Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MIAKA MITANO YA KAZI NA KUKAMILIKA KWA UKANDA WA UCHUMI WA MTWARA CORRIDOR

 UPANUZI  WA  UJENZI WA  GATI  UNAOENDLEA  KATIKA BANDARI YA MTWARA MITAMBO YA KUCHAKATA GESI YA MADIMBA   MTWARA   UNAOPELEKA UMEME KATIKA MJI WA MTWARA MIKINDANI.  HOSPITALI YA  RUFAA YA KUSINI YA MITEGO  ILIYOPO PEMBEZONI MWA  BAHARI YA HINDI KATIKA LANGO LA  BAHARI LA MTWARA MIKINDANI .
BARABARA ZA LAMI   ZINAZOUNGANISHA  MKOA WA MTWARA  NA MIKOA MINGINE KUKAMILISHA   UKANDA MAALUM WA UCHUMI WA MTWARA...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

MAFANIKIO NA CHANGAMOTO ZA CUF KIPINDI CHA MIAKA MITANO VIWE VITENDEA KAZI KWA UONGOZI MPYA


 Katibu Mkuu wa CUF Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, akiwasilisha taarifa ya chama hicho kwa kipindi cha miaka mitano iliyopita kwenye mkutano mkuu wa chama hicho unaofanyika Ubungo Plaza Dar es Salaam.
 Baadhi ya wajumbe wa mkutano mkuu wa CUF Taifa, wakimsikiliza Katibu Mkuu wa CUF Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, wakati akiwasilisha taarifa ya chama hicho kwa kipindi cha miaka mitano iliyopita kwenye mkutano mkuu wa chama hicho unaofanyika Ubungo Plaza Dar es Salaam.
 Katibu Mkuu wa CUF...

 

10 years ago

Mwananchi

Amina Salum Ally: Nitatumia miaka mitano kujenga uchumi

Kwa mara ya pili Amina Salum Ally, anasimama kuomba kugombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM).

 

10 years ago

Mwananchi

Ruvuma nayo kuunganishwa kwa reli ya Mtwara Corridor

Waziri wa Uchukuzi, Dk Harrison Mwakyembe amesema kuwa Mkoa wa Ruvuma ni miongoni mwa mikoa itakayonufaika na mradi wa ujenzi wa reli ya Mtwara Corridor utakaoanza mwakani na utakamilika mwaka 2018.

 

5 years ago

Michuzi

CCM BAGAMOYO YARIDHISHWA NA KAZI YA UTEKELEZAJI WA ILANI ILIYOFANYWA NA MGALU KIPINDI CHA MIAKA MITANO





****************************
NA MWAMVUA MWINYI, PWANI  CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Bagamoyo Mkoa wa Pwani, kimeelezea kuridhishwa na kazi kubwa inayofanywa na Mbunge wa Viti Maalumu mkoani hapo ,Subira Mgalu.
Kauli hiyo imetolewa na Mwenyekiti wa chama hicho wilayani hapa Alhaj Abdul Sharifu, katika Baraza la Jumuia ya Wanawake (UWT) lililofanyika Msata, ambapo Mgalu na Madiwani wa Viti Maalumu walisoma taarifa za utekelezaji wa kazi zao, katika kipindi cha miaka...

 

9 years ago

Mwananchi

CCM itakumbukwa kwa lipi miaka MITANO iliyopita?

Mnyonge mnyongeni, lakini haki yake mpeni. Ni usemi wa wahenga ambao Chama cha Mapinduzi (CCM) kimeamua kuutumia katika kuandaa ilani yake ya Uchaguzi Mkuu ya 2015-2020.

 

10 years ago

Habarileo

Jela maisha kwa kumbaka mtoto wa miaka mitano

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Wilaya ya Nzega mkoani Tabora imemhukumu kifungo cha maisha Kashindje Shija (50), baada ya kupatikana na kosa la kumbaka mtoto mwenye umri wa miaka mitano.

 

10 years ago

GPL

SAFU MPYA YA UONGOZI WA CHADEMA KWA MIAKA MITANO IJAYO

Mwenyekiti wa Chadema Taifa, Freeman Mbowe (katikati) akiwa na Makamu Mwenyekiti wa chama hicho Bara, Profesa Abdallah Safari (kulia) na Makamu Mwenyekiti Zanzibar, Said Issa Mohamed (kushoto) mara baada ya kuibuka kidedea katika uchaguzi mkuu jana. Mwenyekiti wa Baraza la Wazee, Hashim Juma Issa.…

 

10 years ago

Mwananchi

Andulile Mwakibete: Nilifungwa miaka mitano kwa kuzuia ufisadi

Enzi za utawala wa Mwalimu Nyerere wanasiasa walilenga kuwatumikia wananchi na taifa kwa jumla, lakini hali ilivyo sasa ni tofauti, wanasiasa walio wengi wapo kwa lengo la kusaka masilahi yao na familia zao.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani