NEWS ALERT: WAKULIMA WA MELELA, MOROGORO WAFUNGA BARABARA KUSHINIKISHA KUKUTANA NA MKUU WA MKOA WAO
Mabomu ya machozi yametumika kuwatawanya wakulima wa eneo la Melela, Mvomero mkoani Morogoro waliokuwa wamefunga barabara ya Iringa - Morogoro wakimtaka Mkuu wa Mkoa wa Morogoro, Joel Bendera aende kusuluhisha mgogoro uliopo baina yao na wafugaji.
Wakulima hao ambao wanalima katika Mashamba yaliopo eneo la Mkangazi,Wilayani Mvomero,walilazimika kufunga barabara hiyo ili iwe shinikizo la kufika kwa Mkuu huyo wa Mkoa na kuwasikiliza ikiwezekana kutatua kabisa tatizo lao.
Wakulima hao...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-VslycA-Pvyc/VV3JzH6K_oI/AAAAAAAHY10/l667BYZZiQk/s72-c/20150521044030%2Bcopy.jpg)
NEWZ ALERT:WALEMAVU WAFUNGA BARABARA KARUME-ILALA JIJINI DAR LEO.
![](http://2.bp.blogspot.com/-VslycA-Pvyc/VV3JzH6K_oI/AAAAAAAHY10/l667BYZZiQk/s640/20150521044030%2Bcopy.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-C94f82q2Eog/VV3J-KF8uVI/AAAAAAAHY2I/YPTHqTvRkJk/s640/201505210429%2Bcopy.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-ypWJqUKyrQ4/VV3J7kAPijI/AAAAAAAHY18/mPqr8elcGt8/s640/20150521042912%2Bcopy.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-4YexYbBfZrc/VV3J9cMXOgI/AAAAAAAHY2E/LrlwbvFDrNc/s640/20150521044249%2Bcopy.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-4LhompkmrQY/Xu8pCx6e8kI/AAAAAAALuzw/Vzxt0kFCBLQKs7aTB97f03cncgvnip4uwCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-21%2Bat%2B11.43.04%2BAM.jpeg)
MKOA WA MOROGORO KUUNGANISHWA NA MKOA WA NJOMBE NA RUVUMA KWA BARABARA ZA LAMI
NAIBU Waziri wa Ujenzi Elias Kwandikwa, amesema sasa Serikali iko katika hatua za kuunganisha mkoa wa Morogoro na mikoa jirani ya Njombe na Ruvuma kwa barabara ya lami ili kufungua mikoa hiyo yenye uzalishaji mwingi wa mazao, misitu na chakula.
Amezungumza hayo akiwa katika eneo la Kisegesa iliyopo katika Halmashauri ya Mlimba, Wilaya ya Kilombero, mkoani Morogoro baada ya kukagua eneo lililokarabatiwa na Wakala wa Barabara (TANROADS), ambalo lilipata athari kubwa za mvua...
11 years ago
Dewji Blog07 Jul
Breaking News: Wakazi wa Kurasini wafunga barabara kwa muda!
Baadhi ya wakazi wa Mivinjeni Kurasini wakiwa na mabango katikati ya Barabara ya Kilwa, Dar es Salaam hivi sasa, zenye ujumbe wa malalamiko ya kudai kulipwa fidia zao ili kupisha mradi wa ujenzi wa bandari kavu kwenye eneo hilo.
HABARI KAMILI ITAKUJIA HAPO BAADAE KIDOGO..!
Baadhi ya magazri na mabasi yakigeuza yalikotoka.
Gari lililokuwa likielekea kwenye maonyesho ya Sabasaba likizuiwa na wakazi wa eneo hilo.
Mabasi yakizuiwa kupita.
Baadhi ya waanawake wa eneo hilo wakimzuia...
11 years ago
Dewji Blog26 Jul
Mkuu wa Mkoa Morogoro aongoza mamia kumzika Mke wa Mbunge a Jimbo la Morogoro Kusini
Mkuu wa mkoa akimpeleka Mbunge wa Jimbo la Morogoro Kusini Mh Innocent Kalogeris kupokea mwili wa mpendwa mke wake,kulia ni dada wa mbunge huyo.
Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Mh Dr Joel Bendera Leo amewaongoza mamia ya wananchi wa mkoa wa Morogoro kumzika Mke wa Mbunge wa Jimbo la Morogoro Kusini, Mh lnocenti Kalogeris watu mbali mbali wakiwemo wabunge,wakuu wa mikoa wa staafu na watu mashuhuri wamefurika nyumbani kwa mbunge huyo ambaye pia ni mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi Mkoa wa...
11 years ago
MichuziMKUU WA MKOA MOROGORO AONGOZA MAMIA KUMZIKA MKE WA MBUNGE WA JIMBO LA MOROGORO KUSINI
10 years ago
VijimamboKAIMU MKUU WA MKOA WA MOROGORO AFUNGUA RASMI BARAZA YA WAFANYAKAZI WA MAMLAKA YA HALI YA HEWA NCHINI MKOANI MOROGORO
11 years ago
MichuziMkuu wa Mkoa wa Mkoa wa Dar atembelea eneo la mafuriko mkoani morogoro
![](http://1.bp.blogspot.com/-aQiUAz97tKU/Uu6GSSVh4KI/AAAAAAAFKZc/OEVt4B_vw2o/s1600/Pic+three+mafuriko.jpg)
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10