RC TELACK AZITAKA HALMASHAURI NA WADAU WA AFYA KUONGEZA JITIHADA KUTOKOMEZA VIFO VYA UZAZI NA WATOTO WACHANGA
Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Zainab Telack akizungumza wakati akifungua Mkutano wa Tathmini ya Utoaji wa Huduma za Afya ya Uzazi, Lishe na CHF iliyoboreshwa uliokutanisha wadau mbalimbali wa afya mkoani Shinyanga leo Alhamis Februari 27,2020 katika ukumbi wa ofisi ya Mkuu wa mkoa wa Shinyanga. Picha zote na Kadama Malunde - Malunde 1 blog.
Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Zainab Telack akizungumza wakati akifungua Mkutano wa Tathmini ya Utoaji wa Huduma za Afya ya Uzazi, Lishe na CHF...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Dewji Blog15 May
Rais Kikwete azindua mpango mkakati wa kuongeza kasi ya kupunguza Vifo vya Uzazi na vya Watoto leo
Rais Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akionesha jedwali la alama za ufuatiliaji wa utendaji wa huduma za afya ya mzazi na mtoto wakati wa uzinduzi wa Mpango Mkakati wa Kuongeza kasi ya kupunguza vifo vitokanavyo na uzazi na vifo vya watoto katika ukumbi wa mikutani wa kimataifa wa Mwalimu Julis Nyerere jijini Dar es salaam leo. Pamoja naye ni Naibu Waziri wa Afya Dkt Kebwe Sthephen Kebwe.
Rais Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akimkabidhi kitabu Bibi Halima Shariff, mmoja wa wadau wa afya kutoka...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Q7T2q86GkzVMgKPH5KfW2qNtgOPmGX90YsRKuio1Q7BYKMdgdXbNgAOAfZSOhOVYfFRWz8ziav6Rb8oVEof19TnECdhnjScB/1a1.jpg?width=650)
RAIS KIKWETE AZINDUA MPANGO MKAKATI WA KUONGEZA KASI YA KUPUNGUZA VIFO VYA UZAZI, WATOTO
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-EV6BTyzD0nw/Vkm8NNkJTvI/AAAAAAAAUps/dRYrmSsES48/s72-c/VIFO%2BWATOTO.jpg)
IDADI YA VIFO VYA WATOTO WACHANGA YAENDELEA KUPUNGUA MBEYA
![](http://3.bp.blogspot.com/-EV6BTyzD0nw/Vkm8NNkJTvI/AAAAAAAAUps/dRYrmSsES48/s640/VIFO%2BWATOTO.jpg)
IDADI ya vifo vya watoto wachanga imeendelea kupungua Mkoani mbeya kutoka vifo 602 kwa mwaka 2012 hadi kufikia 568 kwa mwaka 2014 ambapo ni sawa na asilimia 5.7.
Hali hiyo inatokana timu ya uendeshaji wa huduma za afya mkoa kukaa pamoja na kutafuta ufumbuzi wa pamoja na kuweka maazimio ambayo wamekuwa wakiyatekeleza kwa pamoja.
Akizungumza jijini Mbeya mratibu wa huduma za afya ya uzazi na mtoto mkoani humo Ndugu Prisca Butuyuyu amesema kutokana na usimamizi huo...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-lc-gdbkswjA/Xp17NIbcFPI/AAAAAAALndk/hejMs6RoirEJqHNq2SpyvoUS3vAq4nyOQCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200406_104342_572%25281%2529.jpg)
TUNDURU YAWEKA MKAKATI WA KUMALIZA VIFO VYA MAMA NA WATOTO WACHANGA
![](https://1.bp.blogspot.com/-lc-gdbkswjA/Xp17NIbcFPI/AAAAAAALndk/hejMs6RoirEJqHNq2SpyvoUS3vAq4nyOQCLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200406_104342_572%25281%2529.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-6LX7xZ_H0lA/Xp172I-_eoI/AAAAAAALnds/FVWmRgPqS3knM4RLT41MrLtXkcy09B1RwCLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200406_104930_936.jpg)
10 years ago
GPLCCBRT YATOA ELIMU KUPUNGUZA VIFO VYA WAJAWAZITO NA WATOTO WACHANGA, DAR
10 years ago
Dewji Blog17 Nov
Siku ya Mtoto Njiti Duniani: Huduma za gharama nafuu zenye ufanisi katika kuzuia vifo vya watoto njiti Tanzania, inasema UNICEF na wadau wengine
World Prematurity Day press release – SWA FINAL Nov 17 2014.docx by moblog
10 years ago
Habarileo15 Aug
Vifo vya uzazi Mbinga vyapungua
SERIKALI wilayani Mbinga imepunguza vifo vya wajawazito kutoka 79 kati ya 100,000 mwaka 2010 hadi kufikia idadi ya vifo 65 mwaka 2013, ikiwa ni mkakati wake wa kupunguza vifo hivyo vinavyotokana na uzazi.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-NvrXwR0-KmU/XrFYvmTrqGI/AAAAAAALpNc/8riy89xu58A0JXfWxWPbOKS8bVdBmXAcwCLcBGAsYHQ/s72-c/1567a6b1-59ad-4277-a474-44117aa34c8e.jpg)
VIFO VYA WATOTO WACHANGA VIMEPUNGUA KUTOKA 25 KWA KILA VIZAZI HAI 1000 HADI SABA KWA KILA VIZAZI HAI 1000
Na WAMJW – Dar es Salaam
05/05/2020 Vifo vya watoto wachanga wenye umri wa chini ya siku 28 vimepungua kutoka 25 kwa kila vizazi hai 1000 kwa mwaka 2015/16 na kufikia saba kwa kila vizazi hai 1000 kwa mwezi Machi mwaka huu.
Hayo yamesemwa leo jijini jijini Dar es Salaam na Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Ummy Mwalimu wakati akipokea msaada wa vifaa kinga, mabango,vipeperushi na vifaa vya kutoa elimu kwa Umma kuhusu ugonjwa wa Corona kutoka kwa Benki ya Absa...
11 years ago
MichuziZanzibar yajivunia kupunguza vifo vya uzazi
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10