VUjm317KevI/AAAAAAAHVkw/oeuOECmjGp4/s1600/IMG_5755.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-HFpivHAGyEU/VUjm6nli7JI/AAAAAAAHVk8/eJx08Q6RLEI/s1600/IMG_5783.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-W5YYGmodFMc/U4DnAc8YLUI/AAAAAAACiBs/AP8dRzJqzxM/s72-c/Dr,+Mwanjelwa+magoti+(1).jpg)
MBUNGE VITI MAALUM MKOA WA MBEYA DKT.MARRY MWANJELWA ATEMBELEA NA KUTOA POLE KWA WAATHIRIKA WA MAFURIKO WILAYANI KYELA
![](http://4.bp.blogspot.com/-W5YYGmodFMc/U4DnAc8YLUI/AAAAAAACiBs/AP8dRzJqzxM/s1600/Dr,+Mwanjelwa+magoti+(1).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-DdQ_-7NWH9A/U4Dm__AuMwI/AAAAAAACiBo/MkWxvfd7gb0/s1600/Dr.+Mwanjelwa+kabidhi.jpg)
10 years ago
StarTV30 Dec
Baadhi ya maeneo Dar yakumbwa na mafuriko.
Na Josephine Mwaiswaga,
Dar Es Salaam.
Watu wawili wamefariki katika meeneo ya Sinza na Mwananyamala jijini Dar es Salaam kufuatia mvua iliyonyesha na kusababisha baadhi ya nyumba kujaa maji yaliyotokana na mafuriko.
Taarifa ya vifo hivyo imethibitishwa na kamanda wa polisi mkoa wa Kipolisi Kinondoni Kinondoni kamishina msaidizi wa Polisi Camilius Wambura.
Maeneo yaliyoathiriwa zaidi na Mvua hiyo ni yale ya Wakazi waliojenga nyumba zao maeneo ya Mabondeni ikiwamo kati kati ya Jiji...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/LzTY94yzCcKUEgowqvPLwE6Z7QKBccSGsCIS6*gDHW6w5rq4o0w2-v977TjDkWKuZkrnlIX85hhcYyFLp-jvQk1h9y3fha0f/IMG20140413WA0004.jpg?width=650)