Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Amina Salum Ally: Nitatumia miaka mitano kujenga uchumi

Kwa mara ya pili Amina Salum Ally, anasimama kuomba kugombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM).

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

MIAKA MITANO YA KAZI NA KUKAMILIKA KWA UKANDA WA UCHUMI WA MTWARA CORRIDOR

 UPANUZI  WA  UJENZI WA  GATI  UNAOENDLEA  KATIKA BANDARI YA MTWARA MITAMBO YA KUCHAKATA GESI YA MADIMBA   MTWARA   UNAOPELEKA UMEME KATIKA MJI WA MTWARA MIKINDANI.  HOSPITALI YA  RUFAA YA KUSINI YA MITEGO  ILIYOPO PEMBEZONI MWA  BAHARI YA HINDI KATIKA LANGO LA  BAHARI LA MTWARA MIKINDANI .
BARABARA ZA LAMI   ZINAZOUNGANISHA  MKOA WA MTWARA  NA MIKOA MINGINE KUKAMILISHA   UKANDA MAALUM WA UCHUMI WA MTWARA...

 

10 years ago

Mtanzania

Amina Salum Ali

Amina-Salum-AliNa Is-haka Omar, Zanzibar
BALOZI wa Umoja wa Afrika (AU) katika Umoja wa Mataifa (UN), Amina Salum Ali, amesema ana nia ya kuwania nafasi ya uongozi ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) ingawa kwa sasa ni mapema kusema hivyo.
Balozi Amina ambaye amekuwa akitajwa kusaka kiti cha urais katika Uchaguzi Mkuu utakaofanyika baadaye mwaka huu, aliweka msimamo huo wakati akijibu maswali ya waandishi wa habari katika mkutano ulioitishwa na Jumuiya ya Kuhamasisha Maendeleo ya Wanawake Zanzibar (COWPZ)...

 

10 years ago

TheCitizen

Dr Magufuli, Dr Migiro, Amina Salum sail through

Dr John Magufuli, Dr Asha-Rose Migiro and Ms Amina Salum Ali have entered the last round of the CCM nomination race.

 

10 years ago

Vijimambo

Highlighting: Ambassador Amina Salum Ali

Balozi Amina Salum Ali,Washington DC AU Permanent Ambassador To US-Amina Salum Ali
 Over the weekend I had a good discussion with a long time friend of mine, Michael, on a variety of issues. It was one of those discussions that make you think, learn and admire the vision of a good friend. It was a 360 degree conversation that took a "world tour" of ideas, theories, news and of course a bit of hearsay. This friend of mine knows how much I love highlighting my country of birth, Tanzania, its people, culture, traditions and...

 

10 years ago

Mtanzania

Amina Salum Ali ajitosa urais CCM

Amina Salum AliNa Esther Mbussi, Dar es Salaam
MBIO za kuwani urais ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), zimeanza kushika kasi,baada ya mwanasiasa mkongwe Amina Salum Ali kutangaza rasmi kugombea urais katika uchaguzi mkuu unaotarajia kufanyika Oktoba,mwaka huu.
Amina ambaye alikuwa Mwakilishi wa Kudumu wa Umoja wa Afrika (AU), nchini Marekani anakuwa mwana CCM na mwanamke wa kwanza kutangaza azma yake hadharani.
Akizungumza na waandishi wa habari mjini Dar es Salaam jana, Amina alitoa vipaumbele vyake...

 

10 years ago

BBCSwahili

Historia ya Balozi Amina Salum Ali wa CCM

Chama tawala nchini Tanzania CCM kimemteua bi Amina Salum Ali kuwa mgombea mwenza wa daktari John Pombe Magufuli

 

10 years ago

Mwananchi

Amina Salum Ali ampigia chapuo Dk Shein

Balozi Amina Salum Ali amesema Rais wa Zanzibar anayemaliza muda wake, Dk Ali Mohamed Shein bado anastahili kupewa nafasi ya kuongoza Wazanzibari.

 

10 years ago

Vijimambo

BALOZI AMINA SALUM ALI ATANGAZA KUWANIA URAIS


BALOZI wa kudumu wa Umoja wa Afrika (AU), huko Marekani, Mtanzania Amina Salum Ali, (Pichani) akitangazaleo Jumatano Mei 20, 2015, pale kwenye mgahawa wa Hadees jirani na askari monument, kuwania urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwenye uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 25, 2015.
Balozi Amina ametangaza uamuzi wake huo mapema leo hapa hapa jijini Dar es Salaam.Itakumbukwa ya kuwa Balozi Amina ambaye alidumu kwa muda mrefu kama waziri kwenye serikali ya Rais mstaafu wa...

 

9 years ago

Vijimambo

AFRICA UNION WAMUAGA BALOZI AMINA SALUM ALI, WASHINGTON, DC

Blaozi wa Umoja wa Afrika Mhe. Amina Salum Ali akiwahutubia wafanyakazi na wageni waalikwa waliofika kwenye ghafla ya kuagwa kwake iliyofanyika siku ya Jumatatu, Aug 31, 2015 Washington, DC. Diaspora wakipata picha ya kumbukumbu na Balozi Amina Salum Ali. Mhe. Tete Antoni Balozi wa Umoja wa Afrika New York akitoa hotuba yake ya kumuaga Balozi Amina Salum Ali ambaye amemaliza muda wake kama Balozi wa Umoja wa Afrika Washington, DC.Picha ya pamoja
 Baadhi ya wafanyakazi wa Umoja wa Afrika...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani