Amina Salum Ali ampigia chapuo Dk Shein
Balozi Amina Salum Ali amesema Rais wa Zanzibar anayemaliza muda wake, Dk Ali Mohamed Shein bado anastahili kupewa nafasi ya kuongoza Wazanzibari.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-L-Jpe4pN3ro/VIKqj1U-M3I/AAAAAAAG1ic/phlqK1p_RRc/s72-c/unnamed%2B(28).jpg)
DK.SHEIN AKUTANA NA BALOZI WA UMOJA WA AFRIKA NCHINI MAREKANI MHE AMINA SALUM ALI
![](http://3.bp.blogspot.com/-L-Jpe4pN3ro/VIKqj1U-M3I/AAAAAAAG1ic/phlqK1p_RRc/s1600/unnamed%2B(28).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-lTj8M-e1CM0/VIKqkNbP41I/AAAAAAAG1iM/plw1oSka9x0/s1600/unnamed%2B(29).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-vubLkORcrxk/VIKqj_yyD9I/AAAAAAAG1h4/4NNe30cMaPA/s1600/unnamed%2B(30).jpg)
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akifuatana na Balozi wa Umoja wa Afrika...
10 years ago
Mtanzania04 May
Amina Salum Ali
Na Is-haka Omar, Zanzibar
BALOZI wa Umoja wa Afrika (AU) katika Umoja wa Mataifa (UN), Amina Salum Ali, amesema ana nia ya kuwania nafasi ya uongozi ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) ingawa kwa sasa ni mapema kusema hivyo.
Balozi Amina ambaye amekuwa akitajwa kusaka kiti cha urais katika Uchaguzi Mkuu utakaofanyika baadaye mwaka huu, aliweka msimamo huo wakati akijibu maswali ya waandishi wa habari katika mkutano ulioitishwa na Jumuiya ya Kuhamasisha Maendeleo ya Wanawake Zanzibar (COWPZ)...
10 years ago
Vijimambo09 Apr
Highlighting: Ambassador Amina Salum Ali
![Balozi Amina Salum Ali,Washington DC](http://www.bongocelebrity.com/wp-content/uploads/2015/04/Amina-Salum-Ali-1-682x1024.jpg)
Over the weekend I had a good discussion with a long time friend of mine, Michael, on a variety of issues. It was one of those discussions that make you think, learn and admire the vision of a good friend. It was a 360 degree conversation that took a "world tour" of ideas, theories, news and of course a bit of hearsay. This friend of mine knows how much I love highlighting my country of birth, Tanzania, its people, culture, traditions and...
10 years ago
BBCSwahili12 Jul
Historia ya Balozi Amina Salum Ali wa CCM
10 years ago
Mtanzania21 May
Amina Salum Ali ajitosa urais CCM
Na Esther Mbussi, Dar es Salaam
MBIO za kuwani urais ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), zimeanza kushika kasi,baada ya mwanasiasa mkongwe Amina Salum Ali kutangaza rasmi kugombea urais katika uchaguzi mkuu unaotarajia kufanyika Oktoba,mwaka huu.
Amina ambaye alikuwa Mwakilishi wa Kudumu wa Umoja wa Afrika (AU), nchini Marekani anakuwa mwana CCM na mwanamke wa kwanza kutangaza azma yake hadharani.
Akizungumza na waandishi wa habari mjini Dar es Salaam jana, Amina alitoa vipaumbele vyake...
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-uroaeHEvAWw/VVyV2IoPcMI/AAAAAAAAT1I/tcbNUFjpdKU/s72-c/Amina%2BSalum%2BAli.jpg)
BALOZI AMINA SALUM ALI ATANGAZA KUWANIA URAIS
![](http://3.bp.blogspot.com/-uroaeHEvAWw/VVyV2IoPcMI/AAAAAAAAT1I/tcbNUFjpdKU/s640/Amina%2BSalum%2BAli.jpg)
Balozi Amina ametangaza uamuzi wake huo mapema leo hapa hapa jijini Dar es Salaam.Itakumbukwa ya kuwa Balozi Amina ambaye alidumu kwa muda mrefu kama waziri kwenye serikali ya Rais mstaafu wa...
10 years ago
Mwananchi11 Jul
Dk Magufuli,Migiro na Amina Salum Ali watinga tatu bora
10 years ago
GPLMHE. AMINA SALUM ALI AMKARIBISHA ERASTUS J.O. MWENCHA, WASHINGTON DC
9 years ago
VijimamboDIASPORA YA MONTGOMERY COUNTY YAMUAGA BALOZI AMINA SALUM ALI
Bwn. Daniel Korona akisherehesha hafla futi ya kumuaga Balozi wa Umoja wa Afrika aliyemaliza muda wake Mhe. Amina Salum Ali iliyoandaliwa na Jumuiya ya Diaspora kutoka Afrika wanaoishi Montgomery county iliyofanyika siku ya Jumatano Sept 2, 2015 Silver Spring, Maryland.