Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


CCM itakumbukwa kwa lipi miaka MITANO iliyopita?

Mnyonge mnyongeni, lakini haki yake mpeni. Ni usemi wa wahenga ambao Chama cha Mapinduzi (CCM) kimeamua kuutumia katika kuandaa ilani yake ya Uchaguzi Mkuu ya 2015-2020.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

Chikawe: Niliamua kugombea urais miaka mitano iliyopita

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Mathias Chikawe (pichani), ambaye ni mmoja wa wanachama wa CCM waliochukua fomu za kugombea kiti cha urais, amesisitiza kuwa uamuzi wa kugombea nafasi hiyo aliufikia miaka mitano iliyopita na kuwaomba wana-CCM kuwapuuza wale wanaosema hakupanga kuomba nafasi hiyo.
Waziri Chikawe, ambaye amekamilisha kazi ya kusaka wadhamini katika mikoa 15 ya Tanzania Bara na Zanzibar kama taratibu zinavyoelekeza, amesema uamuzi wake wa kugombea nafasi hiyo aliufanya baada ya...

 

5 years ago

Michuzi

CCM BAGAMOYO YARIDHISHWA NA KAZI YA UTEKELEZAJI WA ILANI ILIYOFANYWA NA MGALU KIPINDI CHA MIAKA MITANO





****************************
NA MWAMVUA MWINYI, PWANI  CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Bagamoyo Mkoa wa Pwani, kimeelezea kuridhishwa na kazi kubwa inayofanywa na Mbunge wa Viti Maalumu mkoani hapo ,Subira Mgalu.
Kauli hiyo imetolewa na Mwenyekiti wa chama hicho wilayani hapa Alhaj Abdul Sharifu, katika Baraza la Jumuia ya Wanawake (UWT) lililofanyika Msata, ambapo Mgalu na Madiwani wa Viti Maalumu walisoma taarifa za utekelezaji wa kazi zao, katika kipindi cha miaka...

 

10 years ago

Habarileo

Jela maisha kwa kumbaka mtoto wa miaka mitano

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Wilaya ya Nzega mkoani Tabora imemhukumu kifungo cha maisha Kashindje Shija (50), baada ya kupatikana na kosa la kumbaka mtoto mwenye umri wa miaka mitano.

 

10 years ago

Mwananchi

Andulile Mwakibete: Nilifungwa miaka mitano kwa kuzuia ufisadi

Enzi za utawala wa Mwalimu Nyerere wanasiasa walilenga kuwatumikia wananchi na taifa kwa jumla, lakini hali ilivyo sasa ni tofauti, wanasiasa walio wengi wapo kwa lengo la kusaka masilahi yao na familia zao.

 

10 years ago

GPL

SAFU MPYA YA UONGOZI WA CHADEMA KWA MIAKA MITANO IJAYO

Mwenyekiti wa Chadema Taifa, Freeman Mbowe (katikati) akiwa na Makamu Mwenyekiti wa chama hicho Bara, Profesa Abdallah Safari (kulia) na Makamu Mwenyekiti Zanzibar, Said Issa Mohamed (kushoto) mara baada ya kuibuka kidedea katika uchaguzi mkuu jana. Mwenyekiti wa Baraza la Wazee, Hashim Juma Issa.…

 

9 years ago

Bongo5

Picha: Wastara onesha miguu yake kwa mara ya kwanza toka alipokatwa mguu mmoja miaka 6 iliyopita

Wastara

Weekend iliyopita muigizaji mrembo wa filamu za Bongo, Wastara Juma aliamua kuweka wazi kile kinachoendelea kwenye maisha yake toka alipokatwa mguu wake wa kulia miaka 6 iliyopita.

Wastara

Akiwa jijini Nairobi kwenye matibabu, Wastara alipost picha hii kwenye akaunti yake ya Intagram na kuandika ujumbe ufuatao;

wastara mguu

“Kwa mara ya kwanza toka nimekatwa mguu miaka 6 iliyopita leo nimechukua nafasi hii kupost hii pic kuondoa maswali mengi yaliyopo vichwani mwa watu
Nipo kma unavyoiona pic.

Huyo ndio...

 

5 years ago

Michuzi

MIAKA MITANO YA KAZI NA KUKAMILIKA KWA UKANDA WA UCHUMI WA MTWARA CORRIDOR

 UPANUZI  WA  UJENZI WA  GATI  UNAOENDLEA  KATIKA BANDARI YA MTWARA MITAMBO YA KUCHAKATA GESI YA MADIMBA   MTWARA   UNAOPELEKA UMEME KATIKA MJI WA MTWARA MIKINDANI.  HOSPITALI YA  RUFAA YA KUSINI YA MITEGO  ILIYOPO PEMBEZONI MWA  BAHARI YA HINDI KATIKA LANGO LA  BAHARI LA MTWARA MIKINDANI .
BARABARA ZA LAMI   ZINAZOUNGANISHA  MKOA WA MTWARA  NA MIKOA MINGINE KUKAMILISHA   UKANDA MAALUM WA UCHUMI WA MTWARA...

 

10 years ago

Mwananchi

Askofu Mokiwa: Tukimchagua rais kwa tamaa za rushwa itatugharimu miaka mitano

Dar es Salaam. Dakika zinaendelea kusogea na mapigo ya moyo yakizidi kwenda kasi kwa baadhi ya wanasiasa walioanzisha mbio za uchaguzi ili kurithi mikoba ya Rais Jakaya Kikwete, ubunge na udiwani, unaotarajia kufanyika Oktoba mwaka huu.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani