Rais Kikwete azindua mpango mkakati wa kuongeza kasi ya kupunguza Vifo vya Uzazi na vya Watoto leo
Rais Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akionesha jedwali la alama za ufuatiliaji wa utendaji wa huduma za afya ya mzazi na mtoto wakati wa uzinduzi wa Mpango Mkakati wa Kuongeza kasi ya kupunguza vifo vitokanavyo na uzazi na vifo vya watoto katika ukumbi wa mikutani wa kimataifa wa Mwalimu Julis Nyerere jijini Dar es salaam leo. Pamoja naye ni Naibu Waziri wa Afya Dkt Kebwe Sthephen Kebwe.
Rais Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akimkabidhi kitabu Bibi Halima Shariff, mmoja wa wadau wa afya kutoka...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Q7T2q86GkzVMgKPH5KfW2qNtgOPmGX90YsRKuio1Q7BYKMdgdXbNgAOAfZSOhOVYfFRWz8ziav6Rb8oVEof19TnECdhnjScB/1a1.jpg?width=650)
RAIS KIKWETE AZINDUA MPANGO MKAKATI WA KUONGEZA KASI YA KUPUNGUZA VIFO VYA UZAZI, WATOTO
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-CkikTYdzhG8/VTXoYuS7RTI/AAAAAAABsYo/dNVo0pwJHh0/s72-c/RC%2B1.jpg)
RC DAR-ES-SALAAM AZINDUA MPANGO KAZI WA KUHARAKISHA KUPUNGUZA VIFO VYA AKINA MAMA NA WATOTO CHINI YA MIAKA 5 AKEMEA WATUMISHI WAZEMBE.
![](http://4.bp.blogspot.com/-CkikTYdzhG8/VTXoYuS7RTI/AAAAAAABsYo/dNVo0pwJHh0/s1600/RC%2B1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-Ox5EJ6YxCIo/VTXobnbwGNI/AAAAAAABsYw/SW7fbO7UJVE/s1600/RC%2B2.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-lUR41b1cf4M/VTUqcPW3qoI/AAAAAAAHSJ4/5_j5ZZbHGlo/s72-c/RC%2B-1.jpg)
MKUU WA MKOA WA DAR ES SALAAM AZINDUA MPANGO KAZI WA KUHARAKISHA KUPUNGUZA VIFO VYA AKINA MAMA NA WATOTO CHINI YA MIAKA 5 AKEMEA WATUMISHI WAZEMBE
![](http://3.bp.blogspot.com/-lUR41b1cf4M/VTUqcPW3qoI/AAAAAAAHSJ4/5_j5ZZbHGlo/s1600/RC%2B-1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-8QABSGzpajk/VTUqbE-l-qI/AAAAAAAHSJo/-YY7WKyCtKI/s1600/RC%2B-%2B2.jpg)
5 years ago
MichuziRC TELACK AZITAKA HALMASHAURI NA WADAU WA AFYA KUONGEZA JITIHADA KUTOKOMEZA VIFO VYA UZAZI NA WATOTO WACHANGA
10 years ago
Dewji Blog12 Jan
Singida wafanikiwa kupunguza vifo vya uzazi
Kaimu mganga mkuu mkoa wa Singida, Dk.Ernest Mgeta, akitoa taarifa yake kwenye uzinduzi mpango mkakati wa mkoa wa Singida wa kuongeza kasi ya kupunguza vifo vya akina mama vitokanavyo na uzazi na vifo vya watoto uliofanyika kwenye ukumbi wa mikutano wa Aqua Vitae mjini Singida.Wa kwanza kushoto ni mkuu wa mkoa wa Singida, Dk.Parseko Vicent Kone na anayefuata ni kaimu katibu tawala mkoa wa Singida, Marando.
Na Nathaniel Limu, Singida
MKOA wa Singida umefanikiwa kupunguza vifo vya akina mama...
11 years ago
MichuziZanzibar yajivunia kupunguza vifo vya uzazi
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-VONAHJgFaYA/XrxQ_B9yqGI/AAAAAAALqJU/6CDuxYVsGVsi2g7020fjXibbMwiaZNw0QCLcBGAsYHQ/s72-c/shishi.jpg)
SHILOLE AAHIDI KUPUNGUZA VIFO VYA UZAZI 2020 KUPITIA JUKWAA LA TUNAWEZA
![](https://1.bp.blogspot.com/-VONAHJgFaYA/XrxQ_B9yqGI/AAAAAAALqJU/6CDuxYVsGVsi2g7020fjXibbMwiaZNw0QCLcBGAsYHQ/s1600/shishi.jpg)
Na Khadija Seif, Michuzi tv
MSANII wa Bongofleva Zuwena Mohammed a.k.a Shilole (pichani) amejipanga kutengeneza baba Bora 2020 na kupunguza vifo vya wakina mama kupitia jukwaa la "Tunaweza.
Akizungumza na waandishi wahabari jijini Dar es salaam wakati akitangazwa rasmi kuwa balozi wa jukwaa la "Tunaweza" kupitia taasisi ya Smart Generation inayolenga kutoa elimu pamoja na kubadili mitazamo mibaya kwa vijana pamoja na jamii kwa ujumla Shilole amesema akiwa kama mama yupo tayari kupunguza idadi...
10 years ago
Habarileo12 Dec
RC: Ongezeko watumiaji wa uzazi wa mpango kupunguza vifo
MKUU wa Mkoa wa Tabora, Ludovick Mwananzila amesema ongezeko la watumiaji wa huduma ya uzazi wa mpango nchini utachangia kupunguza vifo vya akina mama na watoto vitokanavyo na uzazi.
10 years ago
GPLSEMINA YA MPANGO WA KUPUNGUZA VIFO VYA AJALI YAFANYIKA JIJINI DAR