Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


RC TELACK AZITAKA HALMASHAURI NA WADAU WA AFYA KUONGEZA JITIHADA KUTOKOMEZA VIFO VYA UZAZI NA WATOTO WACHANGA


Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Zainab Telack akizungumza wakati akifungua Mkutano wa Tathmini ya Utoaji wa Huduma za Afya ya Uzazi, Lishe na CHF iliyoboreshwa uliokutanisha wadau mbalimbali wa afya mkoani Shinyanga leo Alhamis Februari 27,2020 katika ukumbi wa ofisi ya Mkuu wa mkoa wa Shinyanga. Picha zote na Kadama Malunde - Malunde 1 blog.Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Zainab Telack akizungumza wakati akifungua Mkutano wa Tathmini ya Utoaji wa Huduma za Afya ya Uzazi, Lishe na CHF...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Dewji Blog

Rais Kikwete azindua mpango mkakati wa kuongeza kasi ya kupunguza Vifo vya Uzazi na vya Watoto leo

a1

Rais Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akionesha jedwali la  alama za ufuatiliaji wa utendaji wa huduma za afya ya mzazi na mtoto wakati wa uzinduzi wa Mpango Mkakati wa Kuongeza kasi ya kupunguza vifo vitokanavyo na uzazi na vifo vya watoto katika ukumbi wa mikutani wa kimataifa wa Mwalimu Julis Nyerere jijini Dar es salaam leo. Pamoja naye ni Naibu Waziri wa Afya Dkt Kebwe Sthephen Kebwe.

a2

a3

Rais Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akimkabidhi kitabu Bibi Halima Shariff, mmoja wa wadau wa afya kutoka...

 

11 years ago

GPL

RAIS KIKWETE AZINDUA MPANGO MKAKATI WA KUONGEZA KASI YA KUPUNGUZA VIFO VYA UZAZI, WATOTO ‏

Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akionesha jedwali la alama za ufuatiliaji wa utendaji wa huduma za afya ya mzazi na mtoto wakati wa uzinduzi wa Mpango Mkakati wa Kuongeza kasi ya kupunguza vifo vitokanavyo na uzazi na vifo vya watoto katika ukumbi wa mikutano wa kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere jijini Dar es Salaam jana. Pamoja naye ni Naibu Waziri wa Afya Dkt. Kebwe Stephen Kebwe .…
...

 

9 years ago

Michuzi

IDADI YA VIFO VYA WATOTO WACHANGA YAENDELEA KUPUNGUA MBEYA

Na Emanuel Madafa,Mbeya.
IDADI ya vifo vya watoto wachanga imeendelea kupungua Mkoani mbeya kutoka vifo 602 kwa mwaka 2012 hadi kufikia 568 kwa mwaka 2014  ambapo ni sawa na asilimia 5.7.

Hali hiyo inatokana timu ya uendeshaji wa huduma za afya mkoa kukaa pamoja na kutafuta ufumbuzi wa pamoja na kuweka maazimio ambayo wamekuwa wakiyatekeleza kwa pamoja.

Akizungumza jijini Mbeya mratibu wa huduma za afya ya uzazi na mtoto mkoani humo Ndugu Prisca  Butuyuyu  amesema kutokana na usimamizi huo...

 

5 years ago

Michuzi

TUNDURU YAWEKA MKAKATI WA KUMALIZA VIFO VYA MAMA NA WATOTO WACHANGA

 Muuguzi Mkuu wa Hospitali ya wilaya Tunduru mkoani Ruvuma Renatus Mathias akiongea jana  wakati wa mafunzo ya siku moja ya kuwajengea uwezo wauguzi na matatibu kutoka zahanati na vituo vya Afya  mafunzo yaliyolenga kuwajengea uwezo  ikiwa ni mkakati wa Hospitali hiyo kupunguza vifo vya akina mama wajawazito wakati wa kujifungua,watoto wachanga na walio chini ya umri wa miaka mitano,katikati Mganga Mkuu wa wilaya hiyo Dkt Wendy Robert na kulia afisa lishe wa wilaya Martha Kibona.

 

10 years ago

GPL

CCBRT YATOA ELIMU KUPUNGUZA VIFO VYA WAJAWAZITO NA WATOTO WACHANGA, DAR

Kikundi cha sanaa kikitoa burudani. Burudani ikiendelea. Umati wa watu wakishuhudia. KITUO cha Tiba (CCBRT) kwa ufadhili wa Umoja wa Ulaya (EU) wametoa elimu ya kupunguza vifo vya mama mjamzito na mtoto kupitia uboreshaji wa huduma za wakina mama wajawazito pamoja na watoto wachanga. CCBRT wamefanya hayo leo hii…

 

10 years ago

Dewji Blog

10 years ago

Habarileo

Vifo vya uzazi Mbinga vyapungua

SERIKALI wilayani Mbinga imepunguza vifo vya wajawazito kutoka 79 kati ya 100,000 mwaka 2010 hadi kufikia idadi ya vifo 65 mwaka 2013, ikiwa ni mkakati wake wa kupunguza vifo hivyo vinavyotokana na uzazi.

 

5 years ago

Michuzi

VIFO VYA WATOTO WACHANGA VIMEPUNGUA KUTOKA 25 KWA KILA VIZAZI HAI 1000 HADI SABA KWA KILA VIZAZI HAI 1000


Na WAMJW – Dar es Salaam

05/05/2020 Vifo vya watoto wachanga wenye umri wa chini ya siku 28 vimepungua kutoka 25 kwa kila vizazi hai 1000 kwa mwaka 2015/16 na kufikia saba  kwa kila vizazi hai  1000 kwa mwezi Machi mwaka huu.

Hayo yamesemwa leo  jijini  jijini Dar es Salaam na Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Ummy Mwalimu wakati akipokea msaada wa vifaa kinga, mabango,vipeperushi na vifaa vya  kutoa elimu kwa Umma kuhusu ugonjwa wa Corona kutoka kwa Benki ya Absa...

 

11 years ago

Michuzi

Zanzibar yajivunia kupunguza vifo vya uzazi

Afisa Muuguzi wa Hospitali Kuu ya Mnazimmoja Ashura Amour Mwinyi, akitoa maelezo kwa mgeni rasmi Mkurugenzi Mipango, Sera na Utafiti wa Wizara ya Afya Zanzibar Abdullatif Khatib Haji (alievaa shati jeupe), jinsi ya kuwasaidia watoto kupumua vizuri mara baada ya kuzaliwa. Hiyo ilikuwa hafla ya kukamilika kwa mradi wa kupunguza vifo vya wajawazito na watoto vitokanavyo na uzazi – MAISHA, unaofadhiliwa na Shirika la Misaada ya Maendeleo ya Kimataia la Marekani (USAID), katika ukumbi wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani