Serikali yashauriwa kutenga bajeti ya kununua vifaa tiba ili Kupunguza Vifo Vya Watoto
SERIKALI imepewa changamoto ya kutenga fedha katika bajeti yake na kununua vifaa tiba pamoja na dawa zitakazosaidia kupunguza au kuondoa kabisa vifo vya watoto wachanga hapa nchini ambapo ripoti mbalimbali zinaonyesha mwaka jana pekee imefikia watoto elfu kumi na tatu.
Changamoto hiyo imetolewa na Taasisi ya Doris Mollel Foundation muda mfupi baada ya kukabidhi vifaa vitakavyosaidia kuokoa maisha ya watoto wachanga hususani watoto njiti katika Hospitali ya Rufaa Mkoa wa Iringa.
Ndani ya...
StarTV
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi17 Mar
Wananchi Rukwa Waunga mkono Serikali Kutenga Bajeti Maalum Kukabiliana Vifo vya Uzazi
![Daktari Mkuu wa Mkoa wa Rukwa, John William Gurisha akitoa takwimu za afya ya Uzazi Mkoani Rukwa katika maadhimisho hayo.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2014/03/Daktari-Mkuu-wa-Mkoa-wa-Rukwa-Ndg-John-Wiliam-Gurisha-akitoa-takwimu-za-afya-ya-Uzazi-Mkoani-Rukwa.jpg)
![Washiriki anuai kutoka Mkoa wa Rukwa wakiwa katika picha za matukio.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2014/03/IMG_4189.jpg)
![Baadhi ya washiriki wa sherehe za maadhimisho hayo ya siku ya Utepe Mweupe.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2014/03/IMG_4157.jpg)
![Mkurugenzi Mkazi wa Shirika la Evidence for Action Tanzania, Craig John Ferla, kupitia kampeni ya Mama Ye akichangia damu.Zaidi ya chupa 970 za damu zilipatikana katika maadhimisho ya wiki ya utepe mweupe.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2014/03/Craig-John-Ferla-Mkurugenzi-Mkaazizi-wa-Shirika-la-Evidence-for-Action-Tanzania-kupitia-Kampeni-ya-Mama-Ye-akichangia-damu.Zaidi-ya-chupa-970-za-damu-zilipatikana-katika-maadhimisho-ya-wiki-ya-utepe-mweupe.jpg)
Zaidi ya chupa 970 za damu zilipatikana katika maadhimisho ya wiki ya utepe mweupe.[/caption] ZAIDI ya...
11 years ago
GPL![](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2014/03/Daktari-Mkuu-wa-Mkoa-wa-Rukwa-Ndg-John-Wiliam-Gurisha-akitoa-takwimu-za-afya-ya-Uzazi-Mkoani-Rukwa.jpg)
WANANCHI RUKWA WAUNGA MKONO SERIKALI KUTENGA BAJETI MAALUM KUKABILIANA NA VIFO VYA UZAZI
10 years ago
StarTV10 Feb
Serikali yafanikiwa kupunguza vifo vya watoto chini ya miaka mitano
Na Wilson Elisha,
Mwanza
Kupungua kwa vifo vya watoto wenye umri chini ya miaka mitano kutoka vifo 147 mwaka 1999 hadi kufikia vifo 54 mwaka 2013 kwa kila vizazi hai 1, 000 kunatokana na juhudi za serikali kwa kushirikiana na wadau wa maendeleo na sekta binafsi katika sekta ya afya.
Hali hiyo imechangia kufikia lengo la maendeleo ya Milenia namba nne la kupunguza vifo vya wanawake wajawazito na watoto wachanga kwa kasi zaidi kupitia mpango wa matokeo makubwa sasa katika sekta ya...
11 years ago
Dewji Blog15 May
Rais Kikwete azindua mpango mkakati wa kuongeza kasi ya kupunguza Vifo vya Uzazi na vya Watoto leo
Rais Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akionesha jedwali la alama za ufuatiliaji wa utendaji wa huduma za afya ya mzazi na mtoto wakati wa uzinduzi wa Mpango Mkakati wa Kuongeza kasi ya kupunguza vifo vitokanavyo na uzazi na vifo vya watoto katika ukumbi wa mikutani wa kimataifa wa Mwalimu Julis Nyerere jijini Dar es salaam leo. Pamoja naye ni Naibu Waziri wa Afya Dkt Kebwe Sthephen Kebwe.
Rais Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akimkabidhi kitabu Bibi Halima Shariff, mmoja wa wadau wa afya kutoka...
10 years ago
Dewji Blog30 Jun
Tanzania yapongezwa kwa kupunguza vifo vya wajawazito na watoto
Mwakilishi wa UNICEF Tanzania, Dk. Jama Gulaid, akizungumza na washiriki wa Mkutano unaojadili mchango wa haki za binadamu unavyoweza kuboresha huduma za afya kwa watoto na kupunguza vifo vya watoto chini ya miaka mitano (5) nchini Tanzania. Mkutano huo unafanyika jijini Dar es Salaam kwa siku mbili mfululizo.
![Mwakilishi kutoka Ofisi ya Katibu Mkuu wa Vizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, Dk. Mushi (wa kwanza kulia) aliyemwakilishi Dk Donan Mmbando akizungumza na washiriki wa Mkutano unaojadili mchango wa haki za binadamu unavyoweza kuboresha huduma za afya kwa watoto na kupunguza vifo vya watoto chini ya miaka mitano (5) nchini Tanzania. Mkutano huo unafanyika jijini Dar es Salaam kwa siku mbili mfululizo.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/06/IMG_01041.jpg)
Mwakilishi kutoka Ofisi ya Katibu Mkuu wa Vizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, Dk. Mushi (wa kwanza kulia) aliyemwakilishi Dk Donan Mmbando akizungumza na washiriki wa Mkutano...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-4RC4MMdBU8k/U4gniqXrGcI/AAAAAAAFmcY/S8DsQkNmlP8/s72-c/unnamed+(29).jpg)
Tanzania yafanikiwa kufanikisha lengo la kupunguza vifo vya watoto - JK
![](http://2.bp.blogspot.com/-4RC4MMdBU8k/U4gniqXrGcI/AAAAAAAFmcY/S8DsQkNmlP8/s1600/unnamed+(29).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-Nd3LTJ7vXro/U4gnitQfoMI/AAAAAAAFmcU/qYEAWBssCG4/s1600/unnamed+(31).jpg)
10 years ago
GPLCCBRT YATOA ELIMU KUPUNGUZA VIFO VYA WAJAWAZITO NA WATOTO WACHANGA, DAR
10 years ago
Mtanzania30 May
Serikali yashauriwa kutenga fedha nyingi za maendeleo
Na Veronica Romwald, Dar es Salaam
SERIKALI imeshauriwa kutenga kiasi kikubwa cha fedha za bajeti yake katika miradi mbalimbali ya maendeleo.
Ushauri huo ulitolewa Dar es Salaam jana na wadau wa maendeleo walioshiriki katika mdahalo ulioandaliwa na Taasisi ya Policy Forum, uliojadili iwapo fedha zilizotengwa katika sekta ya elimu na afya ya uzazi zinakidhi.
Akizungumza katika mdahalo huo, Ofisa Utafiti na Uchambuzi na Sera wa HakiElimu, Makumba Mwenezi, alisema licha ya Serikali kutenga Sh...