Dk Magufuli akishinda Urais aahidi Serikali kujenga reli kutoka Mtwara hadii Mbamba Bay Ruvuma, kupunguza bei ya vifaa vya ujenzi
Wananchi wakishangilia wakati wa mkutano wa kampeni wa CCM kumnadi mgombea urais Dk John Magufuli wilayani Masasi jana. Dk Magufuli amesema kuwa CCM ikishinda Serikali itajenga Reli kuanzia Mtwara hadi Mbamba Bay Ruvuma.
Mgombea urais wa Tanzania kupitia CCM, Dk John Magufuli akijinadi katika mkutano wa kampeni mjini Masasi, mkoani Mtwara jana.
Mfuasi wa CCM akiwa amejichora usoni huku kidevuni akiwa aqmeandika jina la Mgombea Urais wa Tanzania kuptia CCM, Dk Magufuli.
Wananchi...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
9 years ago
VijimamboDK MAGUFULI AKISHINDA URAIS AAHIDI SERIKALI KUJENGA RELI KUTOKA MTWARA HADI MBAMBA BAY RUVUMA, KUPUNGUZA BEI YA VIFAA VYA UJENZI
10 years ago
StarTV09 Jan
Wananchi Kusini kunufaika na ujenzi wa Reli ya Mbamba Bay.
Na Adam Nindi,
Songea.
Wananchi wanaoishi Kusini mwa Tanzania jirani na Nchi za Msumbiji na Malawi wanatarajia kunufaika na Reli itakayojengwa kutoka Mbamba Bay wilayani Nyasa hadi mkoani Mtwara ambayo ujenzi wake utaanza mwezi Juni mwaka huu.
Katika ziara ya siku moja mkoani Ruvuma, Waziri wa Uchukuzi Dokta Harrison Mwakyembe amebainisha kuwa reli hiyo ya Mtwara Kolido itagharimu fedha za kimarekani dola Bilioni tatu mpaka kumalizika kwake.
Waziri Mwakyembe amesema ujenzi wa Reli hiyo...
9 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-MFTpxPPmcJM/Veb5wqruY0I/AAAAAAAH17E/14yyWwYvJNs/s72-c/_MG_1288.jpg)
MAGUFULI AFUNGA KAZI MKOANI MTWARA,AHIDI KUSHUSHA BEI YA VIFAA VYA UJENZI
![](http://4.bp.blogspot.com/-MFTpxPPmcJM/Veb5wqruY0I/AAAAAAAH17E/14yyWwYvJNs/s640/_MG_1288.jpg)
Dkt John Magufuli amesema kuwa iwapo atachaguliwa kuwa Rais katika uchaguzi mkuu mwaka huu ,Serikali yake itashusha bei ya vifaa vya ujenzi hasa bati na saruji,amesema kuwa serikali yake inataka kurahisisha maisha ya watanzania wote na hivyo...
11 years ago
Tanzania Daima03 Jun
‘Serikali ishushe bei vifaa vya ujenzi’
MBUNGE wa Viti Maalumu, Rebecca Mngodo (CHADEMA), ameitaka serikali kushusha bei ya vifaa vya ujenzi ili wananchi waishio vijijini waweze kufaidika na huduma ya umeme. Kauli hiyo aliitoa jana bungeni...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Hqt_cDr2iIw/XvMOGazSykI/AAAAAAALvMw/29B9SZImiX8b6B4pZjv6wENs33tiihACACLcBGAsYHQ/s72-c/788f92ae-4865-48a3-9e8a-aa753b862239.jpg)
WALINZI WATUHUMIWA KUHUJUMU MRADI WA UJENZI WA BARABARA MBINGA KWENDA MBAMBA BAY
![](https://1.bp.blogspot.com/-Hqt_cDr2iIw/XvMOGazSykI/AAAAAAALvMw/29B9SZImiX8b6B4pZjv6wENs33tiihACACLcBGAsYHQ/s640/788f92ae-4865-48a3-9e8a-aa753b862239.jpg)
Mkuu wa mkoa wa Ruvuma Christina Mndeme akiangalia baadhi ya makatapila ambayo yameng’olewa betri zake na kuibiwa mafunta zaidi ya lita 100 na walinzi wa Kampuni ya ulinzi ya Hamseki Ltd inayolinda vifaa vya kammpuni ya Chico inayojenga barabara ya lami kutoka Mbinga hadi Mbamba bay wilayani Nyasa ambapo ametoa agizo kwa jeshi la polisi mkoani Ruvuma kuwasaka watu walihusika na wizi huo.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/b1a5887b-ce41-405d-adfb-82b23fad0c5d.jpg)
Msimamizi wa mradi wa ujenzi wa barabara ya lami wa kampuni ya Chico inayojenga barabara ya lami kutoka...
10 years ago
Dewji Blog14 Jan
Serikali yasaini makubaliano ya utekelezaji wa mradi wa wa kutoa maji kutoka mto Ruvuma hadi Mtwara
Katibu Mkuu Wizara ya Maji Mhandisi Mbogo Futakamba akiwa na Rais wa Kampuni ya China Railway International Group Co. Ltd Dkt. Lu Bo wakisaini makubaliano ya utekelezaji wa mradi wa kutoa maji kutoka mto Ruvuma hadi Mtwara. Makubaliano hayo yalifanyika Beijing, China tarehe 10 Januari 2015. nyuma ya Katibu Mkuu (aliyesimama) ni Waziri wa Maji Mheshimiwa Prof. Jumanne Abdallah Maghembe (Mb).
Katibu Mkuu Wizara ya Maji Mhandisi Mbogo Futakamba akipeana mikono na Rais wa Kampuni ya China...
10 years ago
Mwananchi10 Jan
Ruvuma nayo kuunganishwa kwa reli ya Mtwara Corridor
9 years ago
Dewji Blog20 Oct
Dkt. Magufuli aahidi kujenga viwanda vya Mananasi, Pamba na minofu ya Samaki Geita
Mkazi wa Kijiji cha Nyamatongo, wilayani Sengerema, Mwanza, akiwa amevaa kichwani mfano wa karatasi la kupigiwa kura lenye picha ya Mgombea urais wa Tganzania kupitia CCM, Dk John Magufuli na mgombea mwenza Samia Suluhu Hassan. Dk Magufuli alihutubia mkutano wa kampeni katika Kijiji hicho.
Dk Magufuli ameahidi kujenga viwanda vya kukamua juisi za mananasi yanayolimwa kwa wingi mkoani Geita ili kuongeza thamani ya zao hilo pamoja na kufufua viwanda vya pamba.PICHA NA RICHARD...
9 years ago
StarTV30 Nov
Serikali yashauriwa kutenga bajeti ya kununua vifaa tiba ili Kupunguza Vifo Vya Watoto
SERIKALI imepewa changamoto ya kutenga fedha katika bajeti yake na kununua vifaa tiba pamoja na dawa zitakazosaidia kupunguza au kuondoa kabisa vifo vya watoto wachanga hapa nchini ambapo ripoti mbalimbali zinaonyesha mwaka jana pekee imefikia watoto elfu kumi na tatu.
Changamoto hiyo imetolewa na Taasisi ya Doris Mollel Foundation muda mfupi baada ya kukabidhi vifaa vitakavyosaidia kuokoa maisha ya watoto wachanga hususani watoto njiti katika Hospitali ya Rufaa Mkoa wa Iringa.
Ndani ya...