IDADI YA VIFO VYA WATOTO WACHANGA YAENDELEA KUPUNGUA MBEYA
![](http://3.bp.blogspot.com/-EV6BTyzD0nw/Vkm8NNkJTvI/AAAAAAAAUps/dRYrmSsES48/s72-c/VIFO%2BWATOTO.jpg)
Na Emanuel Madafa,Mbeya.
IDADI ya vifo vya watoto wachanga imeendelea kupungua Mkoani mbeya kutoka vifo 602 kwa mwaka 2012 hadi kufikia 568 kwa mwaka 2014 ambapo ni sawa na asilimia 5.7.
Hali hiyo inatokana timu ya uendeshaji wa huduma za afya mkoa kukaa pamoja na kutafuta ufumbuzi wa pamoja na kuweka maazimio ambayo wamekuwa wakiyatekeleza kwa pamoja.
Akizungumza jijini Mbeya mratibu wa huduma za afya ya uzazi na mtoto mkoani humo Ndugu Prisca Butuyuyu amesema kutokana na usimamizi huo...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-lc-gdbkswjA/Xp17NIbcFPI/AAAAAAALndk/hejMs6RoirEJqHNq2SpyvoUS3vAq4nyOQCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200406_104342_572%25281%2529.jpg)
TUNDURU YAWEKA MKAKATI WA KUMALIZA VIFO VYA MAMA NA WATOTO WACHANGA
![](https://1.bp.blogspot.com/-lc-gdbkswjA/Xp17NIbcFPI/AAAAAAALndk/hejMs6RoirEJqHNq2SpyvoUS3vAq4nyOQCLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200406_104342_572%25281%2529.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-6LX7xZ_H0lA/Xp172I-_eoI/AAAAAAALnds/FVWmRgPqS3knM4RLT41MrLtXkcy09B1RwCLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200406_104930_936.jpg)
10 years ago
GPLCCBRT YATOA ELIMU KUPUNGUZA VIFO VYA WAJAWAZITO NA WATOTO WACHANGA, DAR
9 years ago
BBCSwahili09 Sep
Idadi ya vifo vya watoto imepungua
5 years ago
MichuziRC TELACK AZITAKA HALMASHAURI NA WADAU WA AFYA KUONGEZA JITIHADA KUTOKOMEZA VIFO VYA UZAZI NA WATOTO WACHANGA
10 years ago
Mwananchi13 Feb
UKATILI WA KIJINSIA: ‘Idadi ya watoto wachanga wanaokeketwa inaongezeka’
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-NvrXwR0-KmU/XrFYvmTrqGI/AAAAAAALpNc/8riy89xu58A0JXfWxWPbOKS8bVdBmXAcwCLcBGAsYHQ/s72-c/1567a6b1-59ad-4277-a474-44117aa34c8e.jpg)
VIFO VYA WATOTO WACHANGA VIMEPUNGUA KUTOKA 25 KWA KILA VIZAZI HAI 1000 HADI SABA KWA KILA VIZAZI HAI 1000
Na WAMJW – Dar es Salaam
05/05/2020 Vifo vya watoto wachanga wenye umri wa chini ya siku 28 vimepungua kutoka 25 kwa kila vizazi hai 1000 kwa mwaka 2015/16 na kufikia saba kwa kila vizazi hai 1000 kwa mwezi Machi mwaka huu.
Hayo yamesemwa leo jijini jijini Dar es Salaam na Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Ummy Mwalimu wakati akipokea msaada wa vifaa kinga, mabango,vipeperushi na vifaa vya kutoa elimu kwa Umma kuhusu ugonjwa wa Corona kutoka kwa Benki ya Absa...
5 years ago
BBCSwahili12 Apr
Virusi vya Corona: Marekani yaipiku Italia kwa idadi ya vifo duniani
5 years ago
BBCSwahili16 Mar
Coronavirus: Nchi za Muungano wa Ulaya zarekodi idadi ya juu ya vifo vinavyotokana na virusi vya corona
5 years ago
BBCSwahili25 Apr
Virusi vya corona: Baadhi ya majimbo yaanza kufunguliwa licha ya idadi ya vifo kuwa zaidi ya 50,000 Marekani
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10