CCM itakumbukwa kwa lipi miaka MITANO iliyopita?
Mnyonge mnyongeni, lakini haki yake mpeni. Ni usemi wa wahenga ambao Chama cha Mapinduzi (CCM) kimeamua kuutumia katika kuandaa ilani yake ya Uchaguzi Mkuu ya 2015-2020.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-HFAEOS6J_bg/VYlvmdv0FYI/AAAAAAAHi5U/zZ6WdfnCMu8/s72-c/unnamed%2B%252884%2529.jpg)
Chikawe: Niliamua kugombea urais miaka mitano iliyopita
![](http://1.bp.blogspot.com/-HFAEOS6J_bg/VYlvmdv0FYI/AAAAAAAHi5U/zZ6WdfnCMu8/s640/unnamed%2B%252884%2529.jpg)
Waziri Chikawe, ambaye amekamilisha kazi ya kusaka wadhamini katika mikoa 15 ya Tanzania Bara na Zanzibar kama taratibu zinavyoelekeza, amesema uamuzi wake wa kugombea nafasi hiyo aliufanya baada ya...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-aijc8BHZnRU/XuJWKJZ4EJI/AAAAAAALteU/DOZf3LvFrmgTRIwmDG6t2UosFZIBJRPvQCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200611-WA0021.jpg)
CCM BAGAMOYO YARIDHISHWA NA KAZI YA UTEKELEZAJI WA ILANI ILIYOFANYWA NA MGALU KIPINDI CHA MIAKA MITANO
![](https://1.bp.blogspot.com/-aijc8BHZnRU/XuJWKJZ4EJI/AAAAAAALteU/DOZf3LvFrmgTRIwmDG6t2UosFZIBJRPvQCLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200611-WA0021.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/IMG-20200611-WA0020.jpg)
****************************
NA MWAMVUA MWINYI, PWANI CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Bagamoyo Mkoa wa Pwani, kimeelezea kuridhishwa na kazi kubwa inayofanywa na Mbunge wa Viti Maalumu mkoani hapo ,Subira Mgalu.
Kauli hiyo imetolewa na Mwenyekiti wa chama hicho wilayani hapa Alhaj Abdul Sharifu, katika Baraza la Jumuia ya Wanawake (UWT) lililofanyika Msata, ambapo Mgalu na Madiwani wa Viti Maalumu walisoma taarifa za utekelezaji wa kazi zao, katika kipindi cha miaka...
10 years ago
Michuzi16 Mar
10 years ago
Habarileo23 Feb
Jela maisha kwa kumbaka mtoto wa miaka mitano
MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Wilaya ya Nzega mkoani Tabora imemhukumu kifungo cha maisha Kashindje Shija (50), baada ya kupatikana na kosa la kumbaka mtoto mwenye umri wa miaka mitano.
10 years ago
Mwananchi22 Oct
Andulile Mwakibete: Nilifungwa miaka mitano kwa kuzuia ufisadi
10 years ago
GPLSAFU MPYA YA UONGOZI WA CHADEMA KWA MIAKA MITANO IJAYO
9 years ago
Bongo517 Nov
Picha: Wastara onesha miguu yake kwa mara ya kwanza toka alipokatwa mguu mmoja miaka 6 iliyopita
![Wastara](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2014/06/Wastara-200x133.jpg)
Weekend iliyopita muigizaji mrembo wa filamu za Bongo, Wastara Juma aliamua kuweka wazi kile kinachoendelea kwenye maisha yake toka alipokatwa mguu wake wa kulia miaka 6 iliyopita.
Akiwa jijini Nairobi kwenye matibabu, Wastara alipost picha hii kwenye akaunti yake ya Intagram na kuandika ujumbe ufuatao;
“Kwa mara ya kwanza toka nimekatwa mguu miaka 6 iliyopita leo nimechukua nafasi hii kupost hii pic kuondoa maswali mengi yaliyopo vichwani mwa watu
Nipo kma unavyoiona pic.
Huyo ndio...
5 years ago
MichuziMIAKA MITANO YA KAZI NA KUKAMILIKA KWA UKANDA WA UCHUMI WA MTWARA CORRIDOR
10 years ago
Mwananchi21 Jan
Askofu Mokiwa: Tukimchagua rais kwa tamaa za rushwa itatugharimu miaka mitano